Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Bora LA JF humu humu. Kwenye simu mbona itakua shiiider kuna watu hawana vifua utashangaaa umeanzishiwa Uzi.


yakiweka mashart hakuna kitakachotokea Kwan tutajuaje hii ni namba ya Fulani,na hamuweki profile zenye sura yenu
 
Kwan we ni nani ni mod au nimeona group lakin Hilo group ni laaje,mbona umbean Hua sikuoni au mi mgenii nifah warumi

Ungesoma posts vizuri zilizopita ungeona nini kilileta group na umekuta nilikutumia mwaliko ukajiunga.

Hakuna tabu naweza kuliamishia kwenu, nasubiri warumi ambaye pia nilimtumia kujiunga akijiunga nalihamishia kwake yeye ndie ataweza au pia nifah au mwingine yoyote.

Kuna wambea kama 10 bado hawajakubali au hawajaona request ya kujiunga wakajiunga zipo pending.

Au mtachagua nani ashike usikani. Hakuna tabu
 
Last edited by a moderator:
hhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

hhhhhhhaaaaaaaahhhhhhaaaaaaahh
hhaaaaaahhhhhhaaaaaaaa
 
huyu anaetuunganisha ni nani hili group tutakua tunaingiaje,mi nadhan la kwenye simu ,kumbe humu tenaaa

Hahahahahaa nimecheka balaa! Hilo group ni la hukuhuku JF.La kwenye simu sitaki kwakweli, ni hatari zaidi kwa sisi ambao simu zetu zinapekuliwa kila siku.
Kwani kuna ubaya gani likiwa huku? Ila tatizo ni notifications itabidi tuwe tunaingia JF kwa kutumia website hii App inazingua.
 

Hahahahaa, mwenzangu mashaka lazima maana hata mimi sijakuzoea kihivyo zaidi ya kukuona juzijuzi tu.
Na sisi tunataka tufunguke kwenye group hatutaki wasiwasi...

Hao ambao hawajajiunga ujue wanatumia JF App. Itabidi waingie kwa kutumia browsers ili waone notification halafu wajiunge.
 
Last edited by a moderator:
Ata mimi sijaliona ujue? Nasikia tu, au nishatengwa mbea mie

Binamu fungua JF ya website hii ya App huwezi kuona notification ya hilo group.
Ukishafanya hivyo unajiunga tukishakamilika tunaanza kazi.
 

Yani nimejaribu kuingia kwa kawaida bila application sijaizoea sijui pakuanzia sijazoea. Yani hadi kuingia jf stimu zinakata.
 
Lakini Dinazarde mbona jana nilishaona kama umejiunga?
 
Last edited by a moderator:
Shoga J.lee ngoja carrie atakuunga.Ukishaona notification ya group wewe jiunge, tukishakamilika ndio tutaanza umbea sasa.
 
Last edited by a moderator:

Wivu wivu wivu wivuuu roho mbayaaaa!
 


ok nimekupata haina shida hata ukiwa wewe ulieanzishaa ,sema Tu wambea wa east Afrika hatukupewa taarifa kua group linaanza,nimekupata hakuna kinachoharibikaaa
 
Last edited by a moderator:
Ili kushiriki katika "kutoa (taarifa za) umbea, ni lazima uwe na "connections" za kuupata umbea. Hapo ndipo kazi ilipo.

Nimekumbuka yale maneno kwenye wimbo wa afande Sele "sio lazima wote tuimbe, wengine tuwe mashabiki".

Kk

Hahahahahaa, wasomaji wa umbea mtakoma mwaka huu.
Mtaliaje? Naona mmeshaanza....
 
Hahahahahaaa mimi kuna huyo malaya sitaki hata kumsikia.Akijiunga tu nakata rufaa!


nani huyooooo ,sasa kama ni mbeya mwenzetu itabidi ajiunge Tu jamaniii
 


halaf kuingia Hilo group mpaka uunganishwe na carrier eti bila ya hivyo huoni kitu etio
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…