Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mkuu hivi kuna mtu muoga kama Mange? kuna story nilisikia yule Cintia Masasi alikuwa anasubiri kukutana nae maana demu kasoma na mdogo wangu anakwambia yule mwanamke anapiga ngumi kama Mayweather ha ha haa mbona Mange alimtafuta kumuomba msamaha hata Kiki akiamua kukutana na Mange atakimbia kama US Bolt ngumi hajui mdomo tu natamani mmoja wao ampige mpaka aone nyota labda ataacha kudhalilisha watu kwenye uchafu blog yake

Hata kuongea hajui vizuri. Ushawahi kumsikia akiongea? Dizaini ana kigugumizi flani hivi.

Naona anachokiweza ni kujificha nyuma ya keyboard na kuandika tu.

Zaidi ya hapo sidhani kama ana ujasiri wa kumwambia mtu ana kwa ana yale yote ayaandikayo.
 
Hata kuongea hajui vizuri. Ushawahi kumsikia akiongea? Dizaini ana kigugumizi flani hivi.

Naona anachokiweza ni kujificha nyuma ya keyboard na kuandika tu.

Zaidi ya hapo sidhani kama ana ujasiri wa kumwambia mtu ana kwa ana yale yote ayaandikayo.

Pia kama hujamstukia akiwa anakaribia kurudi bongo huwa hatukani mtu ana wasahaulisha watu akiondoka ndio anaanza oooh mama sembe sijui nini yani kana roho mbaya halafu basi bora angekuwa nzuri sasa, macho yako karibu karibu utadhani nyani
 
Pia kama hujamstukia akiwa anakaribia kurudi bongo huwa hatukani mtu ana wasahaulisha watu akiondoka ndio anaanza oooh mama sembe sijui nini yani kana roho mbaya halafu basi bora angekuwa nzuri sasa, macho yako karibu karibu utadhani nyani

Hahahahahahaa, sijui Mange angekua mzuri ingekuwaje!
 
Pia kama hujamstukia akiwa anakaribia kurudi bongo huwa hatukani mtu ana wasahaulisha watu akiondoka ndio anaanza oooh mama sembe sijui nini yani kana roho mbaya halafu basi bora angekuwa nzuri sasa, macho yako karibu karibu utadhani nyani

Ila naye anajua wa kuwachokoza maana ingekuwa sisi wengine ambao ni dakika tano mbele eti ndo atuanike na familia zetu huko kwenye blogu yake, walahi leo hii angekuwa anavaa dentures na kusukumwa kwenye wheelchair maana ningekuwa nimeshamvuruga zamani mno na pengine hata ningetumikia kifungo.
 
Mtoto wa Linda hana ugonjwa wowote , mgonjwa ni yeye kaangalie Linda kapost video za mwanae kazuriiiiiii

Mange si chizi akisikia jambo linalomuhusu linda chupi zinambana, hachunguzi mbioooo, anatamani angepewa hata nusu ya uzuri wa linda.
 
Ila naye anajua wa kuwachokoza maana ingekuwa sisi wengine ambao ni dakika tano mbele eti ndo atuanike na familia zetu huko kwenye blogu yake, walahi leo hii angekuwa anavaa dentures na kusukumwa kwenye wheelchair maana ningekuwa nimeshamvuruga zamani mno na pengine hata ningetumikia kifungo.

Sikiliza mkuu ebu tafuta file la cinthia masasi jinsi alivyomuomba msamaha nasema hivi huyu Mange anajua kucheza muvi Angelina Jolie hampati anaomba msamaha mkuu utamsamehe nakwambia mie mwenyewe nilishasema siku akija ingia kwenye 18 zangu kaisha mana nimeshajua anajifanya kujua kuomba misamaha yake ya uongo halafu akiondoka anatukana tena
 
Hahahahahahaa, sijui Mange angekua mzuri ingekuwaje!

Mange si chizi akisikia jambo linalomuhusu linda chupi zinambana, hachunguzi mbioooo, anatamani angepewa hata nusu ya uzuri wa linda.

Angepata hata ile rangi tu ya Linda tungemkoma au mkuu au tako ha ha ha ha mwanamke mbaya na wote anao watukana wazuri hakuna hata mmoja anaemfikia kwa uzuri, Mungu anajua lakini
 
Angepata hata ile rangi tu ya Linda tungemkoma au mkuu au tako ha ha ha ha mwanamke mbaya na wote anao watukana wazuri hakuna hata mmoja anaemfikia kwa uzuri, Mungu anajua lakini

Ndio maana ana chuki sana, halafu anajua kukosoa jamani sijapata kuona.
Mtu anaweza kuwa mzuri tu lakini atakavyomponda hadi wewe utamuona mbaya!
Bora angekua mzuri ingeleta maana kidogo....
 
Mkuu hakusema kwa chuki alimwambia mshikaji wake El na El akamwambia Mwamvita! Mwamvita akamwambia Mange jinsi Albert alichosema Kwani hujawahi kuona ile email ya Mwamvita na Mange? Anamlalamikia alichokisema Albert hawezi kumsamehe na Mange mwenyewe akakiri alimpa tigo Albert! Mkuu mie simpendi sababu anatukana watu kibao bila sababu lakini namjua fikaa na sina haja ya kumsungizia! pia uliza mtu yoyote anaemjua Mange vizuri akwambia kama hanuki mdomo na uchi halafu uje hapa utupe jibu

Haaaahaaaa umenikumbusha ile E-mail kweli mange chizi, alikiri was the best sex for her, eti Igave Al my Ass haa, mama wa watoto 2 wakati huo tena muke ya muzungu haaaa wanalala na wazungu dhiki tu mambo yote kitu black from TZ wewe uwe tu mkweli na muaminifu mbona utaloa kila ukimuona jamaa.
 
Hahahaaaa duh!

Ila hii mitandao inatoa ujasiri sana kwa watu.

Binafsi sidhani kabisa huyo dada kama anaweza kuyasema ana kwa ana yote aandikayo kwenye hiyo blogu yake.

Mtu anaandika kajificha kwenye ki studio apartment chake utadhani bonge la jasiri kumbe hamna lolote.

Ningemwona kweli wa maana kama wote awachanao kwenye hiyo blogu angewaambia ana kwa ana tuone.

Sijui wengine, ila najua kwa mfano ingekuwa mimi, akinambia huo ujinga wake ana kwa ana ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wake maana lazima nitamsababishia kilema cha maisha ndani ya sekunde chache kabisa.
Haaaa umenichekesha eti kilema cha maisha, kuna mwanaume mmoja wa huko US leo kachambwa aache utapeli na aache kukichafua chama ccm maana jamaa ni wa ccm, akaapa hatoi post mpaka jamaa amlipe mama wa kikenya sijui kaogopa kilema, gafla kaitoa kabla michambo haijakuwa mingi, mange jamani.
 
Angepata hata ile rangi tu ya Linda tungemkoma au mkuu au tako ha ha ha ha mwanamke mbaya na wote anao watukana wazuri hakuna hata mmoja anaemfikia kwa uzuri, Mungu anajua lakini

Yeye alichoona kina kasoro kwake ni matiti, pua ndio alivyovichonga upya, alijua mzungu anataka pua ya kizungu mwanamke mbio kwenda kuchonga pua, matiti Bokhe aliyanyonya mama mtu akaona mwanae kamuharibu mbio kwenda kuyasimamisha eti ndio msomihow at 30's unataka uonekane sweet 16? Kisa mzungu sijui ni babake alimuachia wosia atafute mzungu kwa hali na mali apate baraka zake maana demu kasotea haswa mzungu.
 
Ila naye anajua wa kuwachokoza maana ingekuwa sisi wengine ambao ni dakika tano mbele eti ndo atuanike na familia zetu huko kwenye blogu yake, walahi leo hii angekuwa anavaa dentures na kusukumwa kwenye wheelchair maana ningekuwa nimeshamvuruga zamani mno na pengine hata ningetumikia kifungo.

hhhhhaaaaaa
 
Kuna post nimeona hapaa imefutwa Mara mojaaa lo khaaaaaa!!!!!
 
HIV Hua huoni Linda anamvyotukana kila siku mange ,mi siku hiz simtetei kwa kweli wote Tu wakosefu

Sasa wanavotukanana wote wanaonekana ka machizi flani hivi ambao hawana hekima. Mbona kina Nacky kiki shamimu huwa hawarudishi matusi. Hawa wengi wanaokaa nje sijui wana matatizo gani. Bora watukanane wao sio kuingiza hadi watoto Mange inaonekana sababu ni blog na watu wengi wana access. Stress naye zinamsumbua watu mlishatofautiana nao kwanini ana hangaika now.
 
Back
Top Bottom