Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Khaaaaa! Jamani leo nimepitwa sana.Sasa alichokua anafichaficha ni nini?
Halafu niliwahi sikia eti Lance amewahi kulala na Bhoke! Yasiwe ya kweli tu jamani...

Haaa, hilo la kulala na bhoke sidhani, alivyo na domo yule na anavyopenda hela asinge kaa kimya, si unakumbuka ile E-mail yake alivyokiri kwa Mwamvita hampendi Lance ila anakaa nae kwa shida tu hata unyumba hampi miezi mitatu inaisha hadi mzungu analalamika, anasubiri akishapata pesa safi asepe zake, Lance angelala na bhoke mange angetajirikia hapo maana angetaka hela kubwa kuzima soo, na angekuwa kishatajirika na kumuacha mzungu. Halafu umenoice picha zake za sasa anajitahidi sana kuficha mkono vidole visionekane maana hana tena pete ya ndoa, ile proud ya ORIGINAL DIMOND kwisha.
 
Haaa, hilo la kulala na bhoke sidhani, alivyo na domo yule na anavyopenda hela asinge kaa kimya, si unakumbuka ile E-mail yake alivyokiri kwa Mwamvita hampendi Lance ila anakaa nae kwa shida tu hata unyumba hampi miezi mitatu inaisha hadi mzungu analalamika, anasubiri akishapata pesa safi asepe zake, Lance angelala na bhoke mange angetajirikia hapo maana angetaka hela kubwa kuzima soo, na angekuwa kishatajirika na kumuacha mzungu. Halafu umenoice picha zake za sasa anajitahidi sana kuficha mkono vidole visionekane maana hana tena pete ya ndoa, ile proud ya ORIGINAL DIMOND kwisha.

Mange ana wakati mgumu sana yule dada.Kwanini hadumu na wanaume?
Najaribu kuvaa viatu vyake vinanipwaya, na kwanini anazidi kujizidishia maadui?
Kama huyo baba wa watu Lowassa anayemtukana kila siku ana akili nzuri kweli?
 
Mange ana wakati mgumu sana yule dada.Kwanini hadumu na wanaume?
Najaribu kuvaa viatu vyake vinanipwaya, na kwanini anazidi kujizidishia maadui?
Kama huyo baba wa watu Lowassa anayemtukana kila siku ana akili nzuri kweli?

Wewe wa nje tu umemuogopa je huyo anae lala na kuamka nae ataweza mvumilia kweli? Kutukana watu wazima kina kingunge na Lowasa ni ishara tosha kuwa hafai kuwa jamii ya wastaarabu, na si ajabu hata hao wakwe zake kishawatukana mwanamke yule, hata kama aliishi uswahili hii si tabia ya kiswahili kabisa, uswahilini watu wanaheshima zao jamani huyu ni tatizo aisee. Kaamka leo na kuanza kumtusi Linda na kushangilia ugonjwa wa mtoto wa mwenzie na juzi hapa alisema hana ugomvi nae kivile, hapana huyu ni mwisho.
 
Kumbe mange tatizo ni kuachwa na mume, leo amekiri kuwa kuachwa yeye si ajabu mbona kina Nacky wameachwa na huyo Lance hakuzaliwa nae, asamehewe bure tu. Kamwanika mtoto wa Linda kuwa ni mgonjwa Linda kumchamba ndio kamjibu hayo. Loh, mwanamke nyoka kweli unafurahia maradhi ya mtoto wa mwenzake na yeye kazaa? Kweli ana msongo wa mzungu.

kumbe kweli ameachwa!!
 
Mbona huyo mtoto wa Linda anaongeaa Tu,kwa mtoto ni kawaidaaa ataongea Tu

Yaani yule dada mpaka leo sijaelewa kichwa chake kina nini,utadhani mwanga mambo yake!hovyooooooo!!sasa mtu mzima mweye akili timamu unaeza kusema watoto wasiojua chochote kweli kwenye mambo yao??
hana akili mange.
 
Mwenzangu leo tumepitwa wote.Hapa nilipo naumiaje? Leo kajua kutukomesha.

Mie sikupitwaa
Karopokwa leoo, afu juu ya mtoto wa Linda ni urongooo first class. Mtoto wa Linda yupo poa kabisa hana Autism.Na hata kama angekua nayo sio kitu cha kumpigia mama yake.
Mbona Kenzo aliumwa figo ni laana ile?
Kwani kama kuswali na kutukana mbona yeye hadi dua na mayatima anafanya duwa na bado anarudi kutomboka blogini?
MUNGU SIO MJOMBA WAO....
 
Yaani yule dada mpaka leo sijaelewa kichwa chake kina nini,utadhani mwanga mambo yake!hovyooooooo!!sasa mtu mzima mweye akili timamu unaeza kusema watoto wasiojua chochote kweli kwenye mambo yao??
hana akili mange.

Huwa anawehuka anaanza kuattack watoto, wakwe na waume wa wenzake, ndio njia zake huyo.
Hisia zake zimeumizwa sana huyu lazima aumize wenzie.Na ajiangalie sana asije akajitanguliza mbele ya haki kama mzee wake alopigwa dudu akajirestisha in peace.
Hivi vita mwisho wake sio mzuri...
 
kosea kujenga usikosee kuoa hiyo kauli wahenga walinena.
 
hv yule dada nyie mnamuona mzima...?!!

Kuna wakati sijui alimtukana nani kwa blog yake kuwa atazaa mbwa huyo dada alikuwa ana mimba nilisikia kulia! Namchukia Mange kupita mtu yoyote duniani ni mtu mbaya sana
 
Baada ya kukiri kaachwa katoa post zote za maugomvi, anaogopa kuanikwa hahaaaaaa mange mwisho, kawachafua watu nae kajikuta anajichafua, naona Nacky hana akili kama za mange angekuwa mbulula angemjibu huko insta, maskini sijui kaona comments za kutaka kujua kilichojiri hadi kuachwa, kasalimu amri.

Juzi kati nimewaambia hapa huyu anaanza kufunguka taratibu alikubali baba yake alijiua sasa atasema alivyoliwa kiboga hivi punde mtaniambia kachizika vibaya wakati wenzake ndio kwanza walikuwa kwa kaka mh.Makamba akitangaza nia ebu warushe picha atembee uchi kabisa
 
Mie sikupitwaa
Karopokwa leoo, afu juu ya mtoto wa Linda ni urongooo first class. Mtoto wa Linda yupo poa kabisa hana Autism.Na hata kama angekua nayo sio kitu cha kumpigia mama yake.
Mbona Kenzo aliumwa figo ni laana ile?
Kwani kama kuswali na kutukana mbona yeye hadi dua na mayatima anafanya duwa na bado anarudi kutomboka blogini?
MUNGU SIO MJOMBA WAO....

Dua zenyewe anavyoenda sasa? Sijui muislam gani yule asiyejua stara hata ya siku moja tu!
Atajijua mwenyewe bwana, mimi haya maugomvi yake ndiyo anayonikeraga nayo.
Halafu sasa hivi ana stress za ajabu maana alivyovaa kwenye graduation ya Bhoke sio kabisa, hata uso ulikua umechoka sana.
 
Mie sikupitwaa
Karopokwa leoo, afu juu ya mtoto wa Linda ni urongooo first class. Mtoto wa Linda yupo poa kabisa hana Autism.Na hata kama angekua nayo sio kitu cha kumpigia mama yake.
Mbona Kenzo aliumwa figo ni laana ile?
Kwani kama kuswali na kutukana mbona yeye hadi dua na mayatima anafanya duwa na bado anarudi kutomboka blogini?
MUNGU SIO MJOMBA WAO....

Kisa cha kuropoka ni nini sasa? Kuna mwingine alimchokoza au ni mwendelezo?
 
Wewe wa nje tu umemuogopa je huyo anae lala na kuamka nae ataweza mvumilia kweli? Kutukana watu wazima kina kingunge na Lowasa ni ishara tosha kuwa hafai kuwa jamii ya wastaarabu, na si ajabu hata hao wakwe zake kishawatukana mwanamke yule, hata kama aliishi uswahili hii si tabia ya kiswahili kabisa, uswahilini watu wanaheshima zao jamani huyu ni tatizo aisee. Kaamka leo na kuanza kumtusi Linda na kushangilia ugonjwa wa mtoto wa mwenzie na juzi hapa alisema hana ugomvi nae kivile, hapana huyu ni mwisho.

Mtoto wa Linda hana ugonjwa wowote , mgonjwa ni yeye kaangalie Linda kapost video za mwanae kazuriiiiiii
 
Back
Top Bottom