Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Kumbe mange tatizo ni kuachwa na mume, leo amekiri kuwa kuachwa yeye si ajabu mbona kina Nacky wameachwa na huyo Lance hakuzaliwa nae, asamehewe bure tu. Kamwanika mtoto wa Linda kuwa ni mgonjwa Linda kumchamba ndio kamjibu hayo. Loh, mwanamke nyoka kweli unafurahia maradhi ya mtoto wa mwenzake na yeye kazaa? Kweli ana msongo wa mzungu.

Kani bore Leo na kuanza kusema ugonjwa wa mtoto na kusingizia laana ya mamake eti na matusi ndo yamemfanya mtoto awe hivi. Stress zinamsumbua alidhani kwenda USA ndo Ku win life sasa mambo tofauti kachaganyikiwa kila siku kuwahandika marafiki zake wa zamani wasio kuwa na time naye.
Na hata angaika sana mana hana amani amekosa cha kuandika hadi kuanza kuzalilisha wenye maradhi ya mtoto.
 
Kani bore Leo na kuanza kusema ugonjwa wa mtoto na kusingizia laana ya mamake eti na matusi ndo yamemfanya mtoto awe hivi. Stress zinamsumbua alidhani kwenda USA ndo Ku win life sasa mambo tofauti kachaganyikiwa kila siku kuwahandika marafiki zake wa zamani wasio kuwa na time naye.
Na hata angaika sana mana hana amani amekosa cha kuandika hadi kuanza kuzalilisha wenye maradhi ya mtoto.
Mange looser kweli, kumtukana kote Nacky, mnafiki sijui hana bahati ndio maana kaachwa na kumwambia mumuwe akimbie kabisa asimrudie, kumbe nae KAACHWA, sasa nae aanike sababu za kuachika sio kuanika ya watu tu, na anavyopenda wazungu ndio maana kachanganyikiwa, kaachwa na baba bokhe, kaachwa na mzungu ingekuwa haya ni ya shogake weee angepayuka huyo yake anayakalia.
 
Kumbe mange tatizo ni kuachwa na mume, leo amekiri kuwa kuachwa yeye si ajabu mbona kina Nacky wameachwa na huyo Lance hakuzaliwa nae, asamehewe bure tu. Kamwanika mtoto wa Linda kuwa ni mgonjwa Linda kumchamba ndio kamjibu hayo. Loh, mwanamke nyoka kweli unafurahia maradhi ya mtoto wa mwenzake na yeye kazaa? Kweli ana msongo wa mzungu.

Hamadiii!
Pole yake
 
Kani bore Leo na kuanza kusema ugonjwa wa mtoto na kusingizia laana ya mamake eti na matusi ndo yamemfanya mtoto awe hivi. Stress zinamsumbua alidhani kwenda USA ndo Ku win life sasa mambo tofauti kachaganyikiwa kila siku kuwahandika marafiki zake wa zamani wasio kuwa na time naye.
Na hata angaika sana mana hana amani amekosa cha kuandika hadi kuanza kuzalilisha wenye maradhi ya mtoto.

Kile ki kenzo, si kiliwahi kuumwa maini, sijui figo!
Watoto wake anawaita Malaika wa wenzie ni kina nani?
 
Kile ki kenzo, si kiliwahi kuumwa maini, sijui figo!
Watoto wake anawaita Malaika wa wenzie ni kina nani?

Hajui ulemavu hauna mipaka ni mpaka mtu anapofariki, wa kwake any time wanaweza kuwa na ulemavu sijui atawatupa? Hili la watoto linauma tuliache lipite ashughulike nalo mwenyewe.
 
Mbona huyo mtoto wa Linda anaongeaa Tu,kwa mtoto ni kawaidaaa ataongea Tu
 
Mbona huyo mtoto wa Linda anaongeaa Tu,kwa mtoto ni kawaidaaa ataongea Tu

Wewe naweee (in Jay millionare voice) nipo kwenu kesho nawakimbia nimepapenda Diamonds pub mwekezaji wa hapa hongera zake.
 
Kani bore Leo na kuanza kusema ugonjwa wa mtoto na kusingizia laana ya mamake eti na matusi ndo yamemfanya mtoto awe hivi. Stress zinamsumbua alidhani kwenda USA ndo Ku win life sasa mambo tofauti kachaganyikiwa kila siku kuwahandika marafiki zake wa zamani wasio kuwa na time naye.
Na hata angaika sana mana hana amani amekosa cha kuandika hadi kuanza kuzalilisha wenye maradhi ya mtoto.

hv yule dada nyie mnamuona mzima...?!!
 
Uzima autoe wapi?

hamna kitu mule mi nimemtoa akili alivyosema km kuachwa ht nacky kaachwa

aseme kilichomfanya aachwe nini?
hhhhahhaaaaaaaaaa
wanajuaga ndoa mavuzi eeeehhhh...
kusema ht chizi anayoooo
 
hamna kitu mule mi nimemtoa akili alivyosema km kuachwa ht nacky kaachwa

aseme kilichomfanya aachwe nini?
hhhhahhaaaaaaaaaa
wanajuaga ndoa mavuzi eeeehhhh...
kusema ht chizi anayoooo

Baada ya kukiri kaachwa katoa post zote za maugomvi, anaogopa kuanikwa hahaaaaaa mange mwisho, kawachafua watu nae kajikuta anajichafua, naona Nacky hana akili kama za mange angekuwa mbulula angemjibu huko insta, maskini sijui kaona comments za kutaka kujua kilichojiri hadi kuachwa, kasalimu amri.
 
Kumbe Mange aliachwa kweli? Uwiiiii ngoja nikasome umbea u turn mie.
 
Baada ya kukiri kaachwa katoa post zote za maugomvi, anaogopa kuanikwa hahaaaaaa mange mwisho, kawachafua watu nae kajikuta anajichafua, naona Nacky hana akili kama za mange angekuwa mbulula angemjibu huko insta, maskini sijui kaona comments za kutaka kujua kilichojiri hadi kuachwa, kasalimu amri.

Nimechelewa mie nimekuta ameshafuta kila kitu! Looh...
Kwanini msiwe mnapiga screen shots?
Aarrrgggh
 
Nimechelewa mie nimekuta ameshafuta kila kitu! Looh...
Kwanini msiwe mnapiga screen shots?
Aarrrgggh

pole mwaya, baada ya mzuka kumpanda kumtukana linda akajikuta karopoka kuachwa kawaida mbona nacky kaachwa, Lance si ndugu yake hivyo si lazima afe nae, domo lake pana ha.
 
hamna kitu mule mi nimemtoa akili alivyosema km kuachwa ht nacky kaachwa

aseme kilichomfanya aachwe nini?
hhhhahhaaaaaaaaaa
wanajuaga ndoa mavuzi eeeehhhh...
kusema ht chizi anayoooo

Naomba nipostie inbox niusome kama uliwahi kukopi. Nimekuta holla ameshafuta mapemaaa
 
pole mwaya, baada ya mzuka kumpanda kumtukana linda akajikuta karopoka kuachwa kawaida mbona nacky kaachwa, Lance si ndugu yake hivyo si lazima afe nae, domo lake pana ha.

Khaaaaa! Jamani leo nimepitwa sana.Sasa alichokua anafichaficha ni nini?
Halafu niliwahi sikia eti Lance amewahi kulala na Bhoke! Yasiwe ya kweli tu jamani...
 
Back
Top Bottom