Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Binamu yako we niambie umbea tu nitakuelewa, hayo mambo mmengine mnaniacha nyuma ata sijui jinsi ya kuingia, maana notification sizion

Hahahaaa Ngoja nikutumie mtu aje kukuunga we ni zaidi ya umbea wenyewe!
 
Binamu yako we niambie umbea tu nitakuelewa, hayo mambo mmengine mnaniacha nyuma ata sijui jinsi ya kuingia, maana notification sizion

Ha ha ha we na teknolojia wapi na wapi......umbea ndo profession yako.
Umbea wa next level mpk mapafu yajae maji
 
WEwe nae, badae natoa ubuyu bwana usicheze mbal, mi mambo ya kuitana badae ntasahau

Nshakuja mie........ubuyu wako una sumaku huna haja yakuniita mie.Umwage watu waserebuke.Eeeeeeh usiyempenda kaja inaitwa
 
Binamu naomba basi nije kwako kusalimia nimjue na shemej na watoto loh, vbaya hvyo

Ha ha ha ha!
Mmbeya mkubwa weeee, shoga yangu weka huyu mtu mbali na familia tafadhaliiii....
Plz asipafahamu hata kwenu.
 
Ha ha ha ha!
Mmbeya mkubwa weeee, shoga yangu weka huyu mtu mbali na familia tafadhaliiii....
Plz asipafahamu hata kwenu.

Ahahahah ahahah, binamu wivu huo, mimi na nifah dam dam, usituchonganishe please
 
Last edited by a moderator:
tatizo nililoliona hapa ni mtu mmoja kuchukua maneno upande huu na kupeleka upande huu bila kupima kwanza magnitude of impact kwa kile anachokisema,wanawake hawana vifua vya kuhifadhi mambo kabisa,labda ndio sababu mwenyezi Mungu alituambia tuishi nao kwa akili kwasababu hawaeleweki,wengi wao wana ndimi mbili.
 
Ha ha ha ha!
Mmbeya mkubwa weeee, shoga yangu weka huyu mtu mbali na familia tafadhaliiii....
Plz asipafahamu hata kwenu.

Mwenzangu kama sijipendi nijikute tu namkaribisha warumi nyumbani kesho nitakuta habari humu.
 
Last edited by a moderator:
Leo Mwamvita karusha picha kapiga na Bimdo, duh mange atakuwa anaweweseka 😠 😪😪😪 maana ni kajibiwa vizuri kwa jinsi alivyowaongelea na wapo pamoja kama kawa #kampeniyajanuarymakamba #TanzaniaMpya

Maskiiniii itakuwa kalitetemeka kwa hasira na kuanza kulia kwa kuscream kakisema No! No! No!
anawamiss sana kwa kweli.Katajinyonga jamani.
 
Maskiiniii itakuwa kalitetemeka kwa hasira na kuanza kulia kwa kuscream kakisema No! No! No!
anawamiss sana kwa kweli.Katajinyonga jamani.

Kumbe mange tatizo ni kuachwa na mume, leo amekiri kuwa kuachwa yeye si ajabu mbona kina Nacky wameachwa na huyo Lance hakuzaliwa nae, asamehewe bure tu. Kamwanika mtoto wa Linda kuwa ni mgonjwa Linda kumchamba ndio kamjibu hayo. Loh, mwanamke nyoka kweli unafurahia maradhi ya mtoto wa mwenzake na yeye kazaa? Kweli ana msongo wa mzungu.
 
Back
Top Bottom