Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimechoka kuitana baby tu pm, kama noma na iwe noma
Binamu yako we niambie umbea tu nitakuelewa, hayo mambo mmengine mnaniacha nyuma ata sijui jinsi ya kuingia, maana notification sizion
sasa nani baby Wako?
Usinichoshe na maswali yako mxiuuu
kwani unanilipa kukuulizaaa mseeeechuuuuuu
Binamu yako we niambie umbea tu nitakuelewa, hayo mambo mmengine mnaniacha nyuma ata sijui jinsi ya kuingia, maana notification sizion
WEwe nae, badae natoa ubuyu bwana usicheze mbal, mi mambo ya kuitana badae ntasahau
Wambea sie tuko vzur wewe, unatuonaje kwanza?
Binamu naomba basi nije kwako kusalimia nimjue na shemej na watoto loh, vbaya hvyo
mavi yenuuuuuuuu....
Leo Mwamvita karusha picha kapiga na Bimdo, duh mange atakuwa anaweweseka 😠 😪😪😪 maana ni kajibiwa vizuri kwa jinsi alivyowaongelea na wapo pamoja kama kawa #kampeniyajanuarymakamba #TanzaniaMpya
wambea mpooo! tupo, tupo kabisa, jeuri ya jf, jeuri ya warumi, jf oyeeee!
Maskiiniii itakuwa kalitetemeka kwa hasira na kuanza kulia kwa kuscream kakisema No! No! No!
anawamiss sana kwa kweli.Katajinyonga jamani.