Binamu umesharud china? Umeadimikaj kamanda wetu
Wewe me siishi China bwana. Nko dsm full mishkaki na chps zege
Nilisikia umbea upo china na kina matikibokoyao
ana akili za kinyumba ndogo nyumba ndogo
atafute bwana amhaware huku siasani hatutaki vyangudoa maana akiwa rais ataamue leo achepuko wa waziri huyu yule nk
mtu mzima hata ndoa hanaaaw.....
laaana hizo!
Hahaha "umbea" kumbe?? Just for your information jeg bor I norge. Kama hujaelewa na kwa faida ya wambea waloleta umbea kwako ni kwamba naishi norway . Tena sikuja tu kupoteza muda ila nilikuja kuchukua Masters ya.......!! And guess what......??? I just graduated. Hapa naandaa proposal ya phd. Kupiga umbea haina maana kwamba sisi ni nothing...umbea ninextra curricula a.k.a curriculum. umenielewa??
Asante kwa kutupa wambea heshima, soon tutakua na mbea mwenye PhD!
Hahaha "umbea" kumbe?? Just for your information jeg bor I norge. Kama hujaelewa na kwa faida ya wambea waloleta umbea kwako ni kwamba naishi norway . Tena sikuja tu kupoteza muda ila nilikuja kuchukua Masters ya.......!! And guess what......??? I just graduated. Hapa naandaa proposal ya phd. Kupiga umbea haina maana kwamba sisi ni nothing...umbea ninextra curricula a.k.a curriculum. umenielewa??
Ahaha hata dr. Mwele ni mmbea wakati ni director mzima. Huwa siwekagi wazi ishu yangu yoyote huku JF ila kwa hili imebidi manake kuwekwa kundi moja na wale malaya wa china n; zaidi ya uonevu. Jamani kisa umbea ndio kuambiana kwamba Niko kundi moja na matikibokoyao?? warumi ukitaka cheti pia njoo chemba...
Ahaha hata dr. Mwele ni mmbea wakati ni director mzima. Huwa siwekagi wazi ishu yangu yoyote huku JF ila kwa hili imebidi manake kuwekwa kundi moja na wale malaya wa china n; zaidi ya uonevu. Jamani kisa umbea ndio kuambiana kwamba Niko kundi moja na matikibokoyao?? warumi ukitaka cheti pia njoo chemba...
Hahaha "umbea" kumbe?? Just for your information jeg bor I norge. Kama hujaelewa na kwa faida ya wambea waloleta umbea kwako ni kwamba naishi norway . Tena sikuja tu kupoteza muda ila nilikuja kuchukua Masters ya.......!! And guess what......??? I just graduated. Hapa naandaa proposal ya phd. Kupiga umbea haina maana kwamba sisi ni nothing...umbea ninextra curricula a.k.a curriculum. umenielewa??
Ahaha hata dr. Mwele ni mmbea wakati ni director mzima. Huwa siwekagi wazi ishu yangu yoyote huku JF ila kwa hili imebidi manake kuwekwa kundi moja na wale malaya wa china n; zaidi ya uonevu. Jamani kisa umbea ndio kuambiana kwamba Niko kundi moja na matikibokoyao?? warumi ukitaka cheti pia njoo chemba...
Hahahahahaaa warumi kakuchokoa tu bwana sidhani kama kuna ukweli!
NIlikuwa nakuchimba bhana, nilikumis, ila nasikia mati ana bachelor yule, au ndo ya ukahaba?
heeeee hongeraaaaaaaa aiseeee
Heee hata mi nilitaka kupingaa aisewee
Ahahah nilimmis, binamu Mrembo by Nature kapanick wakat nilikuwa namboost, naona kajaa, hahahh ahahh