Bina bwana sijapaniki na wewe. Ni vile kuna wengine hawatajua ni utani wataanza kunitia kundini
Namba 2
hiyo sauti itakua ya mama Daimond kama sikoseiiii,huyo kijana sijui nanio
Hahahahaha hahahahaha warumi jf ni pana. Ilibidi tu niweke clear manake Kuna watu watapita hapa hawatajua ni utani. Ya mati ni makubwa manake Asia yote ameimaliza sasa sijui ni explorer au vipi.
Alafu si umesikia Kuna umbea utawekwa IG Leo kumuhusu domo.
hiyo sauti itakua ya mama Daimond kama sikoseiiii,huyo kijana sijui nanio
Anasema ni mama Romy jonnes
Kuna nn binamu?
Anasema ni mama Romy jonnes
Mwenzenu siwezi kuposti sauti ila mama rommy anamuuliza salehe yule boyfriend Wa mama dai kwamba zipe pic alizoona za harusi ni zake?? Si mnajua yule boyfriend alimkaushia full mama dai na kuhama home pale sinza. In short walikuwa wanaishi wote
sasa huyo mama SI ni mama Daimond au,yupo mwingineee
ooooh yaan hata mi nilikua sijaelewaa aisee,afadhal umefafanuaaa,salehe ni dogo dogo hhhhaaa,jaman bibi mzima kutembea na watoto,pesa zinatoka kwa Daimond,kazi ipo
Huyo kwa pic ni mama dai na yuleee boi wake. Ila kwenye voice ni mama rommy na boi Wa ma dai
Huu umbea mtamu ila sijaupenda ingawa hajamaliza
Hahah y?