Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Umbea namba moja. Kijana anaulizwa na mmama why siku hizi yuko kimya. Bado hajataja ni akina nani
 

Attachments

  • 1433794332394.jpg
    62.7 KB · Views: 347

Umbea gan huo? Maana nasikia tena rumy kaaribu yan nimechanganyikiwaje leo, apa silali mpaka nipate umbea... domo kafanyaje kaachwa au?
 
Last edited by a moderator:
Mwenzenu siwezi kuposti sauti ila mama rommy anamuuliza salehe yule boyfriend Wa mama dai kwamba zipe pic alizoona za harusi ni zake?? Si mnajua yule boyfriend alimkaushia full mama dai na kuhama home pale sinza. In short walikuwa wanaishi wote
 
Mwenzenu siwezi kuposti sauti ila mama rommy anamuuliza salehe yule boyfriend Wa mama dai kwamba zipe pic alizoona za harusi ni zake?? Si mnajua yule boyfriend alimkaushia full mama dai na kuhama home pale sinza. In short walikuwa wanaishi wote


ooooh yaan hata mi nilikua sijaelewaa aisee,afadhal umefafanuaaa,salehe ni dogo dogo hhhhaaa,jaman bibi mzima kutembea na watoto,pesa zinatoka kwa Daimond,kazi ipo
 
ooooh yaan hata mi nilikua sijaelewaa aisee,afadhal umefafanuaaa,salehe ni dogo dogo hhhhaaa,jaman bibi mzima kutembea na watoto,pesa zinatoka kwa Daimond,kazi ipo

Basi ndio umbea unaendelea ntaendelea kuripoti
 
Mange huyo na wake kawarushia jibu saa moja mbili iliyopita na caption hiyo msome

 
kuongelea yasiyowekewa purufu kwamba wanaosema wameongea kwa hiyo audio ndio waliotajwa ya kudhania na kutungwa hayana dili. Tunajua ni wivu umejaa wanaochukia wasafi team.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…