Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Yaani yule dada mpaka leo sijaelewa kichwa chake kina nini,utadhani mwanga mambo yake!hovyooooooo!!sasa mtu mzima mweye akili timamu unaeza kusema watoto wasiojua chochote kweli kwenye mambo yao??
hana akili mange.

Nimepata shida sana na huyu mange kimambi ila nadhani nimeshanzaa kumzoea, huyo ni kichaa mwingine tu mwenye stress za kila rangi.
 
Nimeokaota na hako kapicha. Anajilinganisha uzuri na Linda etiiii
 

Attachments

  • 1433848179717.jpg
    1433848179717.jpg
    42.7 KB · Views: 278
Pia kama hujamstukia akiwa anakaribia kurudi bongo huwa hatukani mtu ana wasahaulisha watu akiondoka ndio anaanza oooh mama sembe sijui nini yani kana roho mbaya halafu basi bora angekuwa nzuri sasa, macho yako karibu karibu utadhani nyani

Hahahaaa utadhani Nyaningabu au? Hii comment imenivunja mbavu jamani, ila mi nakaonaga kanapendeza nguo.
 
Last edited by a moderator:
sasa hv ht mie nafurahi maana hii team pinzani wanafki sana
siwaonei huruma ht kidogo

We naweee (in Jay million's voice) tuoneege wenzio huruma buana kwenye mambo kama haya, Mhhh warumi ni kweli ulikuwa unamchokoza Mrembobynature? Ila hata kuna siku nilikuwa napiga umbea huko PM na mtu fudenge hivi akadai eti wewe ni kati ya wale wasichana watatu akina matikibokiyao.
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi simuonei huruma.Kama wanae walikaa kimya na kuona sawa mimi iniume inahusu jamani?
Ipo siku nikiamua nitaweka hadi picha zao za mahaba.....
Nawaangalia tu.

hhhhhwhaaaaaahahaaa...
umeona eeehhhh...
tena wenyewe wanaona burdaaani
leo dogi kacharuka hatariii analeta mambo tu..
muachie dogi alete mambo...
mtu mzima usipojiheshimu tuliaa unyoleweee
 
We naweee (in Jay million's voice) tuoneege wenzio huruma buana kwenye mambo kama haya, Mhhh warumi ni kweli ulikuwa unamchokoza Mrembobynature? Ila hata kuna siku nilikuwa napiga umbea huko PM na mtu fudenge hivi akadai eti wewe ni kati ya wale wasichana watatu akina matikibokiyao.

hhhahaaaahaaaa... mie wala si team wema..!!!
na wala siwajui wale sema dogi ananifurahisha tu!
 
Last edited by a moderator:
We naweee (in Jay million's voice) tuoneege wenzio huruma buana kwenye mambo kama haya, Mhhh warumi ni kweli ulikuwa unamchokoza Mrembobynature? Ila hata kuna siku nilikuwa napiga umbea huko PM na mtu fudenge hivi akadai eti wewe ni kati ya wale wasichana watatu akina matikibokiyao.

Hahahaha binti kiziwi ndio nshawapa taarifa sasa. Na anaeona haamini aje PM nimmwagie macertificate (manake ni mengi si machache) kabisa manake JF ukiwa mstaarabu na kukip privacy unapandwa kichwani.
Na mtaani tuna maisha yetu vile vile.
Mtu kupenda umbea sio kigezo cha kumuona si Mali kitu.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha binti kiziwi ndio nshawapa taarifa sasa. Na anaeona haamini aje PM nimmwagie macertificate (manake ni mengi si machache) kabisa manake JF ukiwa mstaarabu na kukip privacy unapandwa kichwani.
Na mtaani tuna maisha yetu vile vile.
Mtu kupenda umbea sio kigezo cha kumuona si Mali kitu.

Kwa kweli, tatizo watu tunachukuliana serious sana humu! Kudos mwaya.
 
Last edited by a moderator:
Wacha wajirambishe ndimu.
Nitarudi.

Mimi huko u turn panafunguka na post yake ya leo hiyo hapo.
Ndio anaanza kumpamba bibie Dr. Mwele
 

Attachments

  • 1433855135296.jpg
    1433855135296.jpg
    40.7 KB · Views: 230
Back
Top Bottom