Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
Koh koh koh koh!
So mama dai alikua anaishi na hako kaserengeti boi?
Asante. Yani waliishi nyumba moja na dai, ESMA na rommy. Hats IG walikuwa wanamposti na comment. Wanamuita uncle
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Koh koh koh koh!
So mama dai alikua anaishi na hako kaserengeti boi?
Nimechelewa mie nimekuta ameshafuta kila kitu! Looh...
Kwanini msiwe mnapiga screen shots?
Aarrrgggh
Yaani yule dada mpaka leo sijaelewa kichwa chake kina nini,utadhani mwanga mambo yake!hovyooooooo!!sasa mtu mzima mweye akili timamu unaeza kusema watoto wasiojua chochote kweli kwenye mambo yao??
hana akili mange.
Haaa, ningejua ningescreenshot.
Aah...ila si yalipita auuu...
Mie nafurahia hapa kwa vile ni team ya jirani, ila kamoyo kanadunda.
Pia kama hujamstukia akiwa anakaribia kurudi bongo huwa hatukani mtu ana wasahaulisha watu akiondoka ndio anaanza oooh mama sembe sijui nini yani kana roho mbaya halafu basi bora angekuwa nzuri sasa, macho yako karibu karibu utadhani nyani
sasa hv ht mie nafurahi maana hii team pinzani wanafki sana
siwaonei huruma ht kidogo
sasa hv ht mie nafurahi maana hii team pinzani wanafki sana
siwaonei huruma ht kidogo
Hata mimi simuonei huruma.Kama wanae walikaa kimya na kuona sawa mimi iniume inahusu jamani?
Ipo siku nikiamua nitaweka hadi picha zao za mahaba.....
Nawaangalia tu.
Asante. Yani waliishi nyumba moja na dai, ESMA na rommy. Hats IG walikuwa wanamposti na comment. Wanamuita uncle
sasa hv ht mie nafurahi maana hii team pinzani wanafki sana
siwaonei huruma ht kidogo
Hahahaha binti kiziwi ndio nshawapa taarifa sasa. Na anaeona haamini aje PM nimmwagie macertificate (manake ni mengi si machache) kabisa manake JF ukiwa mstaarabu na kukip privacy unapandwa kichwani.
Na mtaani tuna maisha yetu vile vile.
Mtu kupenda umbea sio kigezo cha kumuona si Mali kitu.
Kwa kweli, tatizo watu tunachukuliana serious sana humu! Kudos mwaya.
umeona eeehhhhh....
Wacha wajirambishe ndimu.
Nitarudi.
Mimi huko u turn panafunguka na post yake ya leo hiyo hapo.
Ndio anaanza kumpamba bibie Dr. Mwele
muambieni hatutaki rais kimada wala kwenye nchi yetu