Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

muambieni hatutaki rais kimada wala kwenye nchi yetu

huyu mange amerogwa...nadhan laana za mama ake mzazi zinamtafuna kwa kweli kwa mitusii yote kwa kina January na Lowassa kumbe alikua amejiandaa kumpa mama ake promo??? na hapati ng'ooo atasikia huo urais kwenye bomba...shame on you Mange
 
Huyu mama atachafuka bure aachane na haya mambo. Watu watamtumia yeye kumtukana mange ohooo abegooo big momma pls leave this battle

Angekuwa hana uhusiano na Mange watu wengi wangemsapoti ila uhusiano wake na Mange utamcost afadhali agombee Asha Mwigiro sijui nimepatia jina
 
Hata mimi simuonei huruma.Kama wanae walikaa kimya na kuona sawa mimi iniume inahusu jamani?
Ipo siku nikiamua nitaweka hadi picha zao za mahaba.....
Nawaangalia tu.

Wekaaa
Ntumie pm mwaya.Nasikia bibie ashawah kurekodiwa akizungusha mauno pale katiii yani mie nilipitwa kwa kweli
 
huyu mange amerogwa...nadhan laana za mama ake mzazi zinamtafuna kwa kweli kwa mitusii yote kwa kina January na Lowassa kumbe alikua amejiandaa kumpa mama ake promo??? na hapati ng'ooo atasikia huo urais kwenye bomba...shame on you Mange

Bad tactic.
 
Kwisha habari yake, kifupi tu tumwambie mange, matusi yoote n chuki yake kwa zari hapa inatakiwa izidishwe mara 1000, coz anamchukia zari kisa dai, wakati wema alimtosa dai wa watu alitaka asifanye tena eeee, sasa anampambaje huyu wakati alikuwa mchepuko wa dingi yake wakati dingi yuko na ndoa? Hatutaki michepuko hilo ajue, eti mamake huyu anakubalika kimataifa loh. Kwendraaaa, mitusi yote kwa kina lowasa kumbe ilikuwa anatuandalia huyu mfyuuuuu.
 
Wekaaa
Ntumie pm mwaya.Nasikia bibie ashawah kurekodiwa akizungusha mauno pale katiii yani mie nilipitwa kwa kweli

Hahahahahaa jamani nimetoka huko instagram nimecheka hadi machozi!
Hizo audio ni balaa...
Kweli mama Dai ana mambo balaa!
Kuhusu picha subiri tu....
 
Mange ana wakati mgumu sana yule dada.Kwanini hadumu na wanaume?
Najaribu kuvaa viatu vyake vinanipwaya, na kwanini anazidi kujizidishia maadui?
Kama huyo baba wa watu Lowassa anayemtukana kila siku ana akili nzuri kweli?

Anadumuje na mwanaume wakati kabeba machozi ya watu kibao masikitiko ya watu Mungu nae anayasikia lazma aadhibiwe.... na mwanaume gani atakaa na mwanamke kila kukicha mabifu na watu hamna amani kila kukicha anakuadithia jinsi atakavyomchamba mtu.... it cant work like that hata robo....
 
Anadumuje na mwanaume wakati kabeba machozi ya watu kibao masikitiko ya watu Mungu nae anayasikia lazma aadhibiwe.... na mwanaume gani atakaa na mwanamke kila kukicha mabifu na watu hamna amani kila kukicha anakuadithia jinsi atakavyomchamba mtu.... it cant work like that hata robo....

Nimevuta picha tu hubby anarudi unaanza kumsimulia Leo nimemchamba Fulani kakomajeee...khaa
 
Nimevuta picha tu hubby anarudi unaanza kumsimulia Leo nimemchamba Fulani kakomajeee...khaa

Na alivyo mshari kwenye blog yake na kwenye Ku control familia yuko hivo hivo. Kuna watu wameendekeza ugomvi kuwa sehemu ya maisha yao ya kila siku.
Nadhani hao marafiki asipowaandika kwa blog hasikii raha.
 
Anadumuje na mwanaume wakati kabeba machozi ya watu kibao masikitiko ya watu Mungu nae anayasikia lazma aadhibiwe.... na mwanaume gani atakaa na mwanamke kila kukicha mabifu na watu hamna amani kila kukicha anakuadithia jinsi atakavyomchamba mtu.... it cant work like that hata robo....

Umeongea la maana sana, haya maugomvi sio kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Ungesoma posts vizuri zilizopita ungeona nini kilileta group na umekuta nilikutumia mwaliko ukajiunga.

Hakuna tabu naweza kuliamishia kwenu, nasubiri warumi ambaye pia nilimtumia kujiunga akijiunga nalihamishia kwake yeye ndie ataweza au pia nifah au mwingine yoyote.

Kuna wambea kama 10 bado hawajakubali au hawajaona request ya kujiunga wakajiunga zipo pending.

Au mtachagua nani ashike usikani. Hakuna tabu

Can I join you ladies?:msela:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom