Uwiiii jamani mbona mimi nimepitwa, mange aliandika wapi hiyo comment??? So ilikuwaje hadi akaandika? Haaaaa, basi kaenda insta kaweka picha kamkumbatia lance eti wameshikana viuno wakapiga picha, sijui anamdanganya nani.nina shosti yangu ameshaolewa na wazungu aliyenaye sasahivi wa 4 lol yeye anapendaga tu kuolewaolewa sasa wakati hajaolewa na huyu wa 4, mbona yule wa 3 alikuwaga anakuja kwake maana wana mtoto, anaweza kaa pale weekend akalala, usiku analala sebuleni kwenye sofa.mchana ukiwakuta awako dukani kununua mahitaji ya watoto litakushuka kma ulisikia wameachana, kumbe wameshaachana long time.so watu wa namna hiyo hata picha wanaweza piga wamekumbatiana, kuna mdada mkenya naye namjua mzungu washaachana but wako wanaishi nyumba 1 mwaka wa sita sasa,maana walichukua mkopo wa nyumba so kuachana kabisa bank itawaambia ok nyumba iuzwe mtulipe pesa zetu kutatokea makasheshe kibao.wao wana mtoto 1 mkubwa keshahama home.basi wanakaaa tu humo kila mtu na maisha yake khaaaaa wazungu ni mwishooooo.eti majuzi huyo mzungu kaenda out karudi na mwanamke mthailand, kaja kalala naye chumbani kwake, maana kila mtu ana chumba chake,,hahahahaaa kesho yake mthai katoka anaondoka mama mwenye nyumba yuko sebuleni anamtazama.baada ya hapo zikapigwa ngumi mkenya anamuambia mr nilishakuambia kuleteana mabibi humu sitaki la sivyo namimi nitaanza kuleta mabwana, naomba tuheshimiane hahahahahahaa lolest so mimi picha za mange hata aweke picha wanakiss wala sistuki kituuuuuuu chochote, nawajua wazungu in and out,by the way niko ulaya mwaka wa 18 nishakaa na mzungu miaka 11 nikasepaaa,nikarudi kwa kaka zetu hahahahaaaha niliona mmh nisije nikadata nikaanzisha blog ya kutukana watu kwa stress bureeeeee