Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Hata mimi simuonei huruma.Kama wanae walikaa kimya na kuona sawa mimi iniume inahusu jamani?
Ipo siku nikiamua nitaweka hadi picha zao za mahaba.....
Nawaangalia tu.

Diamond alishasema bora wamtukane yeye si mama ake heheh sasa hapo sijui itakuwaje!
 
Diamond alishasema bora wamtukane yeye si mama ake heheh sasa hapo sijui itakuwaje!

Ndio maana sijaona akipost chochote? Aisee hili limemuuma sana. Avemaria leo nimecheka balaa, na hizo caption za dougiemasta ndio nikawa nazidi kuvunjika mbavu!
 
Last edited by a moderator:
HIV Hua huoni Linda anamvyotukana kila siku mange ,mi siku hiz simtetei kwa kweli wote Tu wakosefu

Ulishaona Linda kaamka bize tu akaenda kuwapost/kuwatusi watoto wa Mange....yeye kama yeye tu?

Wao ugomvi wao na waendelee tu kutukanana maana inaonekana wameshaliana yamini ila mange anakosea sana kuwanyambua watoto wa mwenzie coz mwisho wa siku yeye ndiye anaishia kuwa loser na Bhoke kuwa victim maana mwenzie kila anachomtukania anamprove wrong. Uzuri wa Linda anadeal na adui yake hao wengine mpaka aanzishiwe!
 
Ulishaona Linda kaamka bize tu akaenda kuwapost/kuwatusi watoto wa Mange....yeye kama yeye tu?

Wao ugomvi wao na waendelee tu kutukanana maana inaonekana wameshaliana yamini ila mange anakosea sana kuwanyambua watoto wa mwenzie coz mwisho wa siku yeye ndiye anaishia kuwa loser na Bhoke kuwa victim maana mwenzie kila anachomtukania anamprove wrong. Uzuri wa Linda anadeal na adui yake hao wengine mpaka aanzishiwe!

Hakuna siku Linda alimwanza Mange kama hajachokozwa, HAKUNA!
Mange huwa anafanikiwa kuwashika hisia watu wengi sana.
Yeye ni emotional manipulator, wacha wawe manipulated hadi hawaoni ubaya wake...
Yani katukana watu zaidi ya hamsini, Linda katukana wangapi zaidi ya Kima?
Tena ni katika kujibu mashambulizi.
 
Umbea unanikuna mwenzangu..... nlikuaga najua jf kunaboa ni siasa tuuu mpka mtu alivyontonya.... saiv mpaka nasahau fb

Hahahahaa, mimi nilishapasahau kabisa.
Ngoja nitakuunga kwenye group la umbea...
 
Ndio maana sijaona akipost chochote? Aisee hili limemuuma sana. Avemaria leo nimecheka balaa, na hizo caption za dougiemasta ndio nikawa nazidi kuvunjika mbavu!

Dah.......mie nimepitwa aisee sijaziona.
Nilikuwa busy naandika vitu flani kwenye laptop kumbe napitwa, bado zipo hizo post nikazisome?
 
Hakuna siku Linda alimwanza Mange kama hajachokozwa, HAKUNA!
Mange huwa anafanikiwa kuwashika hisia watu wengi sana.
Yeye ni emotional manipulator, wacha wawe manipulated hadi hawaoni ubaya wake...
Yani katukana watu zaidi ya hamsini, Linda katukana wangapi zaidi ya Kima?
Tena ni katika kujibu mashambulizi.

Ila nae Linda anafanya sio kuwa anaingilia maugomvi yasioyomhusu kisa tu kawa tagged na wanaomtag ndo wanamharibia.
Refer kile kichambo cha Huddah kwa Mange......hapo kulikuwa na haja gani ya yeye kwenda kuchamba kule.
Angeyaacha tu

ila for the rest.....hakuna shida maana am sure ka Mange kanamtukanaga kwa acc zingine teh kama ile ya aminasaidia dooough mange bhana. But Linda aaahh anachamba yule mwanamke si kidogo aisee
 
hhhhhwhaaaaaahahaaa...
umeona eeehhhh...
tena wenyewe wanaona burdaaani
leo dogi kacharuka hatariii analeta mambo tu..
muachie dogi alete mambo...
mtu mzima usipojiheshimu tuliaa unyoleweee

Mnasikitisha kushabikia tabia mbaya za wazazi wa watu kutukanwa kama vile wao ni wa kwanza kudate. Tabu wivu mbaya vijana nyie
 
Uwiiii jamani mbona mimi nimepitwa, mange aliandika wapi hiyo comment??? So ilikuwaje hadi akaandika? Haaaaa, basi kaenda insta kaweka picha kamkumbatia lance eti wameshikana viuno wakapiga picha, sijui anamdanganya nani.nina shosti yangu ameshaolewa na wazungu aliyenaye sasahivi wa 4 lol yeye anapendaga tu kuolewaolewa sasa wakati hajaolewa na huyu wa 4, mbona yule wa 3 alikuwaga anakuja kwake maana wana mtoto, anaweza kaa pale weekend akalala, usiku analala sebuleni kwenye sofa.mchana ukiwakuta awako dukani kununua mahitaji ya watoto litakushuka kma ulisikia wameachana, kumbe wameshaachana long time.so watu wa namna hiyo hata picha wanaweza piga wamekumbatiana, kuna mdada mkenya naye namjua mzungu washaachana but wako wanaishi nyumba 1 mwaka wa sita sasa,maana walichukua mkopo wa nyumba so kuachana kabisa bank itawaambia ok nyumba iuzwe mtulipe pesa zetu kutatokea makasheshe kibao.wao wana mtoto 1 mkubwa keshahama home.basi wanakaaa tu humo kila mtu na maisha yake khaaaaa wazungu ni mwishooooo.eti majuzi huyo mzungu kaenda out karudi na mwanamke mthailand, kaja kalala naye chumbani kwake, maana kila mtu ana chumba chake,,hahahahaaa kesho yake mthai katoka anaondoka mama mwenye nyumba yuko sebuleni anamtazama.baada ya hapo zikapigwa ngumi mkenya anamuambia mr nilishakuambia kuleteana mabibi humu sitaki la sivyo namimi nitaanza kuleta mabwana, naomba tuheshimiane hahahahahahaa lolest so mimi picha za mange hata aweke picha wanakiss wala sistuki kituuuuuuu chochote, nawajua wazungu in and out,by the way niko ulaya mwaka wa 18 nishakaa na mzungu miaka 11 nikasepaaa,nikarudi kwa kaka zetu hahahahaaaha niliona mmh nisije nikadata nikaanzisha blog ya kutukana watu kwa stress bureeeeee
 
Huyo Rose Kimambi ni nani? mama wa kambo wa Mange? au ndio yule aliowazaa wadogo zake Mange yule K na yule mwingine Anil bonge mpana kama uwanja wa taifa???
 
Huyo Rose Kimambi ni nani? mama wa kambo wa Mange? au ndio yule aliowazaa wadogo zake Mange yule K na yule mwingine Anil bonge mpana kama uwanja wa taifa???


hhhhhaaa eti mpana kama uwanja wa taifaa hhhhaaa
 
Back
Top Bottom