Ynaa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 252
- 174
Ulishaona Linda kaamka bize tu akaenda kuwapost/kuwatusi watoto wa Mange....yeye kama yeye tu?
Wao ugomvi wao na waendelee tu kutukanana maana inaonekana wameshaliana yamini ila mange anakosea sana kuwanyambua watoto wa mwenzie coz mwisho wa siku yeye ndiye anaishia kuwa loser na Bhoke kuwa victim maana mwenzie kila anachomtukania anamprove wrong. Uzuri wa Linda anadeal na adui yake hao wengine mpaka aanzishiwe!
Kanchefua sana kumnyumbua innocent kid wa 4yrs afu anamcompare na Kenzo wake,dunia duara leo kwako kesho kwa yule! Ulemavu huja mda wowote ktk maisha ya bnadamu! Ataja rogwa huyu huyu mange aanze okota makopo©,List ya wanaomchukia ni wengi mnoo khaa