Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Ulishaona Linda kaamka bize tu akaenda kuwapost/kuwatusi watoto wa Mange....yeye kama yeye tu?

Wao ugomvi wao na waendelee tu kutukanana maana inaonekana wameshaliana yamini ila mange anakosea sana kuwanyambua watoto wa mwenzie coz mwisho wa siku yeye ndiye anaishia kuwa loser na Bhoke kuwa victim maana mwenzie kila anachomtukania anamprove wrong. Uzuri wa Linda anadeal na adui yake hao wengine mpaka aanzishiwe!

Kanchefua sana kumnyumbua innocent kid wa 4yrs afu anamcompare na Kenzo wake,dunia duara leo kwako kesho kwa yule! Ulemavu huja mda wowote ktk maisha ya bnadamu! Ataja rogwa huyu huyu mange aanze okota makopo©,List ya wanaomchukia ni wengi mnoo khaa
 
Mange hamfikii Linda kwa uzuri na shepu!.

Hiv unajua sa ingine hata km una sura na shape mbaya ila unatabia nzuri utaonekana mcute tuu,sasa hawa wote wawili mie nawaona wabaya tuu
 
Nimepata shida sana na huyu mange kimambi ila nadhani nimeshanzaa kumzoea, huyo ni kichaa mwingine tu mwenye stress za kila rangi.

Akili zake na za Mbuta Nanga hazina tofauti,hahaa afu cha ajabu anamuita Mbuta golila wakati sijui zombie lool mwanamke ana makubwa huyu
 
Mnasikitisha kushabikia tabia mbaya za wazazi wa watu kutukanwa kama vile wao ni wa kwanza kudate. Tabu wivu mbaya vijana nyie

hahaaaaahhhaaaaa.....
walivyoshabikia mama wa wema kutukanwaaaa mbwa haoooo
shauri yaoo...!!
tena bas kwa mama wema picha zilieditiwa tu ila walimkashifu mama wa watu sana tu
leo hii kafanyiwa daimond ndo nione huruma mxiiiiiuuuuu....

jiheshimi uheshimiweee....

nnashabikia vizuri tu tena sanaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!
 
hahaaaaahhhaaaaa.....
walivyoshabikia mama wa wema kutukanwaaaa mbwa haoooo
shauri yaoo...!!
tena bas kwa mama wema picha zilieditiwa tu ila walimkashifu mama wa watu sana tu
leo hii kafanyiwa daimond ndo nione huruma mxiiiiiuuuuu....

jiheshimi uheshimiweee....

nnashabikia vizuri tu tena sanaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!


hhhhaaa waaache unafiki
 
Hayaaa kutoka uturn domo KUBWA mzurimie @ms Lincoln mkujee
 

Attachments

  • wp_ss_20150610_0001.png
    wp_ss_20150610_0001.png
    36.1 KB · Views: 264
Last edited by a moderator:
Huyu mama atachafuka bure aachane na haya mambo. Watu watamtumia yeye kumtukana mange ohooo abegooo big momma pls leave this battle

Yaani mimi nishaweka picha mfano ndo kashinda huyu Mange si mashauzi yataongezeka

Hivi nyinyi mnaota? Mnajuwa Malecela Mzee alikuwa powerful kiasi gani na Urais akashindwa kupata ndio sembuse huyu kiburudisho cha Kim Kimbangambanga?
 
Huyo ukute ni mange mwenyewe huwa ana comment kwa I'd tofauti. Naona Leo wanaponda Jf kwa sana. Watu wa ile blog kwahyo huwa kusifia tu hamna Ku criticize.


huku jf yupo Sanaa sema hatuijui I'd yake
 
Hivi nyinyi mnaota? Mnajuwa Malecela Mzee alikuwa powerful kiasi gani na Urais akashindwa kupata ndio sembuse huyu kiburudisho cha Kim Kimbangambanga?


shangaaa na wewe wanataka umaarufu Tu,urais atauota
 
Hayaaa kutoka uturn domo KUBWA mzurimie @ms Lincoln mkujee

Haa! huyu mbwiga kweli nani asilae kwa ajili ya mange, mtu aliekataliwa mpaka ukweni amnyime nani usingizi? Haaaaaha hawa misukule yake inamdanganya ili iendelee kupewa mitumba na sasa hatoi bure kawaambia nguo anauza watakoma, kuna msukule mmoja unajiita fenesi, kuna siku eti anaomba masufuria ya mange yale alokuwa antumia dubai loh, nimewashusha sana mtu kahama mwaka wa 3 huu leo unaomba sufuria mwanamke mzimaaa, kweli tutamualika bi chau awafunde hao misukule.
 
Hayaaa kutoka uturn domo KUBWA mzurimie @ms Lincoln mkujee

Asante, Duh huyo aliyeandika angejua hata sura ya huyo mangereza sijawahi iona na kwa tabia yake Mungu aniepushie nisije kuwa na rafiki kama huyo.

Mange wa humu kwa mie namwita zels humu kwenye mipasho aingiagi ikiiva maana anaandika ki mange mange kabisa. Lol kabda now atakuja kutetea
 
Last edited by a moderator:
Haa! huyu mbwiga kweli nani asilae kwa ajili ya mange, mtu aliekataliwa mpaka ukweni amnyime nani usingizi? Haaaaaha hawa misukule yake inamdanganya ili iendelee kupewa mitumba na sasa hatoi bure kawaambia nguo anauza watakoma, kuna msukule mmoja unajiita fenesi, kuna siku eti anaomba masufuria ya mange yale alokuwa antumia dubai loh, nimewashusha sana mtu kahama mwaka wa 3 huu leo unaomba sufuria mwanamke mzimaaa, kweli tutamualika bi chau awafunde hao misukule.

Hiyo ya fenesi kali anaomba masufuria, inaonyesha wafuasi wake wakoje maana ni kama amewapa uhuru hawana maisha mengine kazi yao kusapoti up.upu wa mange tu hata iweje utadhani wanalipwa

Labda kwenye kampeni ya mama wa kufikia watapewa mgawo wasaidie kusambaza sera za siasa zake.
 
Asante, Duh huyo aliyeandika angejua hata sura ya huyo mangereza sijawahi iona na kwa tabia yake Mungu aniepushie nisije kuwa na rafiki kama huyo.

Mange wa humu kwa mie namwita zels humu kwenye mipasho aingiagi ikiiva maana anaandika ki mange mange kabisa. Lol kabda now atakuja kutetea



Really? ??,
 
Last edited by a moderator:
Huyo ukute ni mange mwenyewe huwa ana comment kwa I'd tofauti. Naona Leo wanaponda Jf kwa sana. Watu wa ile blog kwahyo huwa kusifia tu hamna Ku criticize.

Yani katika huo uzi wa mama Mwele maneno hayo hayo alotumia Mange kuna mtu aliyatumia.
Nadhani atakua ni mangereza mwenyewe
We dare to talk openly.Sisi sio bendera fata upepo.
 
Back
Top Bottom