Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?



makubwaaaa hayooo we umekua tena amarachua basi we ni Linda tenaaa
 
Last edited by a moderator:
hiyo ilikuwa ni kuonyesha tu kuwa dunia nzima watoto wa nje ya ndoa wana majina maalum,sisi tunawaita Haramu,kataa kubali watoto wa nje ya ndoa ni haramu


hakuja mtoto haram,basi nabii Suleiman asingebarikiwaaa banaa
 

Mange sasa hana amani kwisha habari yake, huyo fenesi baada ya kuomba masufuria hata hajajibiwa, Mange sasa amekuwa wa kuuza nguo alizovaa na sio kutoa bure, eti anauza nguo kama ya shamimu kwa kuwa hawezi vaa sare na shamimu, si angeichoma kama kaona ni nuksi au angempa fenesi why anawauzia? Kwisha jeuri yake.
 
hakuja mtoto haram,basi nabii Suleiman asingebarikiwaaa banaa
Mhuuuuum.kumbuka Daudi kabla ya kumzaa Suleiman alichezea adhabu kali sana,tena mwanae wa kwanza aliezaa na mke wa URIO ALIKUFA,Mungu husamehe,Mungu aliona URIO KISHAULIWA,HAKUNA JINSI,na ilikuwa lazima apatikane wa kushika kiti kutokea kwa mfalme DAUDI.ISHMAEL japokuwa alizaliwa wa kwanza kwa IBRAHIM ILA alipata baraka kidogo ukilinganisha na mtoto wa ndani ya Ndoa ambae ni ISACK.Mtoto haramu hajaanza leo wapo ISHMAEL in this case,
 

aaagh angeichoma hiyo kali mbavu zangu mie. kweli angempa fenesi, duh hapo kachemsha kuiuza, atakae nunua aisalie maana lazima mdomo wake ulitu.kana sana siku hiyo. chezea pesa anazihitaji
 
aaagh angeichoma hiyo kali mbavu zangu mie. kweli angempa fenesi, duh hapo kachemsha kuiuza, atakae nunua aisalie maana lazima mdomo wake ulitu.kana sana siku hiyo. chezea pesa anazihitaji

Yaani anavyomchukia shamimu, kisa shamimu anaendesha gari amablo mange ndio dream yake alikiri kuipenda sana range rover sasa akiona hivyo analipuka eti sembe, sembe ikulu wanayo majina ya wauzaji mbona asimtukane JK kwa kuyahifadhi hayo majina?
 
Yaani anavyomchukia shamimu, kisa shamimu anaendesha gari amablo mange ndio dream yake alikiri kuipenda sana range rover sasa akiona hivyo analipuka eti sembe, sembe ikulu wanayo majina ya wauzaji mbona asimtukane JK kwa kuyahifadhi hayo majina?

Ok duh basi kazi anayo haswa

Labda atajigonga kwa Shamim kama best wake Nacky alivyojigonga kwa Mwamvita

Mbavu zangu
 
Hahahahaa, mimi nilishapasahau kabisa.
Ngoja nitakuunga kwenye group la umbea...

Hahahaa huwa nasoma tu sicomment ila hapa umenikuna.....haya nijoin shoga angu kwenye group hilo,umbea ni starehe mwenzangu wacha tujiachieee
 
Hahahaa huwa nasoma tu sicomment ila hapa umenikuna.....haya nijoin shoga angu kwenye group hilo,umbea ni starehe mwenzangu wacha tujiachieee

Ama nini? Jihesabie umo.Subiri tu notification sasa hivi.
 
Habari za kazi dada zanguni mnaendeleaje!!! Nimepita kuwakumbushia ushauri wangu kwenu niliowapa sijui mmeufanyia kazi.

Ahsante sana tapita siku ingine muda ukiniruhusu kuwakumbusha.

Nawapendeni sana.
 
Habari za kazi dada zanguni mnaendeleaje!!! Nimepita kuwakumbushia ushauri wangu kwenu niliowapa sijui mmeufanyia kazi.

Ahsante sana tapita siku ingine muda ukiniruhusu kuwakumbusha.

Nawapendeni sana.

Ahsante kwa kutupenda.
 
Habari za kazi dada zanguni mnaendeleaje!!! Nimepita kuwakumbushia ushauri wangu kwenu niliowapa sijui mmeufanyia kazi.

Ahsante sana tapita siku ingine muda ukiniruhusu kuwakumbusha.

Nawapendeni sana.

Hahahahaaaa, hadi imebidi nicheke tu.
 
Habari za kazi dada zanguni mnaendeleaje!!! Nimepita kuwakumbushia ushauri wangu kwenu niliowapa sijui mmeufanyia kazi.

Ahsante sana tapita siku ingine muda ukiniruhusu kuwakumbusha.

Nawapendeni sana.

Unwanted opinions, unasahau we are all above 18!? Nakupenda pia msyuuuuuuuuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…