"......you are the one who is alleging???"
Go find the evidence under my pants witch!
If I was you, I would be very proud of myself. What a credit to comment on top designer page and she actually acknowledged you. Amazing! !!!
Hahahahaa, hapo sijui anamsema nani.Dada yake au?
Koh koh koh!
Eti wanijua nje ndani unanihifadhiii nyokoo!
Usitake kuwatafutia watu matatizo wewe, kwa vile nlikwambia nakujua? Yap id yako ipo very uchiii wala sikuitaja ni kwa kuwa inaonekana na kufahamika.Plz nitake radhii
Sasa hapo ndounanihifadhii? Je anayenifahamu?sasa Dinazarde asemeje?
hiyo ilikuwa ni kuonyesha tu kuwa dunia nzima watoto wa nje ya ndoa wana majina maalum,sisi tunawaita Haramu,kataa kubali watoto wa nje ya ndoa ni haramu
Mange hongera kwa kufurahia kusemwa kuwa unaandikwa humu, embu njoo basi na jina lako la ukweli tupatiane ubuyu, utusumulie na kampeni
Usiandike kizungu tu ili sie kama nie mtoto nisiekijua kimombo vizuri niko pande ya mbali tuendelee kukupa kiki
Zamani ulikuwa haupendi jamiiforums as bosi yupo kwenye list ya unaowaonea wivu. itajwe na mie mvivu kusoma blog yako sivutiwi kama zamani kabisaaaaaa unaniboaga sanaaasa so bora nisiingie labda nisome humu kuwa kuna umbea unaonivutia haswa.
Usione haya kuanza upya.
Embu hivi unalalaga?
Unakula? Uwachukiao unahamu uwafanyeje? Ukiwa ndani ukasikia hodi unajificha kuogopa maadui zako? Unataka nini duniani? Hii list uliandika hawa 25 wengine utaandika lini labda utapunguza mahasira yanayokujengea hatari ya maisha yako? Kweli una nguvu za kupigana? Sasa Mwamvita umemtukania kaka ake baada ulimpigia kumpa hapi born day? Picha za harusi umechana upande wa Kiki? Mumeo yaani si eti ex mume haya akiulizia marafiki zako unamjibu nini? Hakushangai biashara hazi imaliki na bado unatumia njia mia na kitu sasa? Wewe umejiangalia nini unakosea maana haujatulia kabisa? Unajijua watu wanamsema Dr Mwele vibaya kwa sababu yako siri nyingi nje? Unajisikiaje juu ya wewe kuea sababu? Mbona picha nyingi unaangalia chini huko IG je unamlipa mwanao? Unabeba silaha kwa kuogopa kumalizwa? Baba Bhoke kweli haogopi wewe kumfundisha mwanae tabia mbaya? Si unakumbuka Jan alikuonyesha cha moto hadi alipanga born day ale nao, duh ulijisikiaje? Na mawazu ya ndoa ulikaaje? Duh siku unapigwa nahamu uwepo uwe unatembelea huku uswazi basi ukija TZ
Haya njoo upate kiki kwa kuachia mi komenti ya watu wa humu kusemwa ka bulogi yako...ufurahi jibu maswali mengine yatafata. Tugawie masufuria. lol huyo fenesi wako alitoa kali mbavu zangu uwiiii haku mie
JF inakuweka mjini sasa thanks to wa humu, imefika muda uache ku bully watu na kutunga uongo pia uliopinda.
Karibu zels
Na usernames zako zingine
Mhuuuuum.kumbuka Daudi kabla ya kumzaa Suleiman alichezea adhabu kali sana,tena mwanae wa kwanza aliezaa na mke wa URIO ALIKUFA,Mungu husamehe,Mungu aliona URIO KISHAULIWA,HAKUNA JINSI,na ilikuwa lazima apatikane wa kushika kiti kutokea kwa mfalme DAUDI.ISHMAEL japokuwa alizaliwa wa kwanza kwa IBRAHIM ILA alipata baraka kidogo ukilinganisha na mtoto wa ndani ya Ndoa ambae ni ISACK.Mtoto haramu hajaanza leo wapo ISHMAEL in this case,hakuja mtoto haram,basi nabii Suleiman asingebarikiwaaa banaa
Mange sasa hana amani kwisha habari yake, huyo fenesi baada ya kuomba masufuria hata hajajibiwa, Mange sasa amekuwa wa kuuza nguo alizovaa na sio kutoa bure, eti anauza nguo kama ya shamimu kwa kuwa hawezi vaa sare na shamimu, si angeichoma kama kaona ni nuksi au angempa fenesi why anawauzia? Kwisha jeuri yake.
aaagh angeichoma hiyo kali mbavu zangu mie. kweli angempa fenesi, duh hapo kachemsha kuiuza, atakae nunua aisalie maana lazima mdomo wake ulitu.kana sana siku hiyo. chezea pesa anazihitaji
Yaani anavyomchukia shamimu, kisa shamimu anaendesha gari amablo mange ndio dream yake alikiri kuipenda sana range rover sasa akiona hivyo analipuka eti sembe, sembe ikulu wanayo majina ya wauzaji mbona asimtukane JK kwa kuyahifadhi hayo majina?
Hahahahaa, mimi nilishapasahau kabisa.
Ngoja nitakuunga kwenye group la umbea...
Hahahaa huwa nasoma tu sicomment ila hapa umenikuna.....haya nijoin shoga angu kwenye group hilo,umbea ni starehe mwenzangu wacha tujiachieee
makubwaaaa hayooo we umekua tena amarachua basi we ni Linda tenaaa
Habari za kazi dada zanguni mnaendeleaje!!! Nimepita kuwakumbushia ushauri wangu kwenu niliowapa sijui mmeufanyia kazi.
Ahsante sana tapita siku ingine muda ukiniruhusu kuwakumbusha.
Nawapendeni sana.
Habari za kazi dada zanguni mnaendeleaje!!! Nimepita kuwakumbushia ushauri wangu kwenu niliowapa sijui mmeufanyia kazi.
Ahsante sana tapita siku ingine muda ukiniruhusu kuwakumbusha.
Nawapendeni sana.
Habari za kazi dada zanguni mnaendeleaje!!! Nimepita kuwakumbushia ushauri wangu kwenu niliowapa sijui mmeufanyia kazi.
Ahsante sana tapita siku ingine muda ukiniruhusu kuwakumbusha.
Nawapendeni sana.
Habari za kazi dada zanguni mnaendeleaje!!! Nimepita kuwakumbushia ushauri wangu kwenu niliowapa sijui mmeufanyia kazi.
Ahsante sana tapita siku ingine muda ukiniruhusu kuwakumbusha.
Nawapendeni sana.