Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Yani anaturashaje roho sasa? Wengine kwenye umbea wadhaifu kweli, yani apa sina ata aamni jaman khaa
Anajua kuandika especially anavyoweka vikorombwezo kama huyu ni mbeyaaaaaaaaaa hahahahahaha Mange leo katuweza wambea
 
Kudadadekriiiii

Mpaka leo warumi anamuona wena msafi. ...kweli super model katisha

Teh teh watu walikua wana mshambulia Wema hajatulia eti aige kina Nancy wanajiheshimu. Salaleeeee kumbe ni ma silent killer hao kina Flaviana.Ama kweli umzaniae kumbe sie.
 
Last edited by a moderator:
Ishu ya wakubwa binamu, naomba tuiweke pembeni, mana hii scandal mwenyewe sasa ivi kashakuwa muheshimiwa, nisije pelekwa mahakaman buree kama naniliuu

We nae toka lini ukaogapa kwenda mahakamani utakua shujaa wa wambea hebu tuambie
 
Teh teh watu walikua wana mshambulia Wema hajatulia eti aige kina Nancy wanajiheshimu. Salaleeeee kumbe ni ma silent killer hao kina Flaviana.Ama kweli umzaniae kumbe sie.
Silent killer ni mbaya afadhali yule anayejichetua
 
Alisagana na nani?

Eeeh ebu usiniambie wewe? ina maana hujui au? We unadhani wote hao kagombana nao kwa ajili ya umbea na unafiki? KUna wengine wameibiana apo, ahaha mjini raha siami mie, kumbe na wewe hukuipata hii?
 
Eeeh ebu usiniambie wewe? ina maana hujui au? We unadhani wote hao kagombana nao kwa ajili ya umbea na unafiki? KUna wengine wameibiana apo, ahaha mjini raha siami mie, kumbe na wewe hukuipata hii?

Sasa na wewe kizuri kula na wenzako
 
Anajua kuandika especially anavyoweka vikorombwezo kama huyu ni mbeyaaaaaaaaaa hahahahahaha Mange leo katuweza wambea

Leo katukosha wambea wenzie, unajua kuna maneno flan ivi ya kimbea matamu balaa basi nasikia raha ndio pombe yangu hyo ahahah ahhaha mange katuweza wambea wenzie
 

Atleast umemsoma just like few of us! ni mshenzi tuu hana lolote kakosana na nusu ya Dar huyo mwanamke bado kuna watu eti wanam support BOGUS KABISA
 
Nacky Wa partybox events
 

Attachments

  • 1433341099768.jpg
    12.2 KB · Views: 675
Inapofikia steji unagombana na watu zaidi ishirini inabidi uchukue kioo na kujiangalia mwenyewe. Haiwezekanaii kabisa. Sababu hao aligombana nao mbona hawagombani na watu wengi hivyo?:becky: ?Kutakuwa tu na tatizo ambalo inawezekana linachangiwa na jinsi mtu alivyolelewa. Kuna ugonjwa wa Depression ambao mgonjwa anakuwa an seek sana attention na katika harakati za kuseek attention anaishia kugombana na watu. Hili tatizo wanasema source yake huwa inaanzia udogoni na linachangiwa na mazingira ya kifamilia aliyokulia mhusika.
 
Eeeh ebu usiniambie wewe? ina maana hujui au? We unadhani wote hao kagombana nao kwa ajili ya umbea na unafiki? KUna wengine wameibiana apo, ahaha mjini raha siami mie, kumbe na wewe hukuipata hii?

Duhh kuchokoana viharage vya soya sio? Mhhh au kiki a.k.a kima?
 
Leo katukosha wambea wenzie, unajua kuna maneno flan ivi ya kimbea matamu balaa basi nasikia raha ndio pombe yangu hyo ahahah ahhaha mange katuweza wambea wenzie
Yaani mimi nimerudia mara tatu nasoma tu najisikia raha na kucheka maana umbea wa leo mtamu
 
Bifu la mange na shamim unajua ilikuwaje?

Hahahaha me najua lilianzia kwa shamimu kujifanya mediator kati ya mange sintah kumbe alikuwa anampump sintah. Akija kwa mange anampump akija kwa sintah anampump
 
Hebu funguka kiundani mana kasema kuwa hakua na ugomvi naye kivile sema muwewe ati na sembe. Ila kuna kitu kikubwa zaidi.

Mange ananijua yule asije kunifungulia file langu bure nikajuta kuzaliwa, hahaha tuyaache au njoo kwa pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…