Anajua kuandika especially anavyoweka vikorombwezo kama huyu ni mbeyaaaaaaaaaa hahahahahaha Mange leo katuweza wambeaYani anaturashaje roho sasa? Wengine kwenye umbea wadhaifu kweli, yani apa sina ata aamni jaman khaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajua kuandika especially anavyoweka vikorombwezo kama huyu ni mbeyaaaaaaaaaa hahahahahaha Mange leo katuweza wambeaYani anaturashaje roho sasa? Wengine kwenye umbea wadhaifu kweli, yani apa sina ata aamni jaman khaa
Nyani Ngabu raia zako huko kwa wapiga box haujawapangia utaratibu wa kupima afya za akili zao? Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Mange ni mzima.
Ishu ya wakubwa binamu, naomba tuiweke pembeni, mana hii scandal mwenyewe sasa ivi kashakuwa muheshimiwa, nisije pelekwa mahakaman buree kama naniliuu
Silent killer ni mbaya afadhali yule anayejichetuaTeh teh watu walikua wana mshambulia Wema hajatulia eti aige kina Nancy wanajiheshimu. Salaleeeee kumbe ni ma silent killer hao kina Flaviana.Ama kweli umzaniae kumbe sie.
Hahaaaa vitu vingine vina wenyewe na fani zao loh!
Alisagana na nani?
Eeeh ebu usiniambie wewe? ina maana hujui au? We unadhani wote hao kagombana nao kwa ajili ya umbea na unafiki? KUna wengine wameibiana apo, ahaha mjini raha siami mie, kumbe na wewe hukuipata hii?
Niliipata ndio Mara moja shamimu akatangaza ndoa na dina nae kibendi ili kuzima soo
Walahiii story yenye nzuri ilaa sasa sijaelewaa cha a,b,wala c..
Yaniiii ni chengaaa mwanzo mwisho ..
Kaeni na fani zenu bhana..
Anajua kuandika especially anavyoweka vikorombwezo kama huyu ni mbeyaaaaaaaaaa hahahahahaha Mange leo katuweza wambea
The funny thing kwenye whole story yeye ana print picture kwamba ni mtu makini hao wengine wote ndio wana matatizo...
Sidanganyiki na hiyo narration...yaani anajenga picture kwamba yeye msafi,cha ajabu wafuasi lazima waikariri hii bila kuuliza mizani
We nae toka lini ukaogapa kwenda mahakamani utakua shujaa wa wambea hebu tuambie
Bifu la mange na shamim unajua ilikuwaje?
Eeeh ebu usiniambie wewe? ina maana hujui au? We unadhani wote hao kagombana nao kwa ajili ya umbea na unafiki? KUna wengine wameibiana apo, ahaha mjini raha siami mie, kumbe na wewe hukuipata hii?
Yaani mimi nimerudia mara tatu nasoma tu najisikia raha na kucheka maana umbea wa leo mtamuLeo katukosha wambea wenzie, unajua kuna maneno flan ivi ya kimbea matamu balaa basi nasikia raha ndio pombe yangu hyo ahahah ahhaha mange katuweza wambea wenzie
Bifu la mange na shamim unajua ilikuwaje?
Hebu funguka kiundani mana kasema kuwa hakua na ugomvi naye kivile sema muwewe ati na sembe. Ila kuna kitu kikubwa zaidi.