Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Yafupishe jaman tujifunze na sie tuwaepuke maana flavy toka juzi ananitext anatak tuwe marafik, kumbe mnanfik ehh
Hahahahahaa nilikua nakusubirije hapo? Na atuambie tu bwana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yafupishe jaman tujifunze na sie tuwaepuke maana flavy toka juzi ananitext anatak tuwe marafik, kumbe mnanfik ehh
The funny thing kwenye whole story yeye ana print picture kwamba ni mtu makini hao wengine wote ndio wana matatizo...
Sidanganyiki na hiyo narration...yaani anajenga picture kwamba yeye msafi,cha ajabu wafuasi lazima waikariri hii bila kuuliza mizani
Wema wala hana ubaya Wa hivyo sema bongo ushuzi wenzake ndo wanampaka fitina
Chezeya binamu? MJini apa lazima ujiongeze, utapataje umbea sasa? Ila mange kiboko kwa umbea aisehh, inabid nimfuate niombe collaboration tulisongeshe gurudumu la umbea Africa mashariki khaa, ila mbona scandal yao ya usagaji anaizima? Atuelezee jaman yale ma msg ya mtongozo
Ile scandal ya usagaji ya shamim mwasha na yule dada wa bang uliisikia? Na dina marios wa clouds
Chezeya binamu? MJini apa lazima ujiongeze, utapataje umbea sasa? Ila mange kiboko kwa umbea aisehh, inabid nimfuate niombe collaboration tulisongeshe gurudumu la umbea Africa mashariki khaa, ila mbona scandal yao ya usagaji anaizima? Atuelezee jaman yale ma msg ya mtongozo
Hivi wadau walipodai anatimu ya mpira amegombana nayo ni kweli.... Kahhhh ... Atakuwa na serious problem huyu bint...
Na huyu number 9 inaelekea hata akiwa na uchungu atazaa ameweka caps kabisa I HATE this woman,,
Dah
Ile scandal ya usagaji ya shamim mwasha na yule dada wa bang uliisikia? Na dina marios wa clouds
Unaniangusha sasa.......mjini uhami na watu huwajui..........nenda kwa Shamim tea party angalia mdada aliyejipakaaaaaaa kuliko wote..........huyo huyo.......
Nimemkubali sana huyu mwana mama, anaandika vizur, na anajua kuteka akili za watu kupitia maandishi yake, she is good, nimempenda
Daaah kuna some story ukisoma lazima na wewe uwee na fani za umbeaaa..
Enzi izo fiderin iranga ndo kuwadi mkubwa apo bongo, anajifanya anawaunganishia watu umodo kumbe anawauza kwa wanaume, kashawauza sana hadi akina naniliuu, kuna lijumba lao la ufirauni uko oysterbay yan ni shidaa, wale kwa umalaya wameshindikana sema wanajificha tu, mama ubaya anasubir
Hahahahahaa nilikua nakusubirije hapo? Na atuambie tu bwana....
Eehe kumbe mnakumbuka eeh? Yule anajificha mauchafu yake, maana three some kwao ni fashion, jaman mdada kafanywa yule, mpaka kupata madeal uko south na nchi nyingine kashachezea sana duduz, hawa wanaoenakana wasaf kwa kuwa image yao waliojiwekea kwenye jamii tu ila ni wachafu mama ubaya anasubir, sema wema mcharuko tu na watu wanamfuatilia sana ila ngoma zile mtu nyeusi ni noma
Chezeya binamu? MJini apa lazima ujiongeze, utapataje umbea sasa? Ila mange kiboko kwa umbea aisehh, inabid nimfuate niombe collaboration tulisongeshe gurudumu la umbea Africa mashariki khaa, ila mbona scandal yao ya usagaji anaizima? Atuelezee jaman yale ma msg ya mtongozo
Ile scandal ya usagaji ya shamim mwasha na yule dada wa bang uliisikia? Na dina marios wa clouds
Ile scandal ya usagaji ya shamim mwasha na yule dada wa bang uliisikia? Na dina marios wa clouds
Akina naniliu ni akina nani hao?