Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Tena kipindi kile alikua anatukana watu waliotag tu IG!
Anatukana watoto, mmeo, wakwe hadi vimbwa!
Ila yeye hataki aguswe kabisaa, wala hataki mashambulizi.Alitoa mawasiliano hadi ya wanaume wa watu kwenye blog akisema eti watu wajichukulie mwanaume huyo.
Leo hii mie nimwone jasiri? Eti sijui wa pekee sijui wa kuigwa kweli?Eti yupo real!
Kuwa real ni kukosa staha na maisha ya watu walowahi kuwa sehemu ya maisha yako? Kuwa real ni kuwachafua watu walokuumiza ili kila mtu awaone wana roho mbaya, wanafiki na hawafai hata kwa kurumagia kisa wewe ulishindwana nao?
Anatumia iyo kama shield ila deep unside naona yeye kutoka katika lile group inamuuma kiyama na inamkosesha raha na hataki urafiki wa wenzie uendelee eti wapo fake?
Whats being fake labda sijui mie..
Mwanamke jasiri kwangu ni yule anaefikisha ujumbe wake bila kuwa biased wala kuangalia upepo unaendaje, angeandaa makala ya changamoto za kirafiki na costs zake ningekua na la kumpongeza,

Mwanamke jasiri ni yule anaejali hisia za wengine, hususani walowahi kuwa sehemu ya maisha yake.

Mwanamke jasiri anajua kuachilia vinyongo na kutunza siri za wengine.
Mwanamke jasiri anajua kujizuia na kuheshimu maisha ya wengine.
Ana ujasiri gani zaidi ya kutaka kuwafurahisha anony.
Hao x friends zake pia wana maadui wao ambao wanabenefit kwa kupitia songombingo hili kuweza kujipa credit.
Kama mtu ulishamalizana naye urafiki kuna haja ya kufurahia mabaya yake kuwa ameachwa au kumpaka kuwa ana roho mbaya sana na kumwombea mabaya?
Nimemaliza.

Umeona ujumbe wako u turn??? Lol
 
Na kuna watu wanamuona huyu kinyesi ni mtu wa maana sana yani unaweza sikitika mpaka ukajilaumu kwanini umezaliwa Mtanzania! Mtu anatukana watu wazima wapumbavu kina Lowassa mzee Kingunge anawatukana hadharani yani hawezi kuweka hoja bila kashfa anaona msgs hazifiki! kwenye utumbo wake aloandika leo anataka kusamehewa bado anaandikq upuuzi unaomba msamaha halafu unarusha vijembe? mtu ambae inaonekana asipo patana nae atazidi kuwa taahira ni miss Makamba yani u can tell anavyoumia kumkosa huyo dada na navyojua ni kwamba miss Makamba hataki hata kumsikia haha yeye huku anasema wako poa! Mwamvita asipokubali urafiki tena huyu Mange ataokota makopo mtaniambia.

Anasema mbuta ana kichaa but in the meanwhile anafail kuona na kukubali kuwa ana depression na inaweza ikampelekea kuwa kichaa.
I think she is now getting too much attention than she real deserves.
Watu wanasema wanataka wamwandalie trophy.
Miafrika bwana....sijui tumerogwa na nani.
Aliposema kingunge yampasa asubiri akajifie nilisikitika sana.
 

Attachments

  • 1433389323997.jpg
    1433389323997.jpg
    35 KB · Views: 522
kuna watu natamani kuwataja waliokua wanauzwa na fiderine iranga hapa ila daah hapana mana enzi hizo nibahatika kutembelea ushuani kwa besti zangu pale jirani ndo kwa fide
sema sasa hv wanajifanya wana mastatus yao nawacheka sana

Ebu waweke apa nikusaidie kuwataja binamu
 
Ndio hii binamu.
Mimi Mange simchukii wala kidogo, nachukia mambo yake.
Tukija kwenye fashion aah....namwona ananoga vizurii a mambo mengine akaah.

Haaaa Nikajichekea tu

Amesema she is not perfect hawezi kumridhisha kila MTU.. Ana mazuri na mabaya yake
 
Ebu waweke apa nikusaidie kuwataja binamu

weee...!!!binamu wadada wa mjini wa enzi hizo wengi geto lilikua kwa kine fide pale wanajijua kwa majina
wengine ssa hv wake za waheshimiwa sana,mara wameolewa na wazungu,wengine wana NGO'S then pretend that education is sexy while the power of their pussy put them where they ar now...
hapa mjini hasa dar wadada wengi wengi tena walikua wauzaji wakubwa tu wa nyapu...
 
Kweli kabisaaa!
Kuna kiumbe mmbeya kama mwanaume? Kuna mtu ana hasira kama mwanaume! Mwanaume hajui kutunza siri asilani, anakulala leo anatangaza kesho.Leo hii ndio nione mwanaume ni resort nzuri ya rafiki?
Wanaume hawajui kutunza siri, ni wasengenyaji wakubwa ila sio watu wa kuropoka wala wa kusutana.Ukikaa vizuri na mwanaume anakusimulia visa yote vya rafiki yake na madhaifu yake hadi michepuko yake.
Wanaume wepesi sana kuwachota, hadi best friends wanasemana ila hawachukulii kihisia sanaa kama sisi.wanajifanya wanasengenya kistaarabu.
Ila huwezi kuta mwanaume analaani hivi marafiki zake au kujitangaza alogombana nao kwa tuvisa twa ajabu ajabu kama vile kusimangwa, labda wadhurumiane fedha au kuibiana wanawake wanaweza hata kuuana.
Wanawake sisi ni changamoto, ndio maumbile yetu.
Mungu ndio maana aliona tutawaliwe tu na wanaume.Iyo ndo stahiki yetu kabisakabisa.

Sio wanaume wote wana tabia hyo, kuna baadhi wanajiheshimu tu na hawaendekez majungu, japokuwa asilimia nyingi kwel wapo wenye tabia izo, yote tisa, kumi omba mungu usikutane na mtu anaitwa warumi, utajuta kuzaliwa hakyamungu
 
Binamu hiyo assignment wambea wenzako tunakupa..

And TATIANA love I missed you

Mie tena, nshamaliza assignment, kumbe aligombana na esha buheti, mdada mmoja ivi wa bongo movie,alikuwa anamrusha roho naona walikuwa wanachat na ndikumana nimeona chat zao, nyie ndikumana mswahili yule jaman, uwoya ana haki ya kuchepuka, yani ana maneno warumi anasubir khaa, ndio ivo bibie uwoja jana kapanick, akawa anampa madongo esha kuwa anajipendekeza kwa mumewe
 
Last edited by a moderator:
Mie tena, nshamaliza assignment, kumbe aligombana na esha buheti, mdada mmoja ivi wa bongo movie,alikuwa anamrusha roho naona walikuwa wanachat na ndikumana nimeona chat zao, nyie ndikumana mswahili yule jaman, uwoya ana haki ya kuchepuka, yani ana maneno warumi anasubir khaa, ndio ivo bibie uwoja jana kapanick, akawa anampa madongo esha kuwa anajipendekeza kwa mumewe

Hahaha hahahaha.. Makubwa aisee nifanye mpango nirudi mjini mie... warumi nakupigia salute Mia nane
 
Last edited by a moderator:
weee...!!!binamu wadada wa mjini wa enzi hizo wengi geto lilikua kwa kine fide pale wanajijua kwa majina
wengine ssa hv wake za waheshimiwa sana,mara wameolewa na wazungu,wengine wana NGO'S then pretend that education is sexy while the power of their pussy put them where they ar now...
hapa mjini hasa dar wadada wengi wengi tena walikua wauzaji wakubwa tu wa nyapu...

NItashangaa kama biashara yote ile aliyokua akifanya bado anaishi maisha magumu, maana alikuwa ana deal na waheshimiwa na wazungu matajir, yani wengi sana kawaoa madil ya kwenda south, na ulaya
 
Sio wanaume wote wana tabia hyo, kuna baadhi wanajiheshimu tu na hawaendekez majungu, japokuwa asilimia nyingi kwel wapo wenye tabia izo, yote tisa, kumi omba mungu usikutane na mtu anaitwa warumi, utajuta kuzaliwa hakyamungu

Binamu umenichekeshaaa!
Mbona wewe hujawahi kusema kama wewe na kale kakikundi kako kule kitaa kama mliwahi kusutana?
Binamu ina maana unamfanyia umbeya hadi gerofrendi wako?
Binam wanaume nao hawajambo kwa kusengenya ila hawasutani.
 
Back
Top Bottom