Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Ndo sawa mtu ukutane na mchawi mwenzio usiku mkiwa uchi wa mnyama mnawanga, halafu wewe unamuuliza mwenzio wewe unawanga? Apo ushasahau kuwa na wewe unafanya vile vile, hahaha haah

Hahahahaaaa! warumi wewe ni kiboko aiseee!
 
Last edited by a moderator:
Ndo sawa mtu ukutane na mchawi mwenzio usiku mkiwa uchi wa mnyama mnawanga, halafu wewe unamuuliza mwenzio wewe unawanga? Apo ushasahau kuwa na wewe unafanya vile vile, hahaha haah

Upo very raiti, watu wengine wanajua kukosoa wanajiona perfect kumbe vilaza. OMG
Nyani haoni....
 
Ndo sawa mtu ukutane na mchawi mwenzio usiku mkiwa uchi wa mnyama mnawanga, halafu wewe unamuuliza mwenzio wewe unawanga? Apo ushasahau kuwa na wewe unafanya vile vile, hahaha haah

Hahaaaaa haaa kweli tupu umeandika hapa. Waarabu wa Pemba hujuana kwa vile.
 
Ndo sawa mtu ukutane na mchawi mwenzio usiku mkiwa uchi wa mnyama mnawanga, halafu wewe unamuuliza mwenzio wewe unawanga? Apo ushasahau kuwa na wewe unafanya vile vile, hahaha haah

Lol hii kali
 
Mwamvita anamaanisha South Africa alipohamia kikazi.

Hata mimi nilihisi hivyo lakini kuna mkanganyiko maana Mange anasema kipindi kile huyo mdada alikua anaishi mbele.
Ndio huyo Nacky sijui akawa anang'anga'ania kwenda kumtembelea.
 
Hata mimi nilihisi hivyo lakini kuna mkanganyiko maana Mange anasema kipindi kile huyo mdada alikua anaishi mbele.
Ndio huyo Nacky sijui akawa anang'anga'ania kwenda kumtembelea.

Hiyo story ya Nyaki alishaandika zamani kwenye comments zake, ni huyo huyo Mwamvita ni anasafiri alikuwa USA kipindi fulani Nacky kabla hajarudi TZ ndio alitaka kukutana nae etc
 
Hiyo story ya Nyaki alishaandika zamani kwenye comments zake, ni huyo huyo Mwamvita ni anasafiri alikuwa USA kipindi fulani Nacky kabla hajarudi TZ ndio alitaka kukutana nae etc

Naam, sasa nimekuelewa vyema dear. Huyo Nacky naye ana shida! Ndio nini kujipendekeza kwa mwanamke mwenzie hivyo?
 
Naam, sasa nimekuelewa vyema dear. Huyo Nacky naye ana shida! Ndio nini kujipendekeza kwa mwanamke mwenzie hivyo?

Aliona mange anakula dola za bure na kulipiwa kila akitoka nae akataka ushosti atiii na ndio tumeona na ndege kukaa business class alilipiwa pia...nani hatataka kuwa karibu nae. Na ni lazima Mange alikua anamwongelea kwa sanaaaaa bila breki jinsi anavyofaidi kwa Mwamvita. Na ndio hayooooooo
 
Aliona mange anakula dola za bure na kulipiwa kila akitoka nae akataka ushosti atiii na ndio tumeona na ndege kukaa business class alilipiwa pia...nani hatataka kuwa karibu nae. Na ni lazima Mange alikua anamwongelea kwa sanaaaaa bila breki jinsi anavyofaidi kwa Mwamvita. Na ndio hayooooooo

Hahahahahaa hata mimi nitataka hayo maoffer ila sio kwa kujipendekeza kule kwakweli.
 
Back
Top Bottom