Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Mange: Listi ya niliogombana nao, yupi naweza kuelewana nae?

Hilo nalo neno aiseh, aliyekwambia wambea siku izi wanawake peke yao nani?, mie warumi nawakilisha wanaume wote wambea, mie ndo balozi wao, so please jina hlo wabadilishe kwa kweli, heshima muhimu, chinekeeeee

Wewe ni mmbeya jasiri, kuna mabinamu zetu mi nawapenda yani wakikosekana nitalia sana
Labda hilo neno wambeya ndio mlibadilishe.
 
Achana nae bwana binamu.Ndio maana tunataka tuanzishe group letu la umbea kwa ajili ya wanafiki kama hawa.
Sasa hivi watakua wanatuona online tu ila hawajui tunafanya nini.
Watakomaje? Naona watawaomba mods wafute hilo group kwakweli!

Koh koh! Kuna watu watajinyonga kwa kweli....
 
jamani fanyeni kwenda u turn huko msuto nacky kasutwa kwenye tea party jamani kuna umbeya huko fanyeni muende
 
Karibuni katika group la "Ladies wa Social Media" lililofunguliwa dakika chache zilizopita nimewasoma nikaamua kulifungua, je umepata invitation? Nimewatumia chekini

KAMA HAUJAPATA MWALIKO ANDIKA HAPA

NATANGULIZA SHUKURANI NYINGI NI WAZO ZURI ALIYELETA MADA YA HILI.

naomba ni add na mie
 
itakua vizurii ILA Hilo group hatutaingiliwaaa yarabiii,jamani tufunguenii tunaojijua Tu wambea wa humu basi I'd mpya sio team umbea hakunaaaa,mambo tutamaliza Kule kuleee

Hicho kitakuwa kijiwe cha stori na "updates" za hapa na pale. Hivi, wandugu :becky: ndio maana yake nini? Msamiati mpya kwangu!

Kk.
 
Wewe nakuonaga lakini.....inabidi tujiridhishe kwanza kama na wewe ni mbea au lah.
Kwakweli itabidi niingie kazini kama detective nichunguze wambea wote wanaotaka kujiunga, nikijiridhisha basi ruksa kujiunga.

Note:Hatutaki watu wa kusoma umbea tu, tunataka watu wa kushirikiana nao katika umbea.

Ili kushiriki katika "kutoa (taarifa za) umbea, ni lazima uwe na "connections" za kuupata umbea. Hapo ndipo kazi ilipo.

Nimekumbuka yale maneno kwenye wimbo wa afande Sele "sio lazima wote tuimbe, wengine tuwe mashabiki".

Kk
 
Hakuna jipya kwangu na mgazeti wote

Yeye anachotaka ni Nacky asiwe rafiki tena na Mwammy, hayo sijui kuingiza akina Lucy na wengine anataka tu achukiwe

Anaboa sasa mtu anawivu na mbaya wake hadi kuomba afukuzwe kwa wakwe, mbona yeye kaachika na bado anang'ang'ania kumwita mumewe mume bado na nguo za rangi rangi anazirusha.

Angekaa kimya, umbea wenyewe hana wa msuto kazi kuvalia njuga na labda kafanganywa na nacky mwenyewe huyo kaenda andika gazeti

Yote hayo Mwammy, na akome kutofunga mdomo. Bora amemtangaza Nacky now wanamjua wataishi nae kiakili basi.

Lucy mmh hana kazi muongoooooooo hadi anauzi leo amefurahi msuto feki asiojua sababu ni nini zaidi ya kutunga eti kalala uwii, nasubiri picha za Nacky na Mwammy si ataweuka tena.

Na wewe mange hauna mume atiii, ndoa yako imekufaaaaaa, pia acha kusema wanaouza nguo aaaaggghhh unakonunua nao wananunua wanauza pole watukane basi.

Hauna jipya nasema tena ni wivu wivu wivu na roho mbaya ndio maana hakuna hata mmoja kapatana na wewe tena

Hauchoki kuingiza wengine, Lucy wa nini kutaka usikie wamegombana kweli una kazi ya kuwanga.
 
Pls pls usituletee watu tusiowajua.Naomba member wote wanaotaka kujiunga wawekwe hadharani watu tuseme kama tunamjua au lah.
Tunataka uhuru hatutaki unafiki wa huku.[/QUOTE nifah dear na mimi mwenzenu nielekezeni hiyo app umbea utanikosa jamaniiiiii
 
Last edited by a moderator:
Pls pls usituletee watu tusiowajua.Naomba member wote wanaotaka kujiunga wawekwe hadharani watu tuseme kama tunamjua au lah.
Tunataka uhuru hatutaki unafiki wa huku.[/QUOTE nifah dear na mimi mwenzenu nielekezeni hiyo app umbea utanikosa jamaniiiiii
 
Last edited by a moderator:
Habarini za kazi dada zangu vipenzi, naushauri kidogo naombeni mniazime masikioni yenu kidogo.



Nadhani mtakuwa rika tofuati tofauti kuna wengine mabinti mie na deal na mabinti wakongwe niwaache.



Hivi mnafanya kazi kweli na mnapika majumbani kwenu au kufanya shughuli za nyumbani maana 24/7 mpo JF na maneno maneno mnasoma kweli na kazi za chuo mnazìfanya muda gani.



badirikeni mkikosa waume mnalalamika.



Ni ushauri tu msinitukane.


hhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Tena tukishaanza kushiriki kila siku uwe unaweka majina ya maombi tuchague.
Kuna malaya mmoja sitamani awepo basi tu.Ila kama ni kura nitapiga ya hapana kwake bila shaka.


huyu anaetuunganisha ni nani hili group tutakua tunaingiaje,mi nadhan la kwenye simu ,kumbe humu tenaaa
 
Back
Top Bottom