Manguli wa mapenzi msaada wa haraka unahitajika kwangu naomba njooni mnisaidie

Yaan wanaume wafupi nanyi mmeanza jeuri sikuhizi?! Eti hanipi ninachotaka kitandani ....wee[emoji15] sema kweli! Pesa inakubeba naamini.
Endelea kusasambua utajua anayekustahili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ˜•
 
Mbona wote hawana sifa ya kuolewa ,

Anza upyaaa tuu mkuu.
 
Sawa, hapo tupo pamoja. Na je vipi kuhusu kitandani mzee
Anaweza akawa mzuri kitandani lakini tabia ikawa mbovu na akakusumbua usipate amani ya moyo. Kikubwa tabia na wewe je unapata utulivu wa akili yako na amani ya moyo?. Ni hayo tu
 
Mimi ningekuwa wewe hapo ningemchukua huyu namba B maana anakujali licha ya kuwa si mzuri machoni mwako na wenzako......

Tambua kwamba A ni chaguo la wengi atakupasua kichwa sana.
 
Anaweza akwa mzuri kitandani lakini tabia ikawa mbovu na akakusumbua usipate amani ya moyo. Kikubwa tabia na wewe je unapata utulivu wa akili yako na amani ya moyo?. Ni hayo

πŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ’ͺ
 
Mimi ningekuwa wewe hapo ningemchukua huyu namba B maana anakujali licha ya kuwa si mzuri machoni mwako na wenzako......

Tambua kwamba A ni chaguo la wengi atakupasua kichwa sana.
Ohoooooo, kidogo nakuelewa
 
Mimi ningekuwa wewe hapo ningemchukua huyu namba B maana anakujali licha ya kuwa si mzuri machoni mwako na wenzako......

Tambua kwamba A ni chaguo la wengi atakupasua kichwa sana.
Naunga mkono hoja, B anaweza akawa chaguo, kikubwa je ana tabia nzuri?
 
Ndugu mjumbe umetukosea sana Wajumbe wenzio, imekuwaje utoe picha ya Binti mmoja badala ya wawili??

Btw Kuna mjumbe mmoja hapo juu ameshauri ubadiri Dini ili uweze kuwaoa wote wawili ili upate a complete package uitakayo

Kumbuka mfalme Suleiman amewahi kudate Wanawake 1,000 ila mwishoni akasema yote ni ubaditili

Chagua mmoja mweke ndani, then ufocus na maisha tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…