Manguli wa mapenzi msaada wa haraka unahitajika kwangu naomba njooni mnisaidie

Huyounayesema anakupa hadi ziada unamaanisha anakupa mku**ndu? au?
 



Hapo unabidi uangalie zile sifa ambazo hazina uhusiano na ngono ?
Sex ni adaptability everyone can pretend to be nice on her bed

So kuwa makini maana katika kuoa

Huyo mwanamke unaemuoa anaenda kubeba majukumu kama haya

Mama wa watoto wako
Mshauri wako
Mkono wako wa tatu (third hand)


So it is better to be logical in making a choice when to come in marriage issue.
 
Kimombo mzee
 

😊

Wawili tu wanamtoa jasho hadi uzi JF...

Akiwa nao 6 tutamkuta Clouds kipindi cha njia panda...
 
Yaan wanaume wafupi nanyi mmeanza jeuri sikuhizi?! Eti hanipi ninachotaka kitandani ....wee😳 sema kweli! Pesa inakubeba naamini.
Endelea kusasambua utajua anayekustahili
🀣🀣🀣
 
Chukua shilingi 500
Mwenge - mwanamke mrembo
Bichwa - mzuri kitandani
Rusha juu kabla hujaidaka yule mwanamke ambae unatamani umkute ameshinda kwenye shilingi ndo huyo huyo mkeo oa!
When you're not sure, flip a coin. Because when the coin is in the air you'll realize which one you're actually hoping for.❞
 
Hii mbinu ya sarafu huwa naitumiaga kwenye matukio yangu flani
 
Wewe unanifundisha uhuni
 
Yaan wanaume wafupi nanyi mmeanza jeuri sikuhizi?! Eti hanipi ninachotaka kitandani ....wee😳 sema kweli! Pesa inakubeba naamini.
Endelea kusasambua utajua anayekustahili
πŸ˜€πŸ˜€
 
Ukimchukua A baadaye utaanza kumfikiria B na ukimchua A baadaye unamfikiria B.

Ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa lakini tendo la ndoa ndilo linaimarisha ndoa.

Kesi nyingi za kuchepuka chanzo ni upungufu au ukosefu wa tendo.[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️[emoji125]‍♂️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…