Manispaa ya Shinyanga ihamishie stand kuu ya mabasi jirani na viwanja vilivyopimwa Nhelegani Mashariki ili kupanua mji

Manispaa ya Shinyanga ihamishie stand kuu ya mabasi jirani na viwanja vilivyopimwa Nhelegani Mashariki ili kupanua mji

Mtoa mada hapo panatosha ilipo stand kwa sasa,mazingira ni rafiki kabisa ,stand ipo nje kabisa na mjini na msongamano hakuna pale.

stand ni pana na inatosha,mtoa mada kama una sababu zingine useme ,ila suala la kupeleka stand nelegani unataka watu waliwe na fisi wakiwahi usafiri?
Hilo haliwezekani ,hakuna changamoto zozote za kiutendaji katika maeneo ilipo stand kwa sasa.

Mtoa mada tafuta kivuli ukae kwanza, jua ni kali
Yawezekana wewe ni mfanyabiashara au mtoa huduma hapo stand . Nakuombea kwa Mungu nafasi yako ibaki palepale hata stand itapohamishwa. Ili usiwe na wasiwasi.
 
Ninashauri viongozi wanaohusika na masuala ya usafirishaji mkoani Shinyanga akiwemo Mkurugenzi wa Manispaa, wakae chini na kujadili namna bora ya kuitoa stand ya mabasi "manyoni" pale Ibinzamata waihamishie Nhelegani mashariki jirani na viwanja vilivyopimwa ili kurahisisha ukuaji wa mji pamoja na kupunguza msongamano wa mabasi kwenye njia za kuingilia na kutokea stand mahali ilipo sasa.

Pia hii itasaidia kuukuza mji wa Shinyanga kwa kasi zaidi maana wawekezaji mbalimbali watajitokea sehemu zenye nafasi pale Nhelegani ili kuwekeza huduma mbalimbali kwa ajili ya wasafiri na wenyeji. Vilevile itaongeza mapato ya halmashauri na serikali kuu kwa namna moja au nyingine kutokana na mji kukua kwa haraka zaidi tofauti na ilivyo sasa.

Ni matumaini yangu uzi huu utafanyiwa kazi maana ninaamini wanapita humu na kusoma maandiko.

Mungu awabariki!
Nani aliyewadanganya kwamba stendi lazima iwe porini ? Stendi inatakiwa iwe mjini.
 
Porini tu. Unaacha stendi iko barabara kuu upeleke uelekeo wa kinzumbi ? We vipi.
Kwa uelewa wako umeaminishwa barabara kuu haipiti kizumbi nhelegani? Inavyoonekana wewe ni mgeni na hauufahamu mji wa shinyanga. Kasome upya map ndio uje kubishana hapa. Karibu tena!
 
Kwa uelewa wako umeaminishwa barabara kuu haipiti kizumbi nhelegani? Inavyoonekana wewe ni mgeni na hauufahamu mji wa shinyanga. Kasome upya map ndio uje kubishana hapa. Karibu tena!
Pole sana. Shinyanga naifahamu kuliko wewe. Nimesoma Buhangija. Tangu lini barabara kuu ikapita Kizumbi ?
 
Pole sana. Shinyanga naifahamu kuliko wewe. Nimesoma Buhangija. Tangu lini barabara kuu ikapita Kizumbi ?
Kama umesoma kweli, basi aliyekusomesha hakufikiria vyema uamuzi wake kumsomesha mtu kama wewe kwa haya unayoyaandika hapa! Hivi una uelewa kweli kuhusu kata ya kizumbi na barabara kuu inayopita kizumbi? Usipende kujiaibisha bure mzee. Rudi darasani ukaisome upya Shinyanga.!
 
Utakuwa na kashamba huko maporini kwenye fisi unataka kutuuza sio bure
 
Back
Top Bottom