Yawezekana wewe ni mfanyabiashara au mtoa huduma hapo stand . Nakuombea kwa Mungu nafasi yako ibaki palepale hata stand itapohamishwa. Ili usiwe na wasiwasi.Mtoa mada hapo panatosha ilipo stand kwa sasa,mazingira ni rafiki kabisa ,stand ipo nje kabisa na mjini na msongamano hakuna pale.
stand ni pana na inatosha,mtoa mada kama una sababu zingine useme ,ila suala la kupeleka stand nelegani unataka watu waliwe na fisi wakiwahi usafiri?
Hilo haliwezekani ,hakuna changamoto zozote za kiutendaji katika maeneo ilipo stand kwa sasa.
Mtoa mada tafuta kivuli ukae kwanza, jua ni kali
Jambo hayuko nhelegani mkuu. Yuko ibadakuli. Karibu tena!Mnataka kuwatesa Wananchi bila sababu. Manyoni penyewe ni mbali na mji halafu upeleke Nhelegani karibu na Jambo huko zaidi ya km 10 toka mjini?
Zipo hiace za jerojero kakaMkuu yaan unataka tupande daladala za baiskeli kwa buku mbili wakati tumezoea jero jero.
Mnataka kuwatesa Wananchi bila sababu. Manyoni penyewe ni mbali na mji halafu upeleke Nhelegani karibu na Jambo huko zaidi ya km 10 toka mjini?
Nyie wa old shy stand yenu ipo hapo mjinikati.Kwahiyo sisi tunaotoke old shy tukapandie basi nhelegani,ebu kua serious basi,hapa ilipo inatosha kwanza mji wa shy wenyewe umedumaa haukuai.
Asante kwa kumueleweshaNhelegani ipo kizumbi
Comment ya Hovyo na kinyaa Sijapata Ona JF, kuna vitu si vya kutamka kwenye majukwaa, kuharibiana siku tuu.Muwe mnachamba vizuri basi maana mnabak na nnya baada ya kujisaidia
Achana naye asikuchoshe mkuu.Comment ya Hovyo na kinyaa Sijapata Ona JF, kuna vitu si vya kutamka kwenye majukwaa, kuharibiana siku tuu.
Nani aliyewadanganya kwamba stendi lazima iwe porini ? Stendi inatakiwa iwe mjini.Ninashauri viongozi wanaohusika na masuala ya usafirishaji mkoani Shinyanga akiwemo Mkurugenzi wa Manispaa, wakae chini na kujadili namna bora ya kuitoa stand ya mabasi "manyoni" pale Ibinzamata waihamishie Nhelegani mashariki jirani na viwanja vilivyopimwa ili kurahisisha ukuaji wa mji pamoja na kupunguza msongamano wa mabasi kwenye njia za kuingilia na kutokea stand mahali ilipo sasa.
Pia hii itasaidia kuukuza mji wa Shinyanga kwa kasi zaidi maana wawekezaji mbalimbali watajitokea sehemu zenye nafasi pale Nhelegani ili kuwekeza huduma mbalimbali kwa ajili ya wasafiri na wenyeji. Vilevile itaongeza mapato ya halmashauri na serikali kuu kwa namna moja au nyingine kutokana na mji kukua kwa haraka zaidi tofauti na ilivyo sasa.
Ni matumaini yangu uzi huu utafanyiwa kazi maana ninaamini wanapita humu na kusoma maandiko.
Mungu awabariki!
Nani aliekudanganya kuwa nhelegani ni porini? Unayajua mapori kweli wewe?Nani aliyewadanganya kwamba stendi lazima iwe porini ? Stendi inatakiwa iwe mjini.
Porini tu. Unaacha stendi iko barabara kuu upeleke uelekeo wa kinzumbi ? We vipi.Nani aliekudanganya kuwa nhelegani ni porini? Unayajua mapori kweli wewe?
Kwa uelewa wako umeaminishwa barabara kuu haipiti kizumbi nhelegani? Inavyoonekana wewe ni mgeni na hauufahamu mji wa shinyanga. Kasome upya map ndio uje kubishana hapa. Karibu tena!Porini tu. Unaacha stendi iko barabara kuu upeleke uelekeo wa kinzumbi ? We vipi.
Nyie wa old shy stand yenu ipo hapo mjinikati.
Zipo ofisi za mabasi ya dsm. mnakatiwa ticket kisha mnapewa usafiri wa kufika stand ya mabasi ya dsm. Ondoeni shaka.!Hiyo magari ya dsm hayaingii
Pole sana. Shinyanga naifahamu kuliko wewe. Nimesoma Buhangija. Tangu lini barabara kuu ikapita Kizumbi ?Kwa uelewa wako umeaminishwa barabara kuu haipiti kizumbi nhelegani? Inavyoonekana wewe ni mgeni na hauufahamu mji wa shinyanga. Kasome upya map ndio uje kubishana hapa. Karibu tena!
Kama umesoma kweli, basi aliyekusomesha hakufikiria vyema uamuzi wake kumsomesha mtu kama wewe kwa haya unayoyaandika hapa! Hivi una uelewa kweli kuhusu kata ya kizumbi na barabara kuu inayopita kizumbi? Usipende kujiaibisha bure mzee. Rudi darasani ukaisome upya Shinyanga.!Pole sana. Shinyanga naifahamu kuliko wewe. Nimesoma Buhangija. Tangu lini barabara kuu ikapita Kizumbi ?
Vipi mkuu kwema?Mkuu yaan unataka tupande daladala za baiskeli kwa buku mbili wakati tumezoea jero jero.