Hata hiyo atashinda. Nchi haiongozwi kwa matamko, inaongozwa kwa sheria. Tunaambiwa yeye alikuwa mzabuni wa taasisi za serikali, na vitambaa vya sare vimekutwa kwenye bohari yake, kosa lake ni lipi?Kesi ya madawa alishapata dhamana iliyomweka ndani ni kesi ya kukutwa na sare za jeshi. Kikubwa tumwombee afya njema ipo siku atatoka.
Inaelekea mkojo ni wa askari inamaana askari alimkojolea mtuhumiwa mkuu.Kukojoleana tena ?
Kwani mara ngapi serikali imeshinda kesi?Kwani mara ngapi serikali imeshindwa kesi?!
Inaelekea mkojo ni wa askari inamaana askari alimkojolea mtuhumiwa mkuu.
Umekosea hapo mwisho mengine yote ninakubaliana nawe. Hizo dawa ni jamii ya valium.Kwanza kabisa declare interest mimi ni bush lawyer ,ila hainizuii kunifikirisha kwenye scenario ambayo tumeambiwa jana na mahakama kupitia vyombo vya habari mbalimbali (Azam,Itv etc,social media) upande wa evidence
1.Kwanza zile results za mkemia hazina signature ya mwenyekiti wa yanga (nakumbuka Tindu Lissu alisema ikishindikana sana wakikulazimisha kupima usisaini)
2.Kemikali ambayo imeonekana kwenye report ni Benzodiazepines na sio heroin ambayo mashitaka yana accuse however inawezekana chemical ikawa zao la heroin
3.Benzodiazepines (benzos) zinapatikana pharmacy na unaweza ukaandikiwa na dakatari kwa indications za kitabibu kama insomnia (kukosa usingizi) ,seizures (convulsions au degedege) ,alcohol withdrawal, generalised anxiety disorder (stress au woga au stress quencher)
3.Mazingira ya ushahidi ulivyochukuliwa yana utata kwa mujibu wa muwakilishi wa mkemia "askari waliingia na Manji toilet" what if urine iliyo iliyoletwa ilikua ya afande? au waliifanyia switching? ( kumbuka hii ni case ya jinai)
Nakumbuka mwalimu wangu wa "chemistry" aliniambia criminal case -Judgment has to be done in benefit of the accused (benefit of doubt) na tukiweka kumbukumbu sawa tunayakumbuka mazingira ya mwanzo wa case
Ni muda sasa wa upande wa Jamhuri kuonyesha kuwa hakuna wingu la shaka
Nawasilisha lengo langu sio ku pre-empty court decisions ndio maana uzi huu umepanda mara baada yakusikia muondelezo wa mashitaka jana .
Ma bush lawyer wenzangu to discuss
Simba oyeeeee,nadhani mwenyekiti wao atakua amepata funzo pia kwa yeye mwenyewe na kizazi chake
Kwanza kabisa declare interest mimi ni bush lawyer ,ila hainizuii kunifikirisha kwenye scenario ambayo tumeambiwa jana na mahakama kupitia vyombo vya habari mbalimbali (Azam,Itv etc,social media) upande wa evidence
1.Kwanza zile results za mkemia hazina signature ya mwenyekiti wa yanga (nakumbuka Tindu Lissu alisema ikishindikana sana wakikulazimisha kupima usisaini)
2.Kemikali ambayo imeonekana kwenye report ni Benzodiazepines na sio heroin ambayo mashitaka yana accuse however inawezekana chemical ikawa zao la heroin
3.Benzodiazepines (benzos) zinapatikana pharmacy na unaweza ukaandikiwa na dakatari kwa indications za kitabibu kama insomnia (kukosa usingizi) ,seizures (convulsions au degedege) ,alcohol withdrawal, generalised anxiety disorder (stress au woga au stress quencher)
3.Mazingira ya ushahidi ulivyochukuliwa yana utata kwa mujibu wa muwakilishi wa mkemia "askari waliingia na Manji toilet" what if urine iliyo iliyoletwa ilikua ya afande? au waliifanyia switching? ( kumbuka hii ni case ya jinai)
Nakumbuka mwalimu wangu wa "chemistry" aliniambia criminal case -Judgment has to be done in benefit of the accused (benefit of doubt) na tukiweka kumbukumbu sawa tunayakumbuka mazingira ya mwanzo wa case
Ni muda sasa wa upande wa Jamhuri kuonyesha kuwa hakuna wingu la shaka
Nawasilisha lengo langu sio ku pre-empty court decisions ndio maana uzi huu umepanda mara baada yakusikia muondelezo wa mashitaka jana .
Ma bush lawyer wenzangu to discuss
Simba oyeeeee,nadhani mwenyekiti wao atakua amepata funzo pia kwa yeye mwenyewe na kizazi chake
ha ha haacheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
nilikuwa nawazingua hawa ndala najua kinawauma manji kuwa ndani, bila manji yeboyebo hawawezi kushinda hata wakiwekewa penati bila golikipa. kuna mtu atapiga nje tu.ha ha ha
Sikumbuki ilipo shinda japo halinihusu.teh te hKwani mara ngapi serikali imeshindwa kesi?!
Amrejee masamakiendelea kujidanganya
we jamaa bana- Haya maelezo yanatakiwa mahakamani sio huku, hii sio siasa kumbuka Manji yupo rumande mnapoandika hivi mnawachkonoa wanasiasa sijui kama mnamsaidia Manji, cause mtu yoyote mwenye akili kubwa kama mimi ukisoma hii unajua kabisa kuwa imeandikwa na mtu wenye sababu maalum behind it, jamani hii Serikali sio ile ya zamani!!
le Mutuz
Wana lengo, lisipofanikiwa watafungua lingine, mahakama inaweza mwachia huru na akatoka nje ya geti wakamkamata tena kwa kosa lingine. Tuna shida sana , Visasi anatoa Mungu pekeeHivi akishinda watamsafishaje?????
Serikali ya kujiridhisha ni ya nchi gani? We unaishi wapiacheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.