Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

Kesi ya madawa alishapata dhamana iliyomweka ndani ni kesi ya kukutwa na sare za jeshi. Kikubwa tumwombee afya njema ipo siku atatoka.
Hata hiyo atashinda. Nchi haiongozwi kwa matamko, inaongozwa kwa sheria. Tunaambiwa yeye alikuwa mzabuni wa taasisi za serikali, na vitambaa vya sare vimekutwa kwenye bohari yake, kosa lake ni lipi?

Kinachomtafuna ni tamko la keko, ambalo siyo sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa declare interest mimi ni bush lawyer ,ila hainizuii kunifikirisha kwenye scenario ambayo tumeambiwa jana na mahakama kupitia vyombo vya habari mbalimbali (Azam,Itv etc,social media) upande wa evidence

1.Kwanza zile results za mkemia hazina signature ya mwenyekiti wa yanga (nakumbuka Tindu Lissu alisema ikishindikana sana wakikulazimisha kupima usisaini)

2.Kemikali ambayo imeonekana kwenye report ni Benzodiazepines na sio heroin ambayo mashitaka yana accuse however inawezekana chemical ikawa zao la heroin

3.Benzodiazepines (benzos) zinapatikana pharmacy na unaweza ukaandikiwa na dakatari kwa indications za kitabibu kama insomnia (kukosa usingizi) ,seizures (convulsions au degedege) ,alcohol withdrawal, generalised anxiety disorder (stress au woga au stress quencher)

3.Mazingira ya ushahidi ulivyochukuliwa yana utata kwa mujibu wa muwakilishi wa mkemia "askari waliingia na Manji toilet" what if urine iliyo iliyoletwa ilikua ya afande? au waliifanyia switching? ( kumbuka hii ni case ya jinai)

Nakumbuka mwalimu wangu wa "chemistry" aliniambia criminal case -Judgment has to be done in benefit of the accused (benefit of doubt) na tukiweka kumbukumbu sawa tunayakumbuka mazingira ya mwanzo wa case

Ni muda sasa wa upande wa Jamhuri kuonyesha kuwa hakuna wingu la shaka

Nawasilisha lengo langu sio ku pre-empty court decisions ndio maana uzi huu umepanda mara baada yakusikia muondelezo wa mashitaka jana .

Ma bush lawyer wenzangu to discuss
Simba oyeeeee,nadhani mwenyekiti wao atakua amepata funzo pia kwa yeye mwenyewe na kizazi chake
Umekosea hapo mwisho mengine yote ninakubaliana nawe. Hizo dawa ni jamii ya valium.
 
Mbona mtaani kwetu mateja wengi hakuna watu wakuwapima mkojo au mkojo wa Manji deal sana
 
Boss mwekundu Tofauti ya Bush Lawyer na Mwanasheria Msomi ni nini? Maana kila siku mnajipambanua na Majina Tofauti.

Tukirudi kwenye mjadala wako, ili suala ya Manji limekaa Ki Bashite Bashite sana. Ukiona Mwana CCM anashughulikiwa na Jamhuri aka Serikali ujue kuna jambo nyuma ya pazia.

Manji si tu Mwana CCM, pia ni Diwani, tena wa kuchaguliwa na Wananchi, pia ni MwanaYanga. Pia kaajiri Wananchi wengi tu.

Somewhere and Somehow katofautiana na Kibopa mmoja huko, si bure.

Kwanza kabisa declare interest mimi ni bush lawyer ,ila hainizuii kunifikirisha kwenye scenario ambayo tumeambiwa jana na mahakama kupitia vyombo vya habari mbalimbali (Azam,Itv etc,social media) upande wa evidence

1.Kwanza zile results za mkemia hazina signature ya mwenyekiti wa yanga (nakumbuka Tindu Lissu alisema ikishindikana sana wakikulazimisha kupima usisaini)

2.Kemikali ambayo imeonekana kwenye report ni Benzodiazepines na sio heroin ambayo mashitaka yana accuse however inawezekana chemical ikawa zao la heroin

3.Benzodiazepines (benzos) zinapatikana pharmacy na unaweza ukaandikiwa na dakatari kwa indications za kitabibu kama insomnia (kukosa usingizi) ,seizures (convulsions au degedege) ,alcohol withdrawal, generalised anxiety disorder (stress au woga au stress quencher)

3.Mazingira ya ushahidi ulivyochukuliwa yana utata kwa mujibu wa muwakilishi wa mkemia "askari waliingia na Manji toilet" what if urine iliyo iliyoletwa ilikua ya afande? au waliifanyia switching? ( kumbuka hii ni case ya jinai)

Nakumbuka mwalimu wangu wa "chemistry" aliniambia criminal case -Judgment has to be done in benefit of the accused (benefit of doubt) na tukiweka kumbukumbu sawa tunayakumbuka mazingira ya mwanzo wa case

Ni muda sasa wa upande wa Jamhuri kuonyesha kuwa hakuna wingu la shaka

Nawasilisha lengo langu sio ku pre-empty court decisions ndio maana uzi huu umepanda mara baada yakusikia muondelezo wa mashitaka jana .

Ma bush lawyer wenzangu to discuss
Simba oyeeeee,nadhani mwenyekiti wao atakua amepata funzo pia kwa yeye mwenyewe na kizazi chake
 
acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
ha ha ha
 
nilikuwa nawazingua hawa ndala najua kinawauma manji kuwa ndani, bila manji yeboyebo hawawezi kushinda hata wakiwekewa penati bila golikipa. kuna mtu atapiga nje tu.
 
- Haya maelezo yanatakiwa mahakamani sio huku, hii sio siasa kumbuka Manji yupo rumande mnapoandika hivi mnawachkonoa wanasiasa sijui kama mnamsaidia Manji, cause mtu yoyote mwenye akili kubwa kama mimi ukisoma hii unajua kabisa kuwa imeandikwa na mtu wenye sababu maalum behind it, jamani hii Serikali sio ile ya zamani!!

le Mutuz
we jamaa bana
 
Hivi akishinda watamsafishaje?????
Wana lengo, lisipofanikiwa watafungua lingine, mahakama inaweza mwachia huru na akatoka nje ya geti wakamkamata tena kwa kosa lingine. Tuna shida sana , Visasi anatoa Mungu pekee
 
Kesi ya uhujumu uchumi imekuwa ya kutumia madawa. Halafu kifungo chenyewe si ni miezi sita hata ukikutwa na hatia.

Muda aliokaa chini ya ulinzi tayari ata akikutwa na hatia si umesha cover hiyo prison sentence yenyewe ambapo mahakama inaweza mwachia huru huru siku hiyo hiyo.
 
Back
Top Bottom