Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

Tetesi: Manji amesha punch case ya madawa ya kulevya tayari?

Kwanza kabisa declare interest mimi ni bush lawyer ,ila hainizuii kunifikirisha kwenye scenario ambayo tumeambiwa jana na mahakama kupitia vyombo vya habari mbalimbali (Azam,Itv etc,social media) upande wa evidence

1.Kwanza zile results za mkemia hazina signature ya mwenyekiti wa yanga (nakumbuka Tindu Lissu alisema ikishindikana sana wakikulazimisha kupima usisaini)

2.Kemikali ambayo imeonekana kwenye report ni Benzodiazepines na sio heroin ambayo mashitaka yana accuse however inawezekana chemical ikawa zao la heroin

3.Benzodiazepines (benzos) zinapatikana pharmacy na unaweza ukaandikiwa na dakatari kwa indications za kitabibu kama insomnia (kukosa usingizi) ,seizures (convulsions au degedege) ,alcohol withdrawal, generalised anxiety disorder (stress au woga au stress quencher)

3.Mazingira ya ushahidi ulivyochukuliwa yana utata kwa mujibu wa muwakilishi wa mkemia "askari waliingia na Manji toilet" what if urine iliyo iliyoletwa ilikua ya afande? au waliifanyia switching? ( kumbuka hii ni case ya jinai)

Nakumbuka mwalimu wangu wa "chemistry" aliniambia criminal case -Judgment has to be done in benefit of the accused (benefit of doubt) na tukiweka kumbukumbu sawa tunayakumbuka mazingira ya mwanzo wa case

Ni muda sasa wa upande wa Jamhuri kuonyesha kuwa hakuna wingu la shaka

Nawasilisha lengo langu sio ku pre-empty court decisions ndio maana uzi huu umepanda mara baada yakusikia muondelezo wa mashitaka jana .

Ma bush lawyer wenzangu to discuss
Simba oyeeeee,nadhani mwenyekiti wao atakua amepata funzo pia kwa yeye mwenyewe na kizazi chake
Mkuu Hiyo kashapangua case.hamna ishu hapo mkuu.
 
Serikali ipi unayoikusudia hapa!
Je ni hii hii iliyovunja mkataba na ile kampuni ya kanada?
wana Yanga naona mmejawa na hasira za jana. unajua manji angekuwa uraiani mngeshinda jana. halafu hata hamjamsaidia lolote tajiri yetu anahangaika peke yake tu. urafiki wenu upo tu uwanjani ila kwenye matatizo mnajifanya hammjui. poleni kwa kipigo cha jana hata hivyo niny ndala yeboyebo!
 
wana Yanga naona mmejawa na hasira za jana. unajua manji angekuwa uraiani mngeshinda jana. halafu hata hamjamsaidia lolote tajiri yetu anahangaika peke yake tu. urafiki wenu upo tu uwanjani ila kwenye matatizo mnajifanya hammjui. poleni kwa kipigo cha jana hata hivyo niny ndala yeboyebo!
Pole sana maana najua hata mpirani hukweza kuingia yaani taifa na kama ungeingia usingekuwa unarohoja namana hiyo kamuulize Niyonzima atakwambia
 
kapendeza kawa kama mesi au wale ma actor wa holiwudi wakiwa kwenye misheni kule mehiko
 
Kweli kabisa mkuu, ndiyo maana serikali uwa haishindwi kesi hata moja!!!!!!!!!!!!!!! Bombadier kushilikiliwa ni wivu tu wala siyo maswala ya kushindwa kesi!!!!!!!!!!!!!!!!
tatizo lenu mmeshikilia kwamba siku zote serikali inashindwa kesi tuu, mnasahau kuwa kati ya kesi 100 serikali inaweza kushindwa 15 tu au 20 nazo kwa technicalities....nimeshakuwepo serikalini zamani kama prosecutor najua ninachoongea. ukitaka kujua kama serikali inashindwa kesi siku zote nenda gerezani, uone kama hamna watu.wale watu wooote wafungwa gerezani waulize kama serikali ilishindwa kesi au la, hadi magereza badala ya kukaa watu 700 wanakaa watu 2000 msongamano umekithiri kwasababu wafungwa wanaongezeka (ukiondoa mahabusu)...au mwulize askari magereza yeyote kama serikali siku zote huwa inashindwa kesi atakuambia...mahakamani kuna kushinda na kushindwa, na serikali imeshinda zaidi ya kushindwa...hivyo msiangalia upande mmoja tu. hata hivyo nimeamini Yanga yeboyebo bila manji hakuna kitu aisee, sawa na kumpeleka mtu mnene akaogelee au nyani aishi sehemu ambayo hakuna miti, ujanja wote kwishnei.
 
Pole sana maana najua hata mpirani hukweza kuingia yaani taifa na kama ungeingia usingekuwa unarohoja namana hiyo kamuulize Niyonzima atakwambia
mkuu sikwenda taifa, sipo dsm mimi, hiyo bongo tumewaachia wanaume wa daslamu.
 
tatizo lenu mmeshikilia kwamba siku zote serikali inashindwa kesi tuu, mnasahau kuwa kati ya kesi 100 serikali inaweza kushindwa 15 tu au 20 nazo kwa technicalities....nimeshakuwepo serikalini zamani kama prosecutor najua ninachoongea. ukitaka kujua kama serikali inashindwa kesi siku zote nenda gerezani, uone kama hamna watu.wale watu wooote wafungwa gerezani waulize kama serikali ilishindwa kesi au la, hadi magereza badala ya kukaa watu 700 wanakaa watu 2000 msongamano umekithiri kwasababu wafungwa wanaongezeka (ukiondoa mahabusu)...au mwulize askari magereza yeyote kama serikali siku zote huwa inashindwa kesi atakuambia...mahakamani kuna kushinda na kushindwa, na serikali imeshinda zaidi ya kushindwa...hivyo msiangalia upande mmoja tu. hata hivyo nimeamini Yanga yeboyebo bila manji hakuna kitu aisee, sawa na kumpeleka mtu mnene akaogelee au nyani aishi sehemu ambayo hakuna miti, ujanja wote kwishnei.
Rudia maoni yangu nimesema unasema kweli serikali uwa haishindwi Kesi
 
Napata shaka kama kwenye matatizo ya manj hakuna elements za u simba na uyanga
b68c9b322b88792d4b27ccc64eafc928.jpg
 
- Haya maelezo yanatakiwa mahakamani sio huku, hii sio siasa kumbuka Manji yupo rumande mnapoandika hivi mnawachkonoa wanasiasa sijui kama mnamsaidia Manji, cause mtu yoyote mwenye akili kubwa kama mimi ukisoma hii unajua kabisa kuwa imeandikwa na mtu wenye sababu maalum behind it, jamani hii Serikali sio ile ya zamani!!

le Mutuz
Mwili mkubwa akili nukta(.) Mbona media zote zimeripoti vile,au ikiandikwa jamii forum ndio Sizonje atafura.Hawa watoto waliopatikana kwenye vyoo vya baa ni shida sana.
 
Tatizo la sheria ni complexity katika kuitafsiri Nakumbuka kesi ya Zombe ilivyoamriwa na kuacha midomo wazi watu wasiamini huku wakikubali hukumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom