OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Akili za kiBashite hiziacheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za kiBashite hiziacheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
[emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji28] [emoji28] [emoji28] watu mna maneno kuntu jamani. Dah umemtolea uvivu. KUNYWA PEPSI YA BARIDI KABISAUkubwa wa mwili hauna uhusiano na ukubwa wa akili babu yangu, mara nyingi umekuwa unajisifu kuwa wewe ni akili kubwa kumbe si lolote wala si chochote, umeshindwa hata na watoto wadogo waliopewa uongozi kwenye chama na serikali, wewe pamoja na kuwa mtoto wa kigogo lakini hakuna anayekuamini hata kusimamia foleni ya watoto ya chakula.
![]()
.....No it is the other way round, wanakamata kwanza halafu wanaanza kutafuta makosa.acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Kwani walikojoleana askari na mtuhumiwa?
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] walikuwa wanafanya nin huko toiHaijulikani kwakuwa waliingia wawili maliwatoni na kujifungia huko bila shahidi
Sent using Jamii Forums mobile app
acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Serikali ipi Mkuu! Hii inayomkamata Lissu kila uchao au nyingine?acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Yaani hawa hawajiamini kabisa...sasa si angelelekwa chooni na huyo mkemia mwenyewe...ni manyanyaso tu hakuna kingineKwani walikojoleana askari na mtuhumiwa?
Mkuu kesi inayomkabili ni TAJIRIKesi ya madawa alishapata dhamana iliyomweka ndani ni kesi ya kukutwa na sare za jeshi. Kikubwa tumwombee afya njema ipo siku atatoka.
Sasa washauri vipi mkuu?...wapimwe damu au?Mambo mengine bwana? Kisayansi Heroin ikingia mwilini ikimengenywa mengenywa na ini lazima kutokee a chemical change mpaka ije kufikia hatua ya Kidney kuiondoa kwenye system na kuipeleka kwenda kwenye kibofu cha mkojo itakuwa imebadirika na kuwa kitu kingine kabisa (i.e haiwezi kubaki ni Heroin iliyo changanyika na mkojo) wasitake kuzengua watu kwa kufikiri Watanzania ni mbumbu kivile.
Binafsi nimechukulia majibu ya Mkemia yana usanii wa aina fulani na hizi sio dalili nzuri hata kidogo, nani ambaye hajui chemical change kwenye mkojo zitaonyesha baadhi ya ingredients ambazo zilitumika ku-synthesize HEROIN zitaonekana zimebaki vile vile kutokana na baadhi ya ingredients zikashidwa ku-undergo chemical change. Inashangaza sana eti mkojo labda ni wa Polisi!! Mbona maswali hayo hayakuulizwa zilipo chukuliwa samples za Gwajima na Tundu Lissu wakakutwa hawana tatizo - binafsi nashauri waajiriwa waliopewa dhamana na Taifa letu kutimiza wajibu wao ni vizuri waheshimu ethics za kazi zao na sio kukalili movie scripts za Hollywood, wakumbuke vita dhidi ya madawa ya kulevya si vya kufanyiwa mchezo hata kidogo.
Serikali ipi unayoizungumzia ww,hii tunaijua au kuna nyingine mkuu??acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
Ni kweli unachosema?acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.
hapo ndo ujue we ni mjinga kabisa. epa walishafungwa sana, kwa wale wanaoenda kisutu mara nyingi tunawajua kina katiti na wenzake...tatizo mnafikiria kwa kupitia masaburi. sio vitu vyote serikali inashindwa......Unajua watuhumiwa wa EPA kesi iliyofunguliwa na Serikali iliishia wapi?
TRA na yule Mafish unakumbuka kesi imeendaje hadi mwisho?
kwa usemi wako huu ina maanisha hizo mabilioni tuyayolipa ujue serikali iling'ang'ania kulipa tu.....acheni kuota ndoto. ukiona serikali imefungua kesi mahakamani na imeng'ang'ania kitu, ujue walishajiridhisha kabla hata hawajafungua. subiri uone.