RAis wa iran juzijuzi kafa jumapili kazikwa jumatano nadhani unakumbuka ile ajali ya helicopterKunaweza kuwa na ukweli katika hilo.Lakini,nimeona wengi wanaozikwa huko(nchi walizofarikia) huwa ni wa dini ya kiislamu.Nikaelezwa sababu mojawapo ni kwamba,kwa taratibu za dini ya kiislamu,mtu akifariki anatakiwa kuzikwa siku hiyohiyo(kuna muda mchache wa kukaa na maiti)bila kujali nchi yake ya kuzaliwa.Na ninaamini yawezekana kukawa na sababu zingine.
Mimi nikiwa mmoja waoKwa sababu hata Tanzania sio nchi ya kuaminika mkuu, hata sisi ni vile tumezaliwa hapa na ni wazawa wa ngozi nyeusi, wengi tungeshatafuta namna ya kuishi na hata kuukana utaifa wetu.
Uzalendo ndio neno nililokusudia,kuwa tayari kuifia nchiKwani kuwa na nasaba, mapenzi au mahaba na nchi nyingine kunaondoa vipi uraia wa mtu?? Yani Utanzania wa mtu unaondoka kivipi kwa yeye kuwa na mapenzi na Israel, Russia, Kenya au Marekani??
Sahihi.Ila,zingatia neno "wengi" limetumika na si wote.RAis wa iran juzijuzi kafa jumapili kazikwa jumatano nadhani unakumbuka ile ajali ya helicopter
Waislam wa tanzania hapo wanatakiwa kutoa darsa la kuelewekaSahihi.Ila,zingatia neno "wengi" limetumika na si wote.
Charamira ❌ Chalamila ✅. Wewe ni miongoni mwa watu wapumbavu wanaozungumziwa hapaUlitaka charamira kuwa Mc wa msiba
Sasa mtanielewa ninaposema mara kwa mara kuwa adui mkubwa ya Watanzania ni ujinga. Watanzania bado ni wajinga sana tena sana..Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.
Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!
Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!
Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
Tutaondoka bila kuimaliza safari, muhimu ni kugtazama yako, usiishi kwa ajili ya wengine.Na safari yenyewe majanga mwanzo mwisho tukiimaliza tutakuwa tumechoka sana
Mpumbavu ni yule ambaye anajiona anajua kumbe ni Mpumbavu. Mfano weweCharamira ❌ Chalamila ✅. Wewe ni miongoni mwa watu wapumbavu wanaozungimziwa hapa
Ungetoa elimu kidogo kuhusu mazishi ya Yusuph Manji huko USA
ili wengi wajifunze.
Manji hawezi kuwa mtanzania hapa ni sehemu tu yakuchumia hela, kikinuka huwa wananchi zao za kupumzikia na kula utajiri waliouchuna polepole.Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.
Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!
Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!
Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
Huo ni ushamba , mwanakwetu wacha wafu wazike wafu wenzao ndio hii.Hivi Tanzania kuna makaburi au madampo ya kutupia watu? Hayana usimamizi mzuri, watu wanazikwa zigzag, hayapaliliwi wala kusafishwa, i hope atatokea mtu na idea ya kununua ardhi, inakuwa chini ya Manispaa ila yeye anaendesha usimamizi na matunzo ya hilo eneo. Hata kama itagharimu milioni moja kuzika, lakini pawe safi miaka yote. Pawekwe maua na nyasi na wazikwe kwa mstari ulionyooka
Tunaitumia kwa Ku socialize,kupiga picha tukiwa bichi ama siku tukila samaki ama Kuku na kuposti mtandaoni. Kubetia na kubishana siasa za Cccm and cdm.Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!
Mfumo wa elimu na kuficha sheria zisipatikane au kuandikwa kwa kiingereza ndiyo chanzo cha ujinga wa watanzania.Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.
Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!
Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!
Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
Mbona Daudi Bilal alizikwa huko au watanzania wanahisi naye hakuwa Mtanzania.Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.
Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!
Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!
Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
Ninyi ndio mnaomini kuwa kuwa masikini ndio Uzalendo.Wana hoja wahindi wengi sio wazalendo,wako huku kuchuma tu ila wana passport au nasaba ,mapenzi na nchi zingine,wahindi sio watu wa kuwaamini
Asante sana kwa Madini adimu👊Na CCM ndio wanapenda watu waendelee kuwa hivyo hivyo maana elimu wanayotoa ni ya zama za mawe.
Ukitaka kuamini hilo waulize watu kuhusu elimu ya uraia na katiba ya nchi watakuambia mimi sitaki kusikia kuhusu siasa waachie wanasiasa.
Masikini na wajinga wanadanganywa uraia pacha ni kukosa uzalendo huku viongozi wa CCM wengi tu wana pasi mbili.
Nitakupa tu mfano mwepesi fuatilia mazungumzo ya ex- CDF baada ya Magufuli kufariki na eti wakawa hawajui wafanye nini baada ya rais kufia madarakani huoni hapo kuna tatizo?
Ni kweli aisee na umelidhihirisha hilo kwakoSasa mtanielewa ninaposema mara kwa mara kuwa adui mkubwa ya Watanzania ni ujinga. Watanzania bado ni wajinga sana tena sana..
Shule zetu ni za kusomesha ujinga.