Manji kuzikwa Marekani kumedhihirisha kiwango kikubwa cha ujinga. Tuna safari ndefu kama nchi katika katiba na elimu ya uraia

Manji kuzikwa Marekani kumedhihirisha kiwango kikubwa cha ujinga. Tuna safari ndefu kama nchi katika katiba na elimu ya uraia

Kunaweza kuwa na ukweli katika hilo.Lakini,nimeona wengi wanaozikwa huko(nchi walizofarikia) huwa ni wa dini ya kiislamu.Nikaelezwa sababu mojawapo ni kwamba,kwa taratibu za dini ya kiislamu,mtu akifariki anatakiwa kuzikwa siku hiyohiyo(kuna muda mchache wa kukaa na maiti)bila kujali nchi yake ya kuzaliwa.Na ninaamini yawezekana kukawa na sababu zingine.
RAis wa iran juzijuzi kafa jumapili kazikwa jumatano nadhani unakumbuka ile ajali ya helicopter
 
Kwani kuwa na nasaba, mapenzi au mahaba na nchi nyingine kunaondoa vipi uraia wa mtu?? Yani Utanzania wa mtu unaondoka kivipi kwa yeye kuwa na mapenzi na Israel, Russia, Kenya au Marekani??
Uzalendo ndio neno nililokusudia,kuwa tayari kuifia nchi
 
Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.

Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!

Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!

Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
Sasa mtanielewa ninaposema mara kwa mara kuwa adui mkubwa ya Watanzania ni ujinga. Watanzania bado ni wajinga sana tena sana..

Shule zetu ni za kusomesha ujinga.
 
Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.

Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!

Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!

Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
Manji hawezi kuwa mtanzania hapa ni sehemu tu yakuchumia hela, kikinuka huwa wananchi zao za kupumzikia na kula utajiri waliouchuna polepole.
 
Hivi Tanzania kuna makaburi au madampo ya kutupia watu? Hayana usimamizi mzuri, watu wanazikwa zigzag, hayapaliliwi wala kusafishwa, i hope atatokea mtu na idea ya kununua ardhi, inakuwa chini ya Manispaa ila yeye anaendesha usimamizi na matunzo ya hilo eneo. Hata kama itagharimu milioni moja kuzika, lakini pawe safi miaka yote. Pawekwe maua na nyasi na wazikwe kwa mstari ulionyooka
Huo ni ushamba , mwanakwetu wacha wafu wazike wafu wenzao ndio hii.
Sasa wewe unataka makaburi massfi ili ufanyie nini ?
Unadhani hiyo minyama inaweza kuja fufuliwa katika VVIP,VIP na Ordinary classes ??
I thank God to hold most of religion s in TZ does not support ibada za sanamu,
Hivi wewe unadhani kwamba daaa ngoja nitulie
 
Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!
Tunaitumia kwa Ku socialize,kupiga picha tukiwa bichi ama siku tukila samaki ama Kuku na kuposti mtandaoni. Kubetia na kubishana siasa za Cccm and cdm.
Pia tunafuatilia udaku wa kimambi.
Mtu hajui anaweza jaza ama beba vitabu vya kujaza semi trailer mia akawa anajisomea.
 
Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.

Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!

Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!

Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
Mfumo wa elimu na kuficha sheria zisipatikane au kuandikwa kwa kiingereza ndiyo chanzo cha ujinga wa watanzania.
 
Na CCM ndio wanapenda watu waendelee kuwa hivyo hivyo maana elimu wanayotoa ni ya zama za mawe.

Ukitaka kuamini hilo waulize watu kuhusu elimu ya uraia na katiba ya nchi watakuambia mimi sitaki kusikia kuhusu siasa waachie wanasiasa.

Masikini na wajinga wanadanganywa uraia pacha ni kukosa uzalendo huku viongozi wa CCM wengi tu wana pasi mbili.

Nitakupa tu mfano mwepesi fuatilia mazungumzo ya ex- CDF baada ya Magufuli kufariki na eti wakawa hawajui wafanye nini baada ya rais kufia madarakani huoni hapo kuna tatizo?
 
Nimeangalia comments za ukurasa mmojawapo wa mitando ya kijamii kuhusu Manji kuzikwa Florida Marekani nimeshangaa kuona kundi kubwa sana la raia Watanzania hawana elimu kabisa kuhusu vigezo vya kuwa raia wa nchi hii au kuna ubaguzi mkubwa sana kwa raia walio wengi.

Wengi katika ukurasa huo wameshangazwa sana na kuuliza maswali kwamba kumbe Manji hakuwa Mtanzania?! Yani tuna raia wengi wanaojua kwamba Mtanzania hawezi kuzikwa nje ya Tanzania akifariki! Kwamba kigezo kimojawapo cha kuthibitisha Utanzania wako ni kuzikiwa katika ardhi ya Tanzania!

Sasa kama mtu amefikia kumiliki smartphone na hajui hata vigezo vya uraia wa nchi yake hao wengine watakuwa anafahamu nini katika masuala ya haki za uraia na mambo mazito ya katiba kwa ujumla?!

Itoshe kusema tuna safari ndefu kama nchi kuhusu katiba na elimu ya uraia.
Mbona Daudi Bilal alizikwa huko au watanzania wanahisi naye hakuwa Mtanzania.
Elimu ya kawaida na mawazo ya Watanzania ni ya ajabu sana na utayaelewa kupitia comment zao mtandaoni.
 
Na CCM ndio wanapenda watu waendelee kuwa hivyo hivyo maana elimu wanayotoa ni ya zama za mawe.

Ukitaka kuamini hilo waulize watu kuhusu elimu ya uraia na katiba ya nchi watakuambia mimi sitaki kusikia kuhusu siasa waachie wanasiasa.

Masikini na wajinga wanadanganywa uraia pacha ni kukosa uzalendo huku viongozi wa CCM wengi tu wana pasi mbili.

Nitakupa tu mfano mwepesi fuatilia mazungumzo ya ex- CDF baada ya Magufuli kufariki na eti wakawa hawajui wafanye nini baada ya rais kufia madarakani huoni hapo kuna tatizo?
Asante sana kwa Madini adimu👊
 
Back
Top Bottom