Manji kuzikwa Marekani kumedhihirisha kiwango kikubwa cha ujinga. Tuna safari ndefu kama nchi katika katiba na elimu ya uraia

Hii comment aione mtoa mada.

Halafu asikariri kwamba kila mtu nchi hii ni mjinga mjinga wengine wamekaa tu hawana cha kupoteza wala kuoambania.
 
Ingependeza sana wewe mwenye elimu hiyo ungeitoa hapa jukwaani ili wengi wajifunze na sio kushangaa na kuonyesha kuwa ww una uelewa mkubwa sana upande huo wakati hutoi elimu na wengine waipate.

Uelewa wako huo unakua ni useless.
 
Wana hoja wahindi wengi sio wazalendo,wako huku kuchuma tu ila wana passport au nasaba ,mapenzi na nchi zingine,wahindi sio watu wa kuwaamini

Nimejaribu kufuatilia sana kwa manirani zetu wa Kenya kwenye masndamano yao lakini sikuona Mhindi hata mmoja akiandamana kupinga muswada wa fedhana kodi.

Lakini pia sikuona askari Polisi Mhindi .
Niliona tu mwafrika na mwafrika wakipigana Risasi na kurushiana mawe na kuuana .
 
Wana hoja wahindi wengi sio wazalendo,wako huku kuchuma tu ila wana passport au nasaba ,mapenzi na nchi zingine,wahindi sio watu wa kuwaamini
Waziri wa Fedha enzi za Nyerere Jamal Amir naye aliamua kuzikwa Canada. Huku wao wanaona ni mashambani tu kwa kuchuma.
Makazi yao ni huko Ulaya na America ndiyo maana wakifa hawazikwi hapa labda wale masikini kabisa
 
Sio sawa kushutumu juu ya uelewa wa watu kuhusu uraia. Mambo mengine ni tamaduni tu ambazo zimezoeleka.

Leo mchaga akifa dar ama popote anarudishwa kwao kilimanjaro kuzikwa. Same kwa mnyaki, mgogo, mpare, mhaya n.k.
Ingawa mara chache huwa sio hivyo lakin watu huwa wanahoji.
 
Afrika huwa hatufi, ndio maana tunaendelea kuwasiliana na wafu, tubabadili makazi tu, na tukifika huko tunaitwa mizimu, na tunaongea na walio hai. Kama mzimu wako unaenda kuutupa jalalani, yatakayokukuta ni juu yako.

Ndio maana mnalia mashida mengi, mnaomba kazi hampati, kumbe ukifika kwenye interviews, mzimu unakuziba huonekani. Unafungua biashara, mzimu unakaa hapo dukani unapiga nuksi na kufukuza wateja mfano wa trafiki anavyoongoza magari. Watoto wako shuleni mzimu unawawekea uzito wa kuelewa masomo, mnakuwa na vita tu na mkeo kwa mzimu unaishi humo ili uwavuruge.

Mtume Mohamad, na mitume wengine hatukuwaacha kuwaimba hata baada ya kifo chao? Si unasema wafu wazike wafu wenzao?
 
Manji ni Muislam na Uislam unatufundisha na kutuhimiza mtu kuzikwa alipokufa, ndiyo mara chache sana utaona Waislam wakisafarishwa mbali kuzikwa.
Kama Manji ni Muislam mbona kazikwa na Sanduku badala ya kuzikwa na Sanda!!?
 
Bila shaka uko sahihi watanzania wengi wanapenda sifa za kijinga/uchawa kwa maana kifo cha m/nchi wakawaida hawaulizi kwann amezkwa sehem fulan lkn wtu maarufu wana maswali kemkem mm nililiona hilo kifo cha mzee mwinyi , hatupendi kuheshim mawazo ya familia ya marehm kuamua wp azikwe mpendwa wao.
 
Sisi tunawaonani wananzengo wenzetu ila mioyoni mwao wanajiona ni wapitaji tu hawana ile uzalendo wa kiafrica
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…