FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Uzikwe popote pale, kinachobaki ni amali yako siyo mwili wako umezikwa wapi.Waziri wa Fedha enzi za Nyerere Jamal Amir naye aliamua kuzikwa Canada. Huku wao wanaona ni mashambani tu kwa kuchuma.
Makazi yao ni huko Ulaya na America ndiyo maana wakifa hawazikwi hapa labda wale masikini kabisa
Nyerere kafia wapi?