Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
YEAH, NDIO MAANA TUNASEMA WANAWAKE WANA MAMBO MENGIMuda unaenda...wala hajali...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YEAH, NDIO MAANA TUNASEMA WANAWAKE WANA MAMBO MENGIMuda unaenda...wala hajali...
Ebu tuambie mnafichaga wapi maana mie wife nikijaribu kumpekua sipati kituHe he heheee
Kuna viatu pia, mara mchuchumio, mara mosimo, mara raba..!! etcHabari wakuu,
Husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu, Kama ilivyo katika watu wanaoongoza kuwa na nguo ni wanawake.
Hii yote hutokana na kutaka kuwa na muonekano mzuri na utanashati.
Pia mavazi hayo yanafanya mwanamke kuwa mrembo zaidi kulingana na aina ya mavazi.
Kuna aina nyingi za mavazi yanayopendwa sana na wanawake.
Mojawapo ya mavazi hayo ni yale ya casual, official na wedding guest.
Leo tutazungumzia mavazi ya aina mbili ya casual ambayo ni suruali za aina mbalimbali, blouse za aina mbali mbali, vigauni.
Haya mavazi ya mitoko ya weekend yaani casual na mitoko ya hapa na pale ni moja ya mavazi yanayonunuliwa bila mpangilio wa pesa, maana mwanamke akiiona tu nguo ukute ni blouse au jeans, zimwi linaamka hata kama hakupanga kununua atanunua tu.
Nguo zingine ananunua lakini havai kabisa utakuta kabati limejaa akitaka kuvaa anavurugwa kichwa mpaka avuruge kabati.
Mavazi mengine ni pamoja na mavazi ya sherehe, ambayo ni yale magauni ambayo wanavaa kama wedding guest.
Huwa magauni hayo yanatumia gharama nyingi sana, ila hata kama pesa akupangilia ananunua wala hajali.
Mbaya zaidi magauni haya yanaendana na rangi husika ya wakati huo au rangi ya ukumbi, pia na fashion husika hivyo humlazimu kila sherehe kununua nguo.
Zimwi hili la kununua nguo limekuwa likiwatesa sana mabinti wengi na wengine wamejikuta wakidanga ili wanunue nguo zinazokwenda na wakati.
Ukija katika ndoa yani wanawake hasa wale wa uswahilini pamoja na mama wa nyumbani ambao hawana kazi wamekuwa wakibana pesa za waume zao za matumizi kama mlo kamili ambazo wanaachiwa wanabana ili wanunue nguo.
Zimwi hili halijaishia hapo linawafanya wanawake kuwa watumwa wa kwenda na wakati ambao wakati huo hauendi na wao.
Isipokuwa wakati huo umegeuka zimwi ambalo limekuwa likipoteza pesa zao.
View attachment 2320322
Halafu kabla ya kuanza kupagawa, ANAPIGA BASI NGUO TANO..!! Na ndo zinaenda kumpagawisha vilivyo. Binafsi, kama natoka naye, nahakikisha nakaa kwenye TV mpaka atakapokuwa tayari amemaliza kupagawa. Na wakati anapagawa, OLE wako umuulize au umuhimize kuwahi..!! UTAJUTA kwanini ulimuuliza..!!Anapagawa kwanza hajui avae ipi, anavua anavaa
Halafu wakialikwa kwenye sherehe utawasikia..!! YAANI SINA NGUO WALA KIATU CHA KUVAA KWENYE SHEREHE YA FULANIzaidi ya saa nzima mtu aliniweka eti anatafuta nguo ya kuvaa..
mtu kabati limejaa na kuna nguo zina zaidi ya mwaka hazijavaliwa.
Kimbembe siku nikamwambia embu chambua ambazo hazitakiwi tukazigawe alipata sijui mbili tu.😂 Kila hiyo anaiona nzuri tena, kiruuu....😀
Ebu tuambie mnafichaga wapi maana mie wife nikijaribu kumpekua sipati kitu
Shhhhhh....taratibu bwana usije ukawastua wengine. Hiyo iwe siri yakoMakubwa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kumbe na wewe ushaoa ila kutwa kujisifia huku hakuna kuoa
Umaskini kitu kibaya sanaNguo na saluni pesa nyingi za wanawake zinateketea hapo.
Anatupotosha😂Makubwa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kumbe na wewe ushaoa ila kutwa kujisifia huku hakuna kuoa
Aombe Mungu au afanye kazi apate pesa..!!?? Wewe ni sawa na wale wachungaji wanawaombea wafuasi wao wapate magari na huku yeye akitaka gari anawahimiza wafuasi wake wamchangieUmaskini kitu kibaya sana
Omba Mungu akupe pesa uondokane na vimawazo vya kimaskini kama lako na la mleta mada
Mna pepo la umaskini
Umaskini huanzia kwenye akiliAOmbe Mungu au afanye kazi apate pea..!!?? Wewe ni sawa na wale wachungaji wanawaombea wafuasi wao wapate magari na huku yeye akitaka gari anawahimiza wafuasi wake wamchangie
Hayo yapo dini zote hata mapadri huwaombea waumini baraka ila wao huitisha sadaka za kununuliwa magari na kuishi maisha mazuriAOmbe Mungu au afanye kazi apate pea..!!?? Wewe ni sawa na wale wachungaji wanawaombea wafuasi wao wapate magari na huku yeye akitaka gari anawahimiza wafuasi wake wamchangie
Mzee wa mbususu mkeo mbususu itakua salama kweli??? Mpe pole sana😆😆Shhhhhh....taratibu bwana usije ukawastua wengine. Hiyo iwe siri yako
Mbusus yake mbona ipo salama kabisa....ila sii unajua tena lazima mwanaume uwe na wanawake watatu ndio mke ashike adabuMzee wa mbususu mkeo mbususu itakua salama kweli??? Mpe pole sana😆😆
Wewe unataka kuupotosha umma wewe 😆😆😆😆Mbusus yake mbona ipo salama kabisa....ila sii unajua tena lazima mwanaume uwe na wanawake watatu ndio mke ashike adabu
Mnooo😆Anatupotosha😂