Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Tunaishi nao ndiyo maana, na tunawaona kila kukicha na mazimwi yao[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unauzoefu nao hataree
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaishi nao ndiyo maana, na tunawaona kila kukicha na mazimwi yao[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unauzoefu nao hataree
Muongo huyoMakubwa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kumbe na wewe ushaoa ila kutwa kujisifia huku hakuna kuoa
Ni shidaMwingine juzi hapa ameenda kununua chupi 5 kwa elfu 50!wakati chupi anazo za kutosha,kisa tu et ni toleo jipya huh! Kwenye simu yupo na magroup ya collections/boutiques kibao ya nguo na viatu.
Yani hajielewi kabisa, namna ya kumpa elimu aachane na hayo makitu na lifestyle hiyo ni ngumuuuu balaaa maana keshazama huko.
Wadada ninyi akili zenu! aaaarrrrghrrrrrghrrrgh
Hao ni waislamu wa buza mkuu wanawake wa kiarabu wananua nguo nyingi na za gharama kubwa sanaWaafrika wengi tumeiaga Western Consumerism.....
Kitu ambacho hakishabihiani kabisa na uhalisia wa chumi zetu hapa Afrika....
Walau wenzetu vile viwanda vya nguo huwepo nchini kwao hivyo bei huwa chini, sisi huwa tunaagiza!
Dada anataka Balenciaga, Michael Kors, Givenchy, Ralph Lauren, Prade halafu mshahara tsh 600,000/=
Hapo kwenye sherehe wanawake wa uswahilini wameweza sana.....
Wao ni full kushonesha sare ya madera ya tsh 10000/=.............
Lakini pia wanawake wa kiislamu wameweza sana,.......
Wao huvaa hijab 24/7, kitu cha gharama kwao ni Perfume tu.......
Mkuu mimi nimeongelea wanawake wa kiislamu, sijaongelea wanawake wa kiarabu...........Hao ni waislamu wa buza mkuu wanawake wa kiarabu wananua nguo nyingi na za gharama kubwa sana
Hata hao hawana pesa bhn huwezi mtenganisha na mwanamke na mavazi ya gharama na matumizi ya pesa sijui saloon, Parfums na malosheni na zagazaga zingineMkuu mimi nimeongelea wanawake wa kiislamu, sijaongelea wanawake wa kiarabu...........
Embu mchekini huyu hapa kwenye uzi huu Mpenzi wangu ana viatu pair 75, handbags 47, mikanda 70, mawigi 62 nimeamua kumuacha kimya kimyaNi shida
😂Tena unapiga pas nyingine ya sita[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alafu hizo nguo tano alizopiga past havai, anakuja vaa nyinginee
Wewe na mleta mada mlitakiwa kwenda kuwa mapadri au mabruda wa kikatoliki msiooa na msio na majukumu ya familia ikiwemo wakeMwingine juzi hapa ameenda kununua chupi 5 kwa elfu 50!wakati chupi anazo za kutosha,kisa tu et ni toleo jipya huh! Kwenye simu yupo na magroup ya collections/boutiques kibao ya nguo na viatu.
Yani hajielewi kabisa, namna ya kumpa elimu aachane na hayo makitu na lifestyle hiyo ni ngumuuuu balaaa maana keshazama huko.
Wadada ninyi akili zenu! aaaarrrrghrrrrrghrrrgh
Uko sahihi Tatizo vianaume vimaskini vinaparamia ndoa kuoa wanawake ,vidume maskini havitakiwi kuoa vitafute pesa kwanzaHata hao hawana pesa bhn huwezi mtenganisha na mwanamke na mavazi ya gharama na matumizi ya pesa sijui saloon, Parfums na malosheni na zagazaga zingine
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Embu mchekini huyu hapa kwenye uzi huu Mpenzi wangu ana viatu pair 75, handbags 47, mikanda 70, mawigi 62 nimeamua kumuacha kimya kimya