Manunuzi ya nguo zimwi linalomaliza pesa za wanawake

Kuna viatu pia, mara mchuchumio, mara mosimo, mara raba..!! etc
 
Anapagawa kwanza hajui avae ipi, anavua anavaa
Halafu kabla ya kuanza kupagawa, ANAPIGA BASI NGUO TANO..!! Na ndo zinaenda kumpagawisha vilivyo. Binafsi, kama natoka naye, nahakikisha nakaa kwenye TV mpaka atakapokuwa tayari amemaliza kupagawa. Na wakati anapagawa, OLE wako umuulize au umuhimize kuwahi..!! UTAJUTA kwanini ulimuuliza..!!
 
Halafu wakialikwa kwenye sherehe utawasikia..!! YAANI SINA NGUO WALA KIATU CHA KUVAA KWENYE SHEREHE YA FULANI
 
Aiseeee......katika kitu kimenishinda ni kununua nguo hovyo hovyo
 
Umaskini kitu kibaya sana
Omba Mungu akupe pesa uondokane na vimawazo vya kimaskini kama lako na la mleta mada

Mna pepo la umaskini
Aombe Mungu au afanye kazi apate pesa..!!?? Wewe ni sawa na wale wachungaji wanawaombea wafuasi wao wapate magari na huku yeye akitaka gari anawahimiza wafuasi wake wamchangie
 
AOmbe Mungu au afanye kazi apate pea..!!?? Wewe ni sawa na wale wachungaji wanawaombea wafuasi wao wapate magari na huku yeye akitaka gari anawahimiza wafuasi wake wamchangie
Umaskini huanzia kwenye akili
Mtu akiwaza kuwa mwanamke kuwa na nguo nyingi za gharama au kwenda saluni za bei ni.kupoteza pesa huyo anahitaji maombi ana pepo la umaskini
Akili ikiamka ndipo sasa aweza kwenda kuchapa kazi apate pesa za kumpa mkewe anunue nguo za gharama na kwenda saluni za gharama
 
AOmbe Mungu au afanye kazi apate pea..!!?? Wewe ni sawa na wale wachungaji wanawaombea wafuasi wao wapate magari na huku yeye akitaka gari anawahimiza wafuasi wake wamchangie
Hayo yapo dini zote hata mapadri huwaombea waumini baraka ila wao huitisha sadaka za kununuliwa magari na kuishi maisha mazuri

Kanisa lolote nenda mchungaji na padri kuishi kwa sadaka za waumini maisha mazuri tu wao wanachowapa waumini ni baraka tu
 
Mzee wa mbususu mkeo mbususu itakua salama kweli??? Mpe pole sana😆😆
Mbusus yake mbona ipo salama kabisa....ila sii unajua tena lazima mwanaume uwe na wanawake watatu ndio mke ashike adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…