Manunuzi ya nguo zimwi linalomaliza pesa za wanawake

Wewe unataka kuupotosha umma wewe πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Kivipi mrembo. Nyie mnakuwaga na visirana...bila drama ndani ya nyumba hamfurahi....lazima siku moja moja mkute sms ya mchepuko tupigane mangumi alafu mnyanduano ndio unanoga.
Baadae unapelekwa shopping na outing na watoto...one big happy family
 
Kivipi mrembo. Nyie mnakuwaga na visirana...bila drama ndani ya nyumba hamfurahi....lazima siku moja moja mkute sms ya mchepuko tupigane mangumi alafu mnyanduano ndio unanoga.
Baadae unapelekwa shopping na outing na watoto...one big happy family
Heheheheh kama unachosema ni kweli vile mnyanduo hardcore baada ya ugomvi ndo wenywe unagusa kila engoooπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Nimesahau tuko kwnye kipindi cha sensa
Embu tujenge taifa kwanza
 
Heheheheh kama unachosema ni kweli vile mnyanduo hardcore baada ya ugomvi ndo wenywe unagusa kila engoooπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Nimesahau tuko kwnye kipindi cha sensa
Embu tujenge taifa kwanza
Hahaha aisee kumbe mnapendaga hiyo ya kugusa kila kona eeh
 
Umenena kweli, hii kasumba inawatesa wengi sana. Sijui ni kutojiamini, ama sijui ni kutaka kuonekana, ama sijui ni nini.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alafu hizo nguo tano alizopiga past havai, anakuja vaa nyinginee
 
Unataka kuchepuka...naenda kusema kwa ...
ah usijanye hivyo bwana kwa nini unataka kuharibu mambo tena besty. wewe uchune tuu. sii mnajijua wenyewe lakini bila mwanaume kuwa na mpango wa kando maisha yanakuwa na stress
 
Nchi ipo uchumi wa kati wacha wenye maduka ya nguo tutajirike
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alafu hizo nguo tano alizopiga past havai, anakuja vaa nyinginee
Sasa ukute ile anayojifanyaga anaipedaaa.. kaiunguza na pasi, ataitaja kila siku anapoalikwa pahala..!! Yaani ile niliyoiunguza ningeivaa leo..!! Wakati ilipokuwepo alikuwa anairuka kila siku
 
Sasa ukute ile anayojifanyaga anaipedaaa.. kaiunguza na pasi, ataitaja kila siku anapoalikwa pahala..!! Yaani ile niliyoiunguza ningeivaa leo..!! Wakati ilipokuwepo alikuwa anairuka kila siku
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unauzoefu nao hataree
 
kumbeee...na matumizi yake ni ya nini maana muda sio mrembo wife kaniomba apa hela ya kusuka jamani eti elfu 70 duh!
Malkia account ni ya wanawake wenye nia ya kujiendeleza inatoa faida mpaka 5% kwa mwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…