Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Huwezi amini fadhili za Bwana ni za milele. Manusura wote wa mkono wa chuma wa awamu ya tano waliokimbilia nje ya nchi kuokoa roho zao Mungu hakuwatindikia wao na familia zao.
1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.
2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.
3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.
4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.
Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.
1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.
2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.
3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.
4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.
Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.