Manusura wa utawala wa awamu ya tano waliokimbilia nje wote ni kama Mwenyezi Mungu amewabariki

Manusura wa utawala wa awamu ya tano waliokimbilia nje wote ni kama Mwenyezi Mungu amewabariki

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Huwezi amini fadhili za Bwana ni za milele. Manusura wote wa mkono wa chuma wa awamu ya tano waliokimbilia nje ya nchi kuokoa roho zao Mungu hakuwatindikia wao na familia zao.

1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.

2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.

3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.

4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.

Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.
 
Mama yangu tawala kwà akili usiwape tena watu mwanya kwenda mambele kiraisrais utakuwa umewapaisha maana Mungu atawainua sasa wewe usipambane na Mungu kwà kumtesea viumbe wake. We wape maji mazahanati malami kichedede maumeee na ma WiFi mpaka matombo huko ndanindani uone kama mola wako hatakubariki kama mama Helen Johnson Sirlif.
 
1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.
Ongezea: Na shoga yake rob amster ana raha zaidi kuwa karibu naye muda mwingi. Kweli kumpiga teke chura ni kumwongezea mwendo.
 
Huwezi amini fadhili za Bwana ni za milele. Manusura wote wa mkono wa chuma wa awamu ya tano waliokimbilia nje ya nchi kuokoa roho zao Mungu hakuwatindikia wao na familia zao.

1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.

2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.

3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.

4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.

Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.
Watu tumetofautiana sana kwa kweli. Vitu mnavyoviona vya maana au vya mafanikio kwa mwingine anaona ni ufala tu au kurudi nyuma tu.
 
Huwezi amini fadhili za Bwana ni za milele. Manusura wote wa mkono wa chuma wa awamu ya tano waliokimbilia nje ya nchi kuokoa roho zao Mungu hakuwatindikia wao na familia zao.

1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.

2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.

3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.

4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.

Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.
Bangi mbaya sana
 
Huwezi amini fadhili za Bwana ni za milele. Manusura wote wa mkono wa chuma wa awamu ya tano waliokimbilia nje ya nchi kuokoa roho zao Mungu hakuwatindikia wao na familia zao.

1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.

2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.

3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.

4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.

Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.
Ponguza upumbavu,ili uwe muelewa!

Sio kila anaeishi Ughaibuni basi ni amefanikiwa!

Huko nako kuna mitaa ya mabanda!

Bahati mbaya Ufipa,akili mnashikiwa na Mnyika!

Hao wote uliowataja,kule waliko wanaishi kwa kupewa Posho!

Na Lissu anaishi kwa kuifitinisha serikali ya Tanzania na mabeberu yake!...
kina Robert Amsterdam!

Muwe mnafikiria kwa kichwa sio ma*alio.
 
Huwezi amini fadhili za Bwana ni za milele. Manusura wote wa mkono wa chuma wa awamu ya tano waliokimbilia nje ya nchi kuokoa roho zao Mungu hakuwatindikia wao na familia zao.

1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.

2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.

3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.

4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.

Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.
Ngoja wafilist walinda legacy waje!!!
 
Huwezi amini fadhili za Bwana ni za milele. Manusura wote wa mkono wa chuma wa awamu ya tano waliokimbilia nje ya nchi kuokoa roho zao Mungu hakuwatindikia wao na familia zao.

1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.

2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.

3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.

4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.

Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.
Umeandika mwandiko wa kihuni/kimtaani ila una logic kubwa sana.

Perfect 100%
 
Mama yangu tawala kwà akili usiwape tena watu mwanya kwenda mambele kiraisrais utakuwa umewapaisha maana Mungu atawainua sasa wewe usipambane na Mungu kwà kumtesea viumbe wake. We wape maji mazahanati malami kichedede maumeee na ma WiFi mpaka matombo huko ndanindani uone kama mola wako hatakubariki kama mama Helen Johnson Sirlif.
Points taken
 
Ponguza upumbavu,ili uwe muelewa!

Sio kila anaeishi Ughaibuni basi ni amefanikiwa!

Huko nako kuna mitaa ya mabanda!

Bahati mbaya Ufipa,akili mnashikiwa na Mnyika!

Hao wote uliowataja,kule waliko wanaishi kwa kupewa Posho!

Na Lissu anaishi kwa kuifitinisha serikali ya Tanzania na mabeberu yake!...
kina Robert Amsterdam!

Muwe mnafikiria kwa kichwa sio ma*alio.
Hakika wewe ndiye huna akili. Huyu jamaa hajasema wote wanaoishi Ulaya wana maisha mazuri. Amekuwa specific kwa kuwataja tena kwa majina yao wale anaowaona kuwa wame-win maisha kupitia siasa mbovu zilizokuwepo hapa nchini.

Ungekuwa na argument nzuri na yenye mashiko kama ungeleta uthibitisho kuwa, mleta post ameandika uongo. Hao aliowataja wana maisha duni na hawana exposure huko walipo..mtoa post amepaita ubaridini
 
Huwezi amini fadhili za Bwana ni za milele. Manusura wote wa mkono wa chuma wa awamu ya tano waliokimbilia nje ya nchi kuokoa roho zao Mungu hakuwatindikia wao na familia zao.

1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.

2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.

3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.

4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.

Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.
Jiwe alijali sana maendeleo ya vitu, hakuwa na chembe yoyote ya huruma kwa wale aliodhani kuwa ni mahasimu wake. Maendeleo ya watu kwake ilikuwa kulighilibu kundi la walalahoi aliloliita la wanyonge.

Aliwaruhusu wafanye shughuli zao kiholela na kishaghalabaghala hali iliyopelekea uchafuzi mkubwa wa mazingira na mipango ya miji kuvurugika, yaani "extra-legal environment" hali iliyopelekea kodi zisilipike vizuri, na gharama zake ikabebeshwa sekta ambayo aliichukia mno, na kuwaita waliomo ndani yake wapiga dili na wameeibia sana serikali.
 
Hakika wewe ndiye huna akili. Huyu jamaa hajasema wote wanaoishi Ulaya wana maisha mazuri. Amekuwa specific kwa kuwataja tena kwa majina yao wale anaowaona kuwa wame-win maisha kupitia siasa mbovu zilizokuwepo hapa nchini.

Ungekuwa na argument nzuri na yenye mashiko kama ungeleta uthibitisho kuwa, mleta post ameandika uongo. Hao aliowataja wana maisha duni na hawana exposure huko walipo..mtoa post amepaita ubaridini
Wacha ufala!

Kuwin maisha,angetutajia labda wamepata post za kazi na sasa ni waajiriwa huko!

Au atuambie wanafanya biashara baada ya kukopeshwa pesa huko!

Yeye nadharia yake ni kuwa kila anayeshi nje,basi huyo amepata maisha!

Maisha. ni pamoja na kuwa na uhakika wa future yako!

Kitu pekee wanachofaidi hao wote,ni kule kusomesha watoto nje ya nchi.

Kwa kipato ni bora mnyamaze maana hamyajui wayapitiayo huko!
 
Hakika wewe ndiye huna akili. Huyu jamaa hajasema wote wanaoishi Ulaya wana maisha mazuri. Amekuwa specific kwa kuwataja tena kwa majina yao wale anaowaona kuwa wame-win maisha kupitia siasa mbovu zilizokuwepo hapa nchini.

Ungekuwa na argument nzuri na yenye mashiko kama ungeleta uthibitisho kuwa, mleta post ameandika uongo. Hao aliowataja wana maisha duni na hawana exposure huko walipo..mtoa post amepaita ubaridini

Mtu mzima wa 40 + anafanikiwaje kwa kuwa mkimbizi. Kwani wewe Mafanikio unayatafsiri Vipi? Ukimbizi ni emergency situation. Lema naye alikimbia baada ya kushindwa ubunge. Msiwape watu hadhi wasizokuwa nazo.
 
Watu tumetofautiana sana kwa kweli. Vitu mnavyoviona vya maana au vya mafanikio kwa mwingine anaona ni ufala tu au kurudi nyuma tu.
Haina kishungi mbona gwede tu mi ndo nawaona hivyo jamaa wametusua hapa walitaka kupotezwa ila kwasasa wako umaweseni full kukolaidi na mijitu ya global kwenye mastrit za mbele kwà manato ma un // mtu yuko uNATOni hajatusua huyo babuuuu?
 
Huwezi amini fadhili za Bwana ni za milele. Manusura wote wa mkono wa chuma wa awamu ya tano waliokimbilia nje ya nchi kuokoa roho zao Mungu hakuwatindikia wao na familia zao.

1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.

2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.

3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.

4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.

Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.
Uliyoyaandika ni madogo.

Nenda mji wa Pemba nchini Msumbiji uone wafanyabiashara Watanzania walivyo wengi, walioukimbia utawala wa mkono wa chuma.

Nilifika Pemba mara 2 na kukutana na baadhi ya Wafanyabiashara wa kitanzania, wanaongea wazi kabisa kuwa wanamshukuru Magufuli. Maana kama kungekuwa na uongozi mzuri, wasingefikiria kabisa kuondoka nchini Tanzania. Waliondoka kukimbia manyanyaso, lakini sasa wamepata mafanikio makubwa ambayo hawakuwahi kufikiria. Nchini Msumbiji kwa sasa, makampuni yote ya mabasi ya safari ndefu ndani ya nchi yanamilikiwa na Watanzania. Nenda kwenye miji kama Mueda, wamejaa wafanyabiashara wa Tanzania.

Nenda Zambia. Leo kampuni ya Meru ndiyo inayoongoza kwa vituo vingi vizuri kuliko kampuni yoyote nchini humo. Manji naambiwa (sijahakikisha kama ni kweli), mpaka amehamishia makao ya kampuni zake huko Lusaka.

Hapo Burundi tu, BAKHRESA, ameweka kiwanda kikubwa na cha kisasa ambacho huwezi kulinganisha na vilivyopo Tanzania. Halafu kajenga kikubwa zaidi kuliko vyote Afrika Kusini. Huku akipeleka biashara zake Mauritius.

Nchini Msumbiji, pale Nampula, Mo kajenga kiwanda kikubwa cha kisasa cha cemenf. Wakati nimeenda pale kilikuwa kimekamilika, na wakati huo alikuwa ameombwa akajenge kingine Maputo.

Wengine walienda kuwekeza Kenya. Kwa mara ya kwanza, wakati wa utawala wa Magufuli, Watanzania ndiyo walienda kuwekeza Kenya kuliko kipindi chochote.

Wakati wa utawala wa marehemu, mara 4, nilialikwa na Serikali za mataifa manne tofauti ya Afrika, yote yakiniomba nisaidie kuwapeleka wawekezaji wa kigeni nchini mwao. Hao ni wale waliokuwepo Tanzania, na wameamua kuonfoka chini. Mara moja, Waziri wa nchi mojawapo, neno la kwanza nilipokutana naye (sikuwa namfahamu, na sikuwahi kukutana naye kabla) aliniambia, nasikia nkchini kwenu kumeharibika, wawekezaji wa kigeni wanaondoka, sisi tunawahitaji sana hao, tuletee, mazingira yetu ni mazuri sana, na hawatajutia kuwekeza hapa.

Lakini katika mataifa yote, nchi iliyonufaika zaidi na mazingira mabaya ya uwekezaji wakati wa awamu ya 5, ni Msumbiji. Wengi walienda huko, tena wawekezaji wa mitaji ya kati. Wawekezaji wakubwa wa kimataifa, hasa kwenye sekta ya madini, wao walienda zaidi West Afrika, na wengine America ya Kusini.


Watu wanatakiwa wafahamu kuwa, hata katika ubaya, mema yanaweza kumea. Kukitokea changamoto, pambana kupata majibu sahihi kuliko kubakia ukilalamika bila ya kuchukua hatua. Baadhi ya waliondoka nchini na kwenda kuwekeza nje, wengine hata leo uwaambie warudishe biashara zao nchini, hawawezi kukubali kutokana na mafanikio wanayoyapata huko ugenini. Hii ndiyo tafsiri ya ile methali ya Kiswahili: BANIANI MBAYA, KIATU CHAKE DAWA. Maana yake ni kwamba hakuna kilicho kibaya kimakosa uzuri.
 
Wacha ufala!

Kuwin maisha,angetutajia labda wamepata post za kazi na sasa ni waajiriwa huko!

Au atuambie wanafanya biashara baada ya kukopeshwa pesa huko!

Yeye nadharia yake ni kuwa kila anayeshi nje,basi huyo amepata maisha!

Maisha. ni pamoja na kuwa na uhakika wa future yako!

Kitu pekee wanachofaidi hao wote,ni kule kusomesha watoto nje ya nchi.

Kwa kipato ni bora mnyamaze maana hamyajui wayapitiayo huko!
SASA bongoland mlitaka kuwakafini ndio future wangeipata acha unyenye buda
 
I
Uliyoyaandika ni madogo.

Nenda mji wa Pemba nchini Msumbiji uone wafanyabiashara Watanzania walivyo wengi, walioukimbia utawala wa mkono wa chuma.

Nilifika Pemba mara 2 na kukutana na baadhi ya Wafanyabiashara wa kitanzania, wanaongea wazi kabisa kuwa wanamshukuru Magufuli. Maana kama kungekuwa na uongozi mzuri, wasingefikiria kabisa kuondoka nchini Tanzania. Waliondoka kukimbia manyanyaso, lakini sasa wamepata mafanikio makubwa ambayo hawakuwahi kufikiria. Nchini Msumbiji kwa sasa, makampuni yote ya mabasi ya safari ndefu ndani ya nchi yanamilikiwa na Watanzania. Nenda kwenye miji kama Mueda, wamejaa wafanyabiashara wa Tanzania.

Nenda Zambia. Leo kampuni ya Meru ndiyo inayoongoza kwa vituo vingi vizuri kuliko kampuni yoyote nchini humo. Manji naambiwa (sijahakikisha kama ni kweli), mpaka amehamishia makao ya kampuni zake huko Lusaka.

Hapo Burundi tu, BAKHRESA, ameweka kiwanda kikubwa na cha kisasa ambacho huwezi kulinganisha na vilivyopo Tanzania. Halafu kajenga kikubwa zaidi kuliko vyote Afrika Kusini. Huku akipeleka biashara zake Mauritius.

Nchini Msumbiji, pale Nampula, Mo kajenga kiwanda kikubwa cha kisasa cha cemenf. Wakati nimeenda pale kilikuwa kimekamilika, na wakati huo alikuwa ameombwa akajenge kingine Maputo.

Wengine walienda kuwekeza Kenya. Kwa mara ya kwanza, wakati wa utawala wa Magufuli, Watanzania ndiyo walienda kuwekeza Kenya kuliko kipindi chochote.

Wakati wa utawala wa marehemu, mara 4, nilialikwa na Serikali za mataifa manne tofauti ya Afrika, yote yakiniomba nisaidie kuwapeleka wawekezaji wa kigeni nchini mwao. Hao ni wale waliokuwepo Tanzania, na wameamua kuonfoka chini. Mara moja, Waziri wa nchi mojawapo, neno la kwanza nilipokutana naye (sikuwa namfahamu, na sikuwahi kukutana naye kabla) aliniambia, nasikia nkchini kwenu kumeharibika, wawekezaji wa kigeni wanaondoka, sisi tunawahitaji sana hao, tuletee, mazingira yetu ni mazuri sana, na hawatajutia kuwekeza hapa.

Lakini katika mataifa yote, nchi iliyonufaika zaidi na mazingira mabaya ya uwekezaji wakati wa awamu ya 5, ni Msumbiji. Wengi walienda huko, tena wawekezaji wa mitaji ya kati. Wawekezaji wakubwa wa kimataifa, hasa kwenye sekta ya madini, wao walienda zaidi West Afrika, na wengine America ya Kusini.


Watu wanatakiwa wafahamu kuwa, hata katika ubaya, mema yanaweza kumea. Kukitokea changamoto, pambana kupata majibu sahihi kuliko kubakia ukilalamika bila ya kuchukua hatua. Baadhi ya waliondoka nchini na kwenda kuwekeza nje, wengine hata leo uwaambie warudishe biashara zao nchini, hawawezi kukubali kutokana na mafanikio wanayoyapata huko ugenini. Hii ndiyo tafsiri ya ile methali ya Kiswahili: BANIANI MBAYA, KIATU CHAKE DAWA. Maana yake ni kwamba hakuna kilicho kibaya kimakosa uzuri.
I never thought our competitive well abled business people fled our country to this scale because of that barbaric man doh 🥺🥺🥺🥺🥺🥺😳😤😤😤😤😤
 
@Ba
Uliyoyaandika ni madogo.

Nenda mji wa Pemba nchini Msumbiji uone wafanyabiashara Watanzania walivyo wengi, walioukimbia utawala wa mkono wa chuma.

Nilifika Pemba mara 2 na kukutana na baadhi ya Wafanyabiashara wa kitanzania, wanaongea wazi kabisa kuwa wanamshukuru Magufuli. Maana kama kungekuwa na uongozi mzuri, wasingefikiria kabisa kuondoka nchini Tanzania. Waliondoka kukimbia manyanyaso, lakini sasa wamepata mafanikio makubwa ambayo hawakuwahi kufikiria. Nchini Msumbiji kwa sasa, makampuni yote ya mabasi ya safari ndefu ndani ya nchi yanamilikiwa na Watanzania. Nenda kwenye miji kama Mueda, wamejaa wafanyabiashara wa Tanzania.

Nenda Zambia. Leo kampuni ya Meru ndiyo inayoongoza kwa vituo vingi vizuri kuliko kampuni yoyote nchini humo. Manji naambiwa (sijahakikisha kama ni kweli), mpaka amehamishia makao ya kampuni zake huko Lusaka.

Hapo Burundi tu, BAKHRESA, ameweka kiwanda kikubwa na cha kisasa ambacho huwezi kulinganisha na vilivyopo Tanzania. Halafu kajenga kikubwa zaidi kuliko vyote Afrika Kusini. Huku akipeleka biashara zake Mauritius.

Nchini Msumbiji, pale Nampula, Mo kajenga kiwanda kikubwa cha kisasa cha cemenf. Wakati nimeenda pale kilikuwa kimekamilika, na wakati huo alikuwa ameombwa akajenge kingine Maputo.

Wengine walienda kuwekeza Kenya. Kwa mara ya kwanza, wakati wa utawala wa Magufuli, Watanzania ndiyo walienda kuwekeza Kenya kuliko kipindi chochote.

Wakati wa utawala wa marehemu, mara 4, nilialikwa na Serikali za mataifa manne tofauti ya Afrika, yote yakiniomba nisaidie kuwapeleka wawekezaji wa kigeni nchini mwao. Hao ni wale waliokuwepo Tanzania, na wameamua kuonfoka chini. Mara moja, Waziri wa nchi mojawapo, neno la kwanza nilipokutana naye (sikuwa namfahamu, na sikuwahi kukutana naye kabla) aliniambia, nasikia nkchini kwenu kumeharibika, wawekezaji wa kigeni wanaondoka, sisi tunawahitaji sana hao, tuletee, mazingira yetu ni mazuri sana, na hawatajutia kuwekeza hapa.

Lakini katika mataifa yote, nchi iliyonufaika zaidi na mazingira mabaya ya uwekezaji wakati wa awamu ya 5, ni Msumbiji. Wengi walienda huko, tena wawekezaji wa mitaji ya kati. Wawekezaji wakubwa wa kimataifa, hasa kwenye sekta ya madini, wao walienda zaidi West Afrika, na wengine America ya Kusini.


Watu wanatakiwa wafahamu kuwa, hata katika ubaya, mema yanaweza kumea. Kukitokea changamoto, pambana kupata majibu sahihi kuliko kubakia ukilalamika bila ya kuchukua hatua. Baadhi ya waliondoka nchini na kwenda kuwekeza nje, wengine hata leo uwaambie warudishe biashara zao nchini, hawawezi kukubali kutokana na mafanikio wanayoyapata huko ugenini. Hii ndiyo tafsiri ya ile methali ya Kiswahili: BANIANI MBAYA, KIATU CHAKE DAWA. Maana yake ni kwamba hakuna kilicho kibaya kimakosa uzuri.
Bams you nourished my post and justified what others thought am jocking because of street swahili I have used !!!!
 
Back
Top Bottom