Manusura wa utawala wa awamu ya tano waliokimbilia nje wote ni kama Mwenyezi Mungu amewabariki

Manusura wa utawala wa awamu ya tano waliokimbilia nje wote ni kama Mwenyezi Mungu amewabariki

Wacha ufala!

Kuwin maisha,angetutajia labda wamepata post za kazi na sasa ni waajiriwa huko!

Au atuambie wanafanya biashara baada ya kukopeshwa pesa huko!

Yeye nadharia yake ni kuwa kila anayeshi nje,basi huyo amepata maisha!

Maisha. ni pamoja na kuwa na uhakika wa future yako!

Kitu pekee wanachofaidi hao wote,ni kule kusomesha watoto nje ya nchi.

Kwa kipato ni bora mnyamaze maana hamyajui wayapitiayo huko!
Mfano mmoja ni aliyekuwa dereva wa Lissu amesoma mechanical engineering na sasa ana permanent employment inayomlipa vizuri tofauti na maisha aliyokuwa akiishi huku bosi wake akiwindwa na wauaji ambapo hata yeye usalama wake ulikuwa hatari.
-Kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.
 
Andika vitu ulivyo na uhakika, usidanganye watu.

Ni kweli Lisu, Lema na Ngurumo, mwanzoni waliishi kwa kutegemea posho ya ukimbizi. Lakini baadaye, wote walianza kufanya kazi. Mpaka sasa wanaishi kwa kutegemea kazi. Na hata kurudi inakuwa ni mtihani maana huko wanafanya kazi, watakapofika hapa itabidi waanze maisha upya kufikiria watafanya kazi gani kujipatia kipato, na wapi.

Fikiria hata yule marehemu, binti yake mzee Malechela, alidhalilishwa na kufukuzwa kazi na marehemu Magufuli lakini Mumgu alimbariki, akapata ajira nzuri zaidi. Ni bahati mbaya tu Mungu, kwa mapenzi yake alimchukua.

Funzo ni kwamba, mwanadamu anaweza kukuharibia kwa muda fulani, lakini hawezi kuteketeza mafanikio yako.
Ebu nitajie kazi rasmi ya Lissu huko Ubelgiji!

Tunaona Ngurumo akiwa na hiyo blogu yake!

Je!
Lissu anafanya kazi gani,tofauti na kutuambia aliandika kitabu!

Ila kopi ya kitabu chake hatuioni akitembea nayo kuinadi nchini.

Lissu muda mwingi anafanya michongo ya kukamat8sha mali za serikali nje ya nchi.

Zaidi ya hiyo ni ile mikutano ya LBGT anayoihudhuria kwa wingi Uingereza.

Hata sasa kapewa mualiko.

Nyie endeleeni kudanganyana huko Ufipa.
 
Ponguza upumbavu,ili uwe muelewa!

Sio kila anaeishi Ughaibuni basi ni amefanikiwa!

Huko nako kuna mitaa ya mabanda!

Bahati mbaya Ufipa,akili mnashikiwa na Mnyika!

Hao wote uliowataja,kule waliko wanaishi kwa kupewa Posho!

Na Lissu anaishi kwa kuifitinisha serikali ya Tanzania na mabeberu yake!...
kina Robert Amsterdam!

Muwe mnafikiria kwa kichwa sio ma*alio.

Serikali hii inafitinishwa na nani wakati kila siku iko huko huko inakopa?
 
Mama yangu tawala kwà akili usiwape tena watu mwanya kwenda mambele kiraisrais utakuwa umewapaisha maana Mungu atawainua sasa wewe usipambane na Mungu kwà kumtesea viumbe wake. We wape maji mazahanati malami kichedede maumeee na ma WiFi mpaka matombo huko ndanindani uone kama mola wako hatakubariki kama mama Helen Johnson Sirlif.
Umeandika kimzaha (satire) ila umepiga point za nguvu sana
 
Huwezi amini fadhili za Bwana ni za milele. Manusura wote wa mkono wa chuma wa awamu ya tano waliokimbilia nje ya nchi kuokoa roho zao Mungu hakuwatindikia wao na familia zao.

1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.

2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.

3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.

4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.

Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.
Eti USA kwa juu😂
 
Uliyoyaandika ni madogo.

Nenda mji wa Pemba nchini Msumbiji uone wafanyabiashara Watanzania walivyo wengi, walioukimbia utawala wa mkono wa chuma.

Nilifika Pemba mara 2 na kukutana na baadhi ya Wafanyabiashara wa kitanzania, wanaongea wazi kabisa kuwa wanamshukuru Magufuli. Maana kama kungekuwa na uongozi mzuri, wasingefikiria kabisa kuondoka nchini Tanzania. Waliondoka kukimbia manyanyaso, lakini sasa wamepata mafanikio makubwa ambayo hawakuwahi kufikiria. Nchini Msumbiji kwa sasa, makampuni yote ya mabasi ya safari ndefu ndani ya nchi yanamilikiwa na Watanzania. Nenda kwenye miji kama Mueda, wamejaa wafanyabiashara wa Tanzania.

Nenda Zambia. Leo kampuni ya Meru ndiyo inayoongoza kwa vituo vingi vizuri kuliko kampuni yoyote nchini humo. Manji naambiwa (sijahakikisha kama ni kweli), mpaka amehamishia makao ya kampuni zake huko Lusaka.

Hapo Burundi tu, BAKHRESA, ameweka kiwanda kikubwa na cha kisasa ambacho huwezi kulinganisha na vilivyopo Tanzania. Halafu kajenga kikubwa zaidi kuliko vyote Afrika Kusini. Huku akipeleka biashara zake Mauritius.

Nchini Msumbiji, pale Nampula, Mo kajenga kiwanda kikubwa cha kisasa cha cemenf. Wakati nimeenda pale kilikuwa kimekamilika, na wakati huo alikuwa ameombwa akajenge kingine Maputo.

Wengine walienda kuwekeza Kenya. Kwa mara ya kwanza, wakati wa utawala wa Magufuli, Watanzania ndiyo walienda kuwekeza Kenya kuliko kipindi chochote.

Wakati wa utawala wa marehemu, mara 4, nilialikwa na Serikali za mataifa manne tofauti ya Afrika, yote yakiniomba nisaidie kuwapeleka wawekezaji wa kigeni nchini mwao. Hao ni wale waliokuwepo Tanzania, na wameamua kuonfoka chini. Mara moja, Waziri wa nchi mojawapo, neno la kwanza nilipokutana naye (sikuwa namfahamu, na sikuwahi kukutana naye kabla) aliniambia, nasikia nkchini kwenu kumeharibika, wawekezaji wa kigeni wanaondoka, sisi tunawahitaji sana hao, tuletee, mazingira yetu ni mazuri sana, na hawatajutia kuwekeza hapa.

Lakini katika mataifa yote, nchi iliyonufaika zaidi na mazingira mabaya ya uwekezaji wakati wa awamu ya 5, ni Msumbiji. Wengi walienda huko, tena wawekezaji wa mitaji ya kati. Wawekezaji wakubwa wa kimataifa, hasa kwenye sekta ya madini, wao walienda zaidi West Afrika, na wengine America ya Kusini.


Watu wanatakiwa wafahamu kuwa, hata katika ubaya, mema yanaweza kumea. Kukitokea changamoto, pambana kupata majibu sahihi kuliko kubakia ukilalamika bila ya kuchukua hatua. Baadhi ya waliondoka nchini na kwenda kuwekeza nje, wengine hata leo uwaambie warudishe biashara zao nchini, hawawezi kukubali kutokana na mafanikio wanayoyapata huko ugenini. Hii ndiyo tafsiri ya ile methali ya Kiswahili: BANIANI MBAYA, KIATU CHAKE DAWA. Maana yake ni kwamba hakuna kilicho kibaya kimakosa uzuri.
Hao uliowataja ni wachache, kwa ujumla unyanyasaji wa Jiwe ulihamisha wafanya biashara wengi sana kuanzia transporters, retailers mpaka wenye viwanda.
Kipindi cha Jiwe ilikuwa transporters wakinunua trucks zinakuwa registered nchi za jirani, kule border ya Tunduma wote walikimbilia kufungua maduka on the other side of the border sasa ndiyo imekuwa wanamiliki maduka pande zote mbili jambo ambalo ni loss kwa TRA kwani sasa kuna Wakongo, Wazimbabwe na Wazambia wenyewe ambao huduma zao wanazipata Nakonde(Zambian side of the border) badala ya Tunduma.
Kuna makampuni ya transportation ambayo yalifungua ofisi Lubumbashi, sasa yamewezesha mizigo inashuka Beira badala ya D'Salaam, Jiwe alikuwa anaua nchi ndiyo maana alikuwa anapora wafanyabiashara kwa mabavu. He was literally killing the private sector deliberately.
Hata Malawi Meru ndiyo inaongoza kwa sasa.
 
Mama yangu tawala kwà akili usiwape tena watu mwanya kwenda mambele kiraisrais utakuwa umewapaisha maana Mungu atawainua sasa wewe usipambane na Mungu kwà kumtesea viumbe wake. We wape maji mazahanati malami kichedede maumeee na ma WiFi mpaka matombo huko ndanindani uone kama mola wako hatakubariki kama mama Helen Johnson Sirlif.
Ongeza na Dr slaa
 
Ebu nitajie kazi rasmi ya Lissu huko Ubelgiji!

Tunaona Ngurumo akiwa na hiyo blogu yake!

Je!
Lissu anafanya kazi gani,tofauti na kutuambia aliandika kitabu!

Ila kopi ya kitabu chake hatuioni akitembea nayo kuinadi nchini.

Lissu muda mwingi anafanya michongo ya kukamat8sha mali za serikali nje ya nchi.

Zaidi ya hiyo ni ile mikutano ya LBGT anayoihudhuria kwa wingi Uingereza.

Hata sasa kapewa mualiko.

Nyie endeleeni kudanganyana huko Ufipa.

Weka ushahidi hapa wa huo mualiko sio kuleta utoto usio na kichwa wala miguu.
 
Hao uliowataja ni wachache, kwa ujumla unyanyasaji wa Jiwe ulihamisha wafanya biashara wengi sana kuanzia transporters, retailers mpaka wenye viwanda.
Kipindi cha Jiwe ilikuwa transporters wakinunua trucks zinakuwa registered nchi za jirani, kule border ya Tunduma wote walikimbilia kufungua maduka on the other side of the border sasa ndiyo imekuwa wanamiliki maduka pande zote mbili jambo ambalo ni loss kwa TRA kwani sasa kuna Wakongo, Wazimbabwe na Wazambia wenyewe ambao huduma zao wanazipata Nakonde(Zambian side of the border) badala ya Tunduma.
Kuna makampuni ya transportation ambayo yalifungua ofisi Lubumbashi, sasa yamewezesha mizigo inashuka Beira badala ya D'Salaam, Jiwe alikuwa anaua nchi ndiyo maana alikuwa anapora wafanyabiashara kwa mabavu. He was literally killing the private sector deliberately.
Hata Malawi Meru ndiyo inaongoza kwa sasa.
Asante, kwa ufafanuzi zaidi. Na yote uliyoyaandika ni ukweli mtupu.
 
Huwezi amini fadhili za Bwana ni za milele. Manusura wote wa mkono wa chuma wa awamu ya tano waliokimbilia nje ya nchi kuokoa roho zao Mungu hakuwatindikia wao na familia zao.

1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.

2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.

3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.

4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.

Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
 
Mtu mzima wa 40 + anafanikiwaje kwa kuwa mkimbizi. Kwani wewe Mafanikio unayatafsiri Vipi? Ukimbizi ni emergency situation. Lema naye alikimbia baada ya kushindwa ubunge. Msiwape watu hadhi wasizokuwa nazo.
Kwanza una chuki binafsi na Lema,pili Lema hakushindwa uchaguzi kwa sababu ule haukuwa uchaguzi bali uchafuzi ndani ya Tanzania huru.Nakukumbusha kuwa Yusufu mtoto wa Yakobo alipata utajiri ukimbizini Misri na akaokoa familia yake na nchi yake.Kukaa ukimbizini siyo ugonjwa au kosa la jinai bali ni kuhakikisha unaishi kwa amani na furaha tele kuliko sehemu uliyozaliwa yenye majanga lukuki na mikosi kibao.
 
Huwezi amini fadhili za Bwana ni za milele. Manusura wote wa mkono wa chuma wa awamu ya tano waliokimbilia nje ya nchi kuokoa roho zao Mungu hakuwatindikia wao na familia zao.

1. Tundu Antipas Mughway Lissu.
Anapanda mwewe daily mitoto iko USA unyamwezini. Yani lisu huyu kawa more international sio kama yule wa 2017 kurudi nyuma lissu yule alikuwa lissu local huyu wa sasa ni Lissu international. Ama kweli kumpiga chura teke ni kumuongezea mwendo.

2. Roma Mkatoliki.
Yuko mambele ma USA huko sio roma yule tena wa simba na yanga jukwaani huyu ni roma mnyamwenga Roma wa ulimwengu wa kwanza sio yule roma wa kuvunja nazi mkata msata mpaka kubwaga manyanga.

3. Mbunge God bless Lema
Kutoka kuwa mu arachuga mpaka kuwa mcanada yani USA kwà juu mtu wa kuishi ma otawa ubaridini daaah kweli Muache Mungu aitwe Mungu.

4. Ansbert Ngurumo.
Mwamba yuko Mahelsinki finland ukitaka paite ufini au ufinidini maubaridini huko anakula ma rain deer ya kuchoma na ma barbeque ya ajabu full mamikaa ya mbele mamikaa yenye kaboni og daah walahi awamu ya tano ilibugi sana.

Kiufupi miamba yote imeongezeka maexposure maconection na watu wa mambele maneeeeener.!!!
Mungu pekee anajua hatma yako usimuogope mwanadamu.
Mkuu hawa siasa zao za sasa ndio wameiua chadema rohoni, siasa za kwenye youtube bado sana kwa nchi kama Tz, sasa unaona Tundu Lissu kaja ata wiki 2 bado anarudi ulaya eti kaitwa na madaktari
 
Kiuhalisia ule utawala ulikuwa wa kilaghai na wa kufifisha akili za watu.

Yaani alianzisha sera mbaya za kiuchumi, za kuwafukarisha watu, za kuwafanya watu wakose ajira za uhakika, halafu wakiwa mafukara, wanatanga tanga mitaani, amefanikiwa kuwafanya wanyonge, halafu anasema anawapenda, watembeze vitu vyao mitaani na wengine wapange mitumba barabarani.

Ni sawa na mtu anakukata miguu, halafu umekuwa mlemavu anasema anakupenda sana, wewe upo huru kukaa popote uwe unaomba.
Hatari sana,Mungu amekata mzizi wa fitina.
 
Back
Top Bottom