Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Basi kwa mtindo huu primary shools zote zigeuzwe na kuwa magereza. Kwani lazima kumpenda hata kama alikuwa.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakua mpenzi wa kila mtu. Alisitisha ujenzi wa nyumba za council kwakua ndiyo lilikua kimbilio la weusi wahamiaji. Matokeo yake idadi ya wazungu wanao lala barabarani iliongezeka.Iron lady.
Mungu anaipenda sana Tanzania katuepushia mengi!Korea kaskazini walifanya kitu kama hiki alipokufa Kim jong li ambaye ni baba wa Kim jong un rais wa sasa, walikua wanaangalia wananchi waliojipanga pembeni ya barabara wakati maiti inapita kama hutoi machozi unakamatwa.
Mungu anaipenda sana Tanzania katuepushia mengi!
😂 😂 😂 😂Watashika watu wangapi? Huku kwetu mtaa mzima ni vifijo na nderemo tupu tangu juzi.
Kipindi hiki TBL watauza aisee!!
Ila wanadamu siye hata km mtu humpendi unashangilia ili iweje?!!!yaani wanadamu bwanaa!!!roho mbaya tu!mfyuu zenu!!!
Hapa kwetu mpaka nyumba zenye bendera ya ccm na wanajeshi wastaafu wameweka kijiwe cha bia tangu juzi hawalali, sijaua kwa nini lakini tunahitaji sana busara kipindi hiki ili kuponya vidonda na chuki kwenye mioyo ya watuWatashika watu wangapi? Huku kwetu mtaa mzima ni vifijo na nderemo tupu tangu juzi.
Kipindi hiki TBL watauza aisee!!
Mtaa upi huo nduguyangu hata huhisi aibu?Watashika watu wangapi? Huku kwetu mtaa mzima ni vifijo na nderemo tupu tangu juzi.
Kipindi hiki TBL watauza aisee!!
acha ufala alif chuki haipandikizwi inakuja automatically tu usiwasingizie watu jiwe alipandikiza chuki mwenyewe kwa mioyo ya watu vikaragosi wake kama wewe hapo mlikua na double standard za wazi wazi kitu kilichowatia hasira baadhi ya wa wapenda haki wa hii nchi !Alafu sasa wakiulizwa kwanini wanashangalia, majibu Yao yanaweza kukuacha hoi kwa ujinga waliopandikizwa na walabata wa ulaya.
hata magufuli naye alikuwa na roho mbaya pia kuliko hao wanaoshangilia kifo chakeIla wanadamu siye hata km mtu humpendi unashangilia ili iweje?!!!yaani wanadamu bwanaa!!!roho mbaya tu!mfyuu zenu!!!
katufikisha pabaya sana bora amekufa huko mbele yangetokea machafuko makubwaHaaahaaahaa waje na huko hao jamaa
Watu wanapiga bia na kejeri za kuzidi kwa kiongozi wa malaika,ila watu walivulugwa kwenye utawala wake aisee hii chuki wanayoionesha kama taifa tulifika kubaya sana aisee sijawahi experience before!
waacheni chadema wateme nyongo.aliyetufikisha hapa ameshakufa so no problemChuki ndo kwanza inaongezeka kwa kufanya hayo mambo