Manyara: 8 mbaroni kwa kushangilia kifo cha Magufuli

Manyara: 8 mbaroni kwa kushangilia kifo cha Magufuli

Yani Hapa kuna jamboo litakujaa mnaweza semaa Hivi Mama Samia roho mbaya hii kaitoa wapi???? Lakini kitu ninachoweza kuwaambia watu Ufisadi kurudi na wizi wa mali za watanzania ni rahisi sana kuliko Kuondoa sheria kandamizi za Habari na Uhuru wa kutoa maoni... Watu wataumia sanaa tu maana Nchi ipo chini ya CCM na Kwa bongo Rais pekee alieweza kufanya mambo kinyume na matakwa na akili za CCM ni Magufulu tu waliobaki hawa Hawana la kusema against maamuzi ya CCM kabisa.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Tunafurahi kwa Mama kuwa Madam President, haijalishi ni CCM au...
Lakini akianzaa na yeye tutamsema tu na tutamchukia pia........
Mbona hatuna chuki na Mwinyi, Mkapa au Kikwete, kumbuka nimesema "chuki", japo hata wao utendaji wao ulikuwa una matatizo.
 
Hawa nao walishangilia..wenzao walipopata matatizo
Ila wanadamu siye hata km mtu humpendi unashangilia ili iweje?!!!yaani wanadamu bwanaa!!!roho mbaya tu!mfyuu zenu!!!
20210320_151003.jpg
 
Hatari
 

Attachments

  • Screenshot_20210320-145255.png
    Screenshot_20210320-145255.png
    47.7 KB · Views: 2
Kama Mungu angeyaficha maovu ya mitume mfano paul au manabii tusingekua na cha kujifunza, hata leo uzuri au ubaya wa mtu unapaswa kujulikana ili watu tujifunze.
Ashukuriwe Mungu wa mbinguni kwa kuwa hakuwafcha manabii au wafalme maovu yao ili sisi tupate kupona.
AMINA.
 
Hakua mpenzi wa kila mtu. Alisitisha ujenzi wa nyumba za council kwakua ndiyo lilikua kimbilio la weusi wahamiaji. Matokeo yake idadi ya wazungu wanao lala barabarani iliongezeka.

Weusi hatulali barabarani, hata kwa Mseralione atakuweka sebuleni mpaka ukae sawa.
Weee alikuwa hapendi weusi eeh?
 
Wakazi 8 wa Mererani Wilaya Simanjiro wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Manyara kwa kosa la kukejeli na kushangilia kifo cha Rais John Magufuli.

Rais John Magufuli amefariki Machi 17 kwa matatizo ya moyo na atazikwa Machi 26, Chato, Mkoani Geita. Taifa lipo katika maombolezo ya siku 21, huku bendera zikipepea nusu mlingoti.
Hao wangewatenganishia shingo na vichwa tu mambo mengine yaendelee! Si kwa kiwango cha kukosa uzalendo wa level hiyo! Wanaachiwa vichwa kwa faida ya nani!
 
Watz wamekuwa watu wa kuropoka tu. Endeleenj, mtavuna mnachopanda.
 
Ila wanadamu siye hata km mtu humpendi unashangilia ili iweje?!!!yaani wanadamu bwanaa!!!roho mbaya tu!mfyuu zenu!!!
watu hawawezi kuwa na roho mbaya bila sababu, jiulize hilo ukipata Jibu rudi tena hapa
 
Back
Top Bottom