Ila Da' Scola ni kazuri au wewe unaonaje? hebu angalia hata kamkorogo kake kamekaa strategicallyMkewe kashazalishwa!mie niko upande wa mke!hizo wigi za 9000!kama kaweka moto!
Ila wanaume!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Da' Scola ni kazuri au wewe unaonaje? hebu angalia hata kamkorogo kake kamekaa strategicallyMkewe kashazalishwa!mie niko upande wa mke!hizo wigi za 9000!kama kaweka moto!
Ila wanaume!!!!
Ila Da' Scola ni kazuri au wewe unaonaje? hebu angalia hata kamkorogo kake kamekaa strategically
Mie hata hati za nyumba zangu zinasoma majina yangu! sitaki upuuzi mie!Mimi wimbo wangu wa kila siku jamani wanawake badilikeni...mnakuja nyanyasika mshakuwa watu wazima kama huyu mama!tafuteni hela zenu!
Pole sana mama!!
Coaster2015 umeona mnavyofanya biashara za familia??
Mie hata hati za nyumba zangu zinasoma majina yangu! sitaki upuuzi mie!
Mkewe kashazalishwa!mie niko upande wa mke!hizo wigi za 9000!kama kaweka moto!
Ila wanaume!!!!
Si ndo hapo!Hata Scola atakuwa bibi ni swala la mda tu
Sijui kama nitakuwa nakosea kumsifia mwanamke mwenzangu! Scola ni "chombo" kuliko Philomena
Sijui kama nitakuwa nakosea kumsifia mwanamke mwenzangu! Scola ni "chombo" kuliko Philomena
Tatizo hana elimu na kule Dodoma HQ breki P mzee lazima atafute mnatoNa ww mama kubwa mnafungua kampuni kwan ww ulishindwa kuwa finance manager🤣🤣!asee(in nyaki voice)
Kwani tatizo nini hasa? Kipigo? Jamaa kuwa na mke mwingine? Taasisi ya familia? Matumizi makubwa ya kampuni? Wivu wa kimapenzi?