Manyara: DC mstaafu amshushia kipigo mkewe, nyumba ndogo yatajwa kuwa chanzo

Manyara: DC mstaafu amshushia kipigo mkewe, nyumba ndogo yatajwa kuwa chanzo

Halafu utakuta mtu anafanya dhambi nyingine nyingi tu ikifika ya kuachana ili aepushe uhai wake anadai kusubiria mpaka kifo kiwatenganishe,kama unasubiria kifo kiwatenganishe tulia usiwe mkali kugombania hizo mali,kwani hapo ndipo panapotokea matatizo ya kuambulia vipigo,tumeumbwa na akili timamu,ndoa hiyo kwa hapo ilipofikia inaonekana kabisa ni mahali pa hatari kwa upande wake, lakini bado unang'angania na kulalamika...
Kiukweli, ndoa imefika katika kuvunjwa tu kisheria. Kuvumilia ni kujitakia makubwa na ya kutisha zaidi. Awahi akiwa mwenye akili timamu na mwenye nguvu. Mateso hayazoeleki!
 
Ndio kuiga tamaduni za kimagharibi mara send-off, oh engagement na masherehe kibaoo,,end of the day maugomvi na kuachana juuuuu🤣🤣🤣🤣
 
Yaani nikisikia na kuona jitu zima linafanya ujinga huu huwa akasirika sana! Sasa umri wote huo unakimbizana na michepuko vibinti si utatelekeza ndoa wewe?

Mbona mama wa ndoa anaonekana yuko poa sana! Nami sasa nahangaika na li kijana linataka kuvuruga ndoa ya lenyewe kisa mamake analijaza ujinga! Limeshindwa kuelewa wamama huwa wanaumia sana vijana wao wakioa!
 
Yaani nikisikia na kuona jitu zima linafanya ujinga huu huwa akasirika sana! Sasa umri wote huo unakimbizana na michepuko vibinti si utatelekeza ndoa wewe? Mbona mama wa ndoa anaonekana yuko poa sana! Nami sasa nahangaika na li kijana linataka kuvuruga ndoa ya lenyewe kisa mamake analijaza ujinga! Limeshindwa kuelewa wamama huwa wanaumia sana vijana wao wakioa!!
Wanaumia kiaje?

Mbona wao pia wameolewa? Hiyo kijana naye ni hamnazo tu.. ... Nyoosha hiyo mamaake kwanza@!

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Mzee kanogewa kapagawishwa na mwingine.

Ila hapo bora huyo mke achukue zake tu.

Maana akizidi kungangania atakutana na kubwa kuliko

Ova
 
Mama kazingua ila sawa bora apigwe tu maana akikumbuka kile kimjusi cha kimasai anasahau yooote anaendelea kuwa mhanga anarudi tena home
 
Huyu mwanamke anachong'ang'ania nini....kifo au kilema?

Huyu DC ametukosea WANAUME kabisa........moja ya kanuni kuu ya kuchepuka.....ni....mchepuko kumuheshimu MKE MKUU....,, nje ya hapo hata huagwi.....
 
Hii taarifa nishawahi Iona hapa kana miaka miwili hivi imepita au ni kipigo kipya hiki,

Huyu jamaa nae bure kabisa.
 
huyu mwanamke anachong'ang'ania nini....kifo au kilema????
huyu DC ametukosea WANAUME kabisa........moja ya kanuni kuu ya kuchepuka.....ni....mchepuko kumuheshimu MKE MKUU....,, nje ya hapo hata huagwi.....
Inaelekea dc mstaafu hamtaki lakini huyo mwanamke bado kinganganizi,anatafuta balaa zaidi tu

Ova
 
Wanaumia kiaje?

Mbona wao pia wameolewa? Hiyo kijana naye ni hamnazo tu.. ... Nyoosha hiyo mamaake kwanza@!

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Huwa wanaumia kwa sababu huwa wanajua sasa visenti walivyozoea vinaenda kukata! Ndiyo maana unakuta visa vingi wamama wengi huwa hawapatani na wakwe zao! Yaani huyu mwamba kila mtu anamshangaa jinsi alivyo hamnazo!!
 
Back
Top Bottom