Manyara: Mama aua watoto 3 kwa kuwalisha sumu kutokana na ugomvi wa kifamilia na mume wake

Hasira iliyopitiliza uamabatana na roho ya shetani

Kwa mwanaume haikai mda mrefu
kwa mwanamke uchukua mda mrefu

Tiba yake ya halaka ukiwa na hasira kali ni kulaa usingizi na usifanye maamuzi siku hiyo
 
Aisee..kiasi mpaka nafikiria watoto wangu ndivyo waivyo kama hawa,hapa sheria haihitaji uchunguzi, huyu nae ni afadhari wampoteze tu maana mnyama asiye faa hata kukaa jela kutumia gharama za wengine kwa kula chakula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…