Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Serikali ambayo inahamasisha ufisadi bila aibu tena kupitia TV ya Taifa haiwezi kuona janga lolote lile katika nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu toa pendekezo au Ushauri nini kifanyike.Hali ya ukame inayoendelea Baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Manyara inatisha !HaI Sasa Simanjiro pekee ng'ombe 35,000 + wamekufa,mbuzi 10,000,kondoo 15,000 !
Hili ni janga!
Hivi Serikali imekosa mbinu za kuwaokoa wanyama Hawa!
Ipeleke maji toka ziwa victoriaSerekali ifanyej sasa
Hilo ndilo kosa lao wanafarijika wanapoona msururu wa Mifugo hawajui kwamba inahitaji hudumaMmasai yupo radhi ng'ombe afe sio kuchinja au kuuza
Mkuu; Umesema Serikali ifanyeje??? Hao ng'ombe wanaishi kwa maji tu??? Hebu nikuulize itachukua siku ngapi Serikali kupeleka maji toka ziwa victoria na ng'ombe ataweza kuchukua siku ngapi kuyasubiri hayo maji kabla hajafa ?? - Naona kama pendekezo lako sio la sasa hivi kwa Tatizo lililopo sasa hivi.Ipeleke maji toka ziwa victoria
Miti Miti tujenge utamaduni wa kupanda miti iwe ni mpango endelevu Simanjiro ipo kma jagwa sasa hv
Halafu maji ya kumwagilia hiyo miti lakimoja Kila Kijiji utapeleka wewe?Serkali iweke mipango mahususi kila kijiji kila mtaa kwa mwaka walau kila kijiji kipande miti laki moja la sivyo tutakuwa km somalia
Maji ni mpango wa kudumu au ichimbe visima KILA kijiji kunusuru watu na mifugoMkuu; Umesema Serikali ifanyeje??? Hao ng'ombe wanaishi kwa maji tu??? Hebu nikuulize itachukua siku ngapi Serikali kupeleka maji toka ziwa victoria na ng'ombe ataweza kuchukua siku ngapi kuyasubiri hayo maji kabla hajafa ?? - Naona kama pendekezo lako sio la sasa hivi kwa Tatizo lililopo sasa hivi.
Ni kweli Mkuu. Hawapo tayari kuuza baadhi ya mifugo na kujiwekea akiba Benk au kuanzisha mradi, kuwekeza katika shughuli nyingine ya kiuchumi. Wao na Ng'ombe wao basi.kabisa na wana umasikini wa kujitakia
Kweli, hata mimi nawahurumia ila nazihurumia ng'ombe zaidi kwani mmiliki wake (mfugaji) hakukumbuka kuchukua tahadhari wakati kulipokuwa na majani mengi kuyavuna bure na akajiwekea akiba kama inavyokuwa akiba ya chakula kwa binadamu.hata nikitoa pendekezo halitofanyiwa kazi maana sio kipaumbele chao kwa sasa wamasai nawapa pole tu wakomae hivyo hivyo
kwa gunia hizo shida ipo hapoNi kweli Mkuu. Hawapo tayari kuuza baadhi ya mifugo na kujiwekea akiba Benk au kuanzisha mradi, kuwekeza katika shughuli nyingine ya kiuchumi. Wao na Ng'ombe wao basi. Hawana Utofauti na Mkulima anayewaza shamba kubwa (Ekari nyingi)na mavuno mengi (magunia mengi) lakini haangalii gharama ya uzalishaji (in-put) versus mavuno (Out-put) - analima kwa mazoea. Wakulima wengi huku kwetu kwa wastani wanapata mavuno (Mahindi) gunia 4@ kg 90-100 kwa ekari moja na hawaoni ni shida!
duh hatari sana mvua tu inyeshe la sivyo wafugaji watapata stressKweli, hata mimi nawahurumia ila nazihurumia ng'ombe zaidi kwani mmiliki wake (mfugaji) hakukumbuka kuchukua tahadhari wakati kulipokuwa na majani mengi kuyavuna bure na akajiwekea akiba kama inavyokuwa akiba ya chakula kwa binadamu.
Alisahau kwamba sio kila siku ni Ijumaa.
NB: Nimetumia neno Wafugaji kwani huku kwetu wapo Wamasai, Warangi, Wagogo, Wakaguru, Wambulu/Wairaqi na Wanguu na wote hao wanafuga na kwa sasa wote wanaathirika na Hali iliyopo. Mungu ni mwema Habagui.
Lakini mkuu ukizingatia Utunzaji wa miundo mbinu hii katika Jamii lengwa utakata tamaa. Yaani inakuwa kama hawaithamini vile....... Wao wanataka malambo ili ng'ombe waingie humo wanywe, Binadamu aingie humo aoge, afue na achote maji hayo hayo kwa matumizi ya nyumbani. Kwa hiyo usishangae kisima kirefu (Bore-hole) kikahujumiwa kwa kujazwa mawe,kokoto, miti n.k. au mabomba ya usambazaji yakakatwa kwa sime/panga au kuchomwa kwa mkuki ili maji yatiririke ngombe wanywe.kabisa