Manyara: Simanjiro walia kwa uhaba wa mvua, mifugo 62,500 imekufa

Manyara: Simanjiro walia kwa uhaba wa mvua, mifugo 62,500 imekufa

NAOMBA SERIKALI INIKOPESHE MILIONI 500 , wa nope ardhi hekari 1000! Nikomeshe hii njaa na vifo vya mifugo!
Nikama utani lakini mtastaajabu
tupe plan yako ya hiyo hela
 
Wamasai wapo nyuma Sana kielimu mamlaka ya utabiri wa Hali ya hewa walishatoa taadhari hivyo sikutegemea mifugo itakufa mingi kiasi hichi
mmasai anataka awe na ng'ombe nyingi ili akitaka binti yoyote kigoli basi anampata bila shida na kumbuka hapo ni mwanaume wa umri wa kutosha tuu
 
Ukiona mpaka Punda anakata moto ujue hiyo mbungi si ya kitoto, Anyway niko chini ya mti hapa na joto inasoma 39c
 
Ukiona mpaka Punda anakata moto ujue hiyo mbungi si ya kitoto, Anyway niko chini ya mti hapa na joto inasoma 39c
punda ni mnyama mstahimilivu sana yule naye uzalendo umemshinda
 
Laana ya ccm.na viongozi wake inazidi kuitafuna nchi.

#MaendeleoHayanaChama
 
ni nini hiyo duh
Samahani sana Mkuu, nimekosea sikutoa kwanza onyo la picha inayokera. Naomba uniwie radhi. Hiyo ni matokeo ya machafuko kati ya Wafugaji na Wakulima Kiteto kama ulisikia 2016. Naomba radhi Mkuu.
 
Mwaka huu mvua nyingi zinanyesha mwanza tu,hahahhahhaahabhaa
 
Taifa maskini likikosa mvua ni majanga juu ya majanja
 
na vipi kuhusu majan ambayo ndiyo chakula
Hiyo ni ishu aisee wafundishwe kufuga kisasa ng'ombe wanaweza kuwahudumia hata kwa mapumba wakati kama huu. Sasa mtu unakuta ana ng'ombe 3000-5000 atawezaje kuwahudumia pumba??? Na wanakufa anaona heri wage hata kuuza hataki achilia kuchinja wale nyama.
 
Serekali ifanyej sasa
Ilete mvua mkuu. Hali mbaya sana watu hawajaanza kulima wakati saa hii watu wangekuwa wanavuna mazao ya mwanzo... Nasikia malaysia zipo mvua za kutengeeza,, tufuate wataalamu huko waje kutuletea mvua[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hiyo ni ishu aisee wafundishwe kufuga kisasa ng'ombe wanaweza kuwahudumia hata kwa mapumba wakati kama huu. Sasa mtu unakuta ana ng'ombe 3000-5000 atawezaje kuwahudumia pumba??? Na wanakufa anaona heri wage hata kuuza hataki achilia kuchinja wale nyama.
Tena aisee, Ushauri ulisha tolewa siku za nyuma kwamba wamiliki Ardhi (kimila au kiserikali) ili kuwe na matumizi endelevu ya Ardhi na Malisho. Huu utaratibu wa Umilikaji wa ardhi Huria(Communal Land Ownership) na Kuhama-hama utawatesa sana kwani anayewahi ndiye analisha mifugo ndiye anayekaa/jenga boma.
 
Samahani sana Mkuu, nimekosea sikutoa kwanza onyo la picha inayokera. Naomba uniwie radhi. Hiyo ni matokeo ya machafuko kati ya Wafugaji na Wakulima Kiteto kama ulisikia 2016. Naomba radhi Mkuu.
pw pw ila hiyo inabid uweke tahadhari kabisa maana sio poa kabisa
 
Back
Top Bottom