Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ni Yeye 😂😂😂😂
Ngoja tumalize sikukuu ya Muungano kwanza
Sikukuu ya Viongozi na wapiga saluti waoNgoja tumalize sikukuu ya Muungano kwanza
Poleni wananchiNchi lazima ichechemke sio woote usingizi kazi kumwimbia mama-mama!!
Piga kazi makamanda tupo pamoja kunamambo mengi ya hovyo yanaendelea hii nchi.
Juzi kunamtumishi mwalimu Senior kabisa kakuta mshahara wake haufiki lakimbili kisa "bodi ya mikopo"!!
Kwanini bodi inakata mkopoa kibabe bila kumzingatia Sheria ya mtumishi kubakiwa na 1/3 ya mshahara wake??
Mtumishi huyu ataishi vipi? Atafundisha Kwa ufanisi? Ametendewa haki?
Atakuwa mzalendo?
nawewe unaandamana au unatujazia sever zetu humu bure?Poleni wananchi
Joined Wednesday , ukipata uzoefu utaanza kuwa na heshimanawewe unaandamana au unatujazia sever zetu humu bure?
kilasiku nikija na id mpya ananiambia hivihivi mkuu mimi nimkongwe humu kukuzidi weweJoined Wednesday , ukipata uzoefu utaanza kuwa na heshi ma
Baada ya maandamano ??????????Nchi lazima ichechemke sio woote usingizi kazi kumwimbia mama-mama!!
Piga kazi makamanda tupo pamoja kunamambo mengi ya hovyo yanaendelea hii nchi.
Juzi kunamtumishi mwalimu Senior kabisa kakuta mshahara wake haufiki lakimbili kisa "bodi ya mikopo"!!
Kwanini bodi inakata mkopoa kibabe bila kumzingatia Sheria ya mtumishi kubakiwa na 1/3 ya mshahara wake??
Mtumishi huyu ataishi vipi? Atafundisha Kwa ufanisi? Ametendewa haki?
Atakuwa mzalendo?
AmenKUMEKUCHA...
Huu mwaka majangili wakoloni huko porini wanatafutana
Mungu ibariki Chadema
Anakata kilauri na watoto wa kibarabegiBaada ya maandamano ??????????
Muungano naona wananchi wameunganaTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Tundu Lissu anasimamia Maandamano ya kupinga Ugumu wa maisha , kikokotoo pamoja na sheria mbovu za Uchaguzi . Maandamano hayo yanafanyika Mkoani Manyara .
View attachment 2974205
Kama kawaida Mimi Mtumishi wako nitakuletea kila kinachojiri .
Usiondoke JF
===========
Tayari Mambo yameanza Taratibu
View attachment 2974430
Chadema haina shughuli ndogo
View attachment 2974478View attachment 2974479
HeheheJoined Wednesday , ukipata uzoefu utaanza kuwa na heshima
Huyo Jamaa amevaa Tunguli Mgongoni kumbe ni Msukuma aliyejitolea kumlinda Lissu bure kabisa bila gharama yoyote.View attachment 2974274
Huyu hapa akipiga Spana zilizofanya Betri kwenye moyo wa Mtu kuzimika