Manyara: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yanayoongozwa na Tundu Lissu

Manyara: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yanayoongozwa na Tundu Lissu

Hizi sura mbona ni zilezile zilizokuwa bukoba mwanza manyara, baada ya buses kuanza kusafiri usiku coaster zimekosa kazi zimeanza kusomba wabeba mabango
Unahisi wananchi ni wale wale wamesafirishwa na malori?
😆😆😆
 
Joined Wednesday , ukipata uzoefu utaanza kuwa na heshima
Mimi nimkongwe humu kushinda wewe id isikuchanganye

chadema mnamihemko hamtumii akili.
nijibu swali langu upo kwenye maandamano au upuchumbani namumeo umekumbatiwa?
 
Hawana jipya, ni Dkt Samia tu 2025!
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Tundu Lissu anasimamia Maandamano ya kupinga Ugumu wa maisha , kikokotoo pamoja na sheria mbovu za Uchaguzi . Maandamano hayo yanafanyika Mkoani Manyara .

View attachment 2974205

Kama kawaida Mimi Mtumishi wako nitakuletea kila kinachojiri .

Usiondoke JF
===========
Tayari Mambo yameanza Taratibu

View attachment 2974430

Chadema haina shughuli ndogo

View attachment 2974478View attachment 2974479
 
Mimi nimkongwe humu kushinda wewe id isikuchanganye

chadema mnamihemko hamtumii akili.
nijibu swali langu upo kwenye maandamano au upuchumbani namumeo umekumbatiwa?
Mbona una hasira kaka shida ni nini?
 
Sio Sgang tena?
Mimi ni mwana CCM mtiifu, nitamsema mwenyekiti wangu ili nijue wanafiki mnasemaje na suala la uchaguzi ni yeye ndiye mgombea na ni yeye nitapigana Dkt Samia ashinde uchaguzi kwa kishindo.
 
Nchi lazima ichechemke sio woote usingizi kazi kumwimbia mama-mama!!
Piga kazi makamanda tupo pamoja kunamambo mengi ya hovyo yanaendelea hii nchi.
Juzi kunamtumishi mwalimu Senior kabisa kakuta mshahara wake haufiki lakimbili kisa "bodi ya mikopo"!!
Kwanini bodi inakata mkopoa kibabe bila kumzingatia Sheria ya mtumishi kubakiwa na 1/3 ya mshahara wake??
Mtumishi huyu ataishi vipi? Atafundisha Kwa ufanisi? Ametendewa haki?
Atakuwa mzalendo?
Uyo mtumishi alijitokeza kwenye moja ya haya maandamano yanayoendelea nchini? Isije ikawa anataka atetewe wakati yeye kajifungia chumbani kwake.
 
Mimi ni mwana CCM mtiifu, nitamsema mwenyekiti wangu ili nijue wanafiki mnasemaje na suala la uchaguzi ni yeye ndiye mgombea na ni yeye nitapigana Dkt Samia ashinde uchaguzi kwa kishindo.
Sema wewe ni Chawa inatosha.
 
Hizi sura mbona ni zilezile zilizokuwa bukoba mwanza manyara, baada ya buses kuanza kusafiri usiku coaster zimekosa kazi zimeanza kusomba wabeba mabango
Mbowe yuko Mara , je nako sura ni zile zile ?
 
Back
Top Bottom