Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Unahisi wananchi ni wale wale wamesafirishwa na malori?Hizi sura mbona ni zilezile zilizokuwa bukoba mwanza manyara, baada ya buses kuanza kusafiri usiku coaster zimekosa kazi zimeanza kusomba wabeba mabango
Mimi nimkongwe humu kushinda wewe id isikuchanganyeJoined Wednesday , ukipata uzoefu utaanza kuwa na heshima
aiseee mecheka sanaπ€£π€£π€£na ni meseji yake ya 27 π€£π€£π€£Joined Wednesday , ukipata uzoefu utaanza kuwa na heshima
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Tundu Lissu anasimamia Maandamano ya kupinga Ugumu wa maisha , kikokotoo pamoja na sheria mbovu za Uchaguzi . Maandamano hayo yanafanyika Mkoani Manyara .
View attachment 2974205
Kama kawaida Mimi Mtumishi wako nitakuletea kila kinachojiri .
Usiondoke JF
===========
Tayari Mambo yameanza Taratibu
View attachment 2974430
Chadema haina shughuli ndogo
View attachment 2974478View attachment 2974479
Mbona una hasira kaka shida ni nini?Mimi nimkongwe humu kushinda wewe id isikuchanganye
chadema mnamihemko hamtumii akili.
nijibu swali langu upo kwenye maandamano au upuchumbani namumeo umekumbatiwa?
Sio Sgang tena?Hawana jipya, ni Dkt Samia tu 2025!
Mimi ni mwana CCM mtiifu, nitamsema mwenyekiti wangu ili nijue wanafiki mnasemaje na suala la uchaguzi ni yeye ndiye mgombea na ni yeye nitapigana Dkt Samia ashinde uchaguzi kwa kishindo.Sio Sgang tena?
nimemuelewesha kiazi huyo akiona ID mpya anahisi huyomtu mwenye hio ID ndio anaanza kuifahamu jfMbona una hasira kaka shida ni nini?
Uyo mtumishi alijitokeza kwenye moja ya haya maandamano yanayoendelea nchini? Isije ikawa anataka atetewe wakati yeye kajifungia chumbani kwake.Nchi lazima ichechemke sio woote usingizi kazi kumwimbia mama-mama!!
Piga kazi makamanda tupo pamoja kunamambo mengi ya hovyo yanaendelea hii nchi.
Juzi kunamtumishi mwalimu Senior kabisa kakuta mshahara wake haufiki lakimbili kisa "bodi ya mikopo"!!
Kwanini bodi inakata mkopoa kibabe bila kumzingatia Sheria ya mtumishi kubakiwa na 1/3 ya mshahara wake??
Mtumishi huyu ataishi vipi? Atafundisha Kwa ufanisi? Ametendewa haki?
Atakuwa mzalendo?
halafu hasira umezigundua vipi?au mwenzetu haya mwandishi unayasikia kama voicenot?Mbona una hasira kaka shida ni nini?
Hahahahalafu hasira umezigundua vipi?au mwenzetu haya mwandishi unayasikia kama voicenot?
Ndio hapo sasaUyo mtumishi alijitokeza kwenye moja ya haya maandamano yanayoendelea nchini? Isije ikawa anataka atetewe wakati yeye kajifungia chumbani kwake.
Sema wewe ni Chawa inatosha.Mimi ni mwana CCM mtiifu, nitamsema mwenyekiti wangu ili nijue wanafiki mnasemaje na suala la uchaguzi ni yeye ndiye mgombea na ni yeye nitapigana Dkt Samia ashinde uchaguzi kwa kishindo.
hey mremboo mambo ππHahaha
Mimi Dume la Mbegu....kuwa makinihey mremboo mambo ππ
Tunaomba HotubaTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Tundu Lissu anasimamia Maandamano ya kupinga Ugumu wa maisha , kikokotoo pamoja na sheria mbovu za Uchaguzi . Maandamano hayo yanafanyika Mkoani Manyara .
View attachment 2974205
Kama kawaida Mimi Mtumishi wako nitakuletea kila kinachojiri .
Usiondoke JF
===========
Tayari Mambo yameanza Taratibu
View attachment 2974430
Chadema haina shughuli ndogo
View attachment 2974478View attachment 2974479
Mbowe yuko Mara , je nako sura ni zile zile ?Hizi sura mbona ni zilezile zilizokuwa bukoba mwanza manyara, baada ya buses kuanza kusafiri usiku coaster zimekosa kazi zimeanza kusomba wabeba mabango
HahahaMbowe yuko Mara , je nako sura ni zile zile ?
Hiyo ni bunduki ya asiliHuyo Jamaa amevaa Tunguli Mgongoni kumbe ni Msukuma aliyejitolea kumlinda Lissu bure kabisa bila gharama yoyote.
InakujaTunaomba Hotuba