LGE2024 Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Inawezekana ni siasa ndio, ama inawezekana ni adui zake tu wa muda mrefu wameamua wapitie kipindi hiki cha uchaguzi ili ionekane ni siasa.

Dunia inamambo mengi ya siri, Mungu tu ndiye anaweza kuyafunua.

R.I.P!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…