LGE2024 Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024

LGE2024 Manyoni: George Juma Mohamed, Mgombea wa CHADEMA auawa kwa kupigwa risasi usiku wa kuamkia tar 27, 11, 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kuna chama kinaiishi kauli ya Wana lunyasi Yani ni UBAYA UBWELA UDUDU MBAYA MBOVU
 
Mungu atunusuru na hili pepo la kuuana kwa uroho wa madaraka ikibidi vyama vya upinzani visishiriki uchaguzi kwa sababu haina maana.
 
Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed ameuwawa kwa kupigwa risasi ya kiuno usiku wa kuamkia leo tarehe 27 Novemba 2024, majira ya saa saba usiku nyumbani kwake. Mwili wa marehemu upo hospitali ya wilaya ya Manyoni.


Pia soma:LIVE - LGE2024 - Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
huenda ni katika tukio la unyang'anyi wa kutumia silaha,

R.I.P Kamanda 🐒
 
Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed ameuwawa kwa kupigwa risasi ya kiuno usiku wa kuamkia leo tarehe 27 Novemba 2024, majira ya saa saba usiku nyumbani kwake. Mwili wa marehemu upo hospitali ya wilaya ya Manyoni.


Pia soma:LIVE - LGE2024 - Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
kuna vitu vitu vinafanywa hii nchi ni kama hakuna viongozu wakuu..
So sad.
 
Uenyekiti tu mpaka bastola, mwakani urais, ubunge na udiwani si watu watapigana ma RPG
Katika kulinda kula za wajuu mzigo unaanzia chini.
Na kila mteule unaemuona wamemsimamisha huwa yupo tayari kuuwa ili kulinda kura za walio juu yake.
#Maagizo.
 
Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed ameuwawa kwa kupigwa risasi ya kiuno usiku wa kuamkia leo tarehe 27 Novemba 2024, majira ya saa saba usiku nyumbani kwake. Mwili wa marehemu upo hospitali ya wilaya ya Manyoni.

Pia soma - LGE2024 - Manyoni: Jeshi la Polisi linamshikilia Askari aliyesababisha kifo cha mgombea wa CHADEMA, kama kawaida risasi imekata kona!


Pia soma:LIVE - LGE2024 - Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ndugu zangu nchi hii sasa tumebakia na kete mbili zilizo kuu ili tuondokane na vitisho na uongozi wa kidhalimu wa CCM chini ya SAMIA Suluhu Hassan ,kete ya kwanza ni ss wananchi kuamua kuandamana nchi nzima non stop kujitetea wenyewe dhidi ya mateso ya kutekwa na kuuawa kwa ndugu zetu mbalimbali.Kete ya pili ni JESHI la WANANCHI wa TANZANIA kama linavyofahamika kuchukua mamlaka kwa niaba ya wananchi kama kweli jeshi hili ni lao na liko kwa ajili ya wananchi.Mauaji yanayoendelea sasa naamin ni zaidi ya awamu zote zilizowahi kupita kuongoza Taifa hili.Kete hz mbili yoyote inaweza kuanza bila kusubiri nyingine kwa lengo la kuponya Taifa.Anayeshabikia watu kutekwa ,kuteswa na kuuawa ni kwa sababu hana upendo na uzalendo kwa watanzania wenzake.Majeshi ya wananchi kama ya Burkina faso,Mali na kwingineko yalipoona siasa chafu zinazonuka kama mavi zikiendeshwa ndani ya nchi zao majeshi hayo yaliingilia Kati ya kuwafurusha wanasiasa washenzi na wapumbavu wasio na Akili wanaohujumu nchi zao.JESHI letu linasemwa na kusifiwa kuwa lina weledi,nidhamu na maadili ya hali ya juu kabisa,Sasa SWALI la msingi linawezaje kuwa na sifa zote hizo Alafu linavumilia wananchi wake wakiteseka,je sifa hizi kea jeshi letu ni za kweli?.Kama nchi ni lazm tuache usanii na tujitafakari kwa kina na mapana.
 
Mgombea kupitia Chadema wa Kitongoji cha Stand, kata ya Mkwese, Jimbo la Manyoni Mashariki George Juma Mohamed ameuwawa kwa kupigwa risasi ya kiuno usiku wa kuamkia leo tarehe 27 Novemba 2024, majira ya saa saba usiku nyumbani kwake. Mwili wa marehemu upo hospitali ya wilaya ya Manyoni.

Pia soma - LGE2024 - Manyoni: Jeshi la Polisi linamshikilia Askari aliyesababisha kifo cha mgombea wa CHADEMA, kama kawaida risasi imekata kona!


Pia soma:LIVE - LGE2024 - Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Serikali ya mtaa haina mshahara, Ila uchaguzi wake watu wanauana.
What has gone wrong!!
 
..Ni mauaji ya mgombea wa Chadema ktk wilaya ya Manyoni.

..zilifanyika jitihada za kumdanganya DC pamoja na wachunguzi wa Polisi ili kuwalinda wauaji.

..inaelekea DC Dr.Mashinji ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Chadema hataki kuwalinda wauwaji.

..tusubiri kuona kama wahusika watachukuliwa hatua, lakini inaelekea CCM ina magenge ya kihalifu yamesambaa nchi nzima.


View: https://www.youtube.com/watch?v=jVM7kwn9HQE
 
..Ni mauaji ya mgombea wa Chadema ktk wilaya ya Manyoni.

..zilifanyika jitihada za kumdanganya DC pamoja na wachunguzi wa Polisi ili kuwalinda wauaji.

..inaelekea DC Dr.Mashinji ambaye aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa Chadema hataki kuwalinda wauwaji.

..tusubiri kuona kama wahusika watachukuliwa hatua, lakini inaelekea CCM ina magenge ya kihalifu yamesambaa nchi nzima.


View: https://www.youtube.com/watch?v=jVM7kwn9HQE

Wauwaji hao watalindwa tu kama kàwaida yao!
 
Back
Top Bottom